AKILI INAPOKATAA KUAMINI NA KUUKUBALI UKWELI
Kaniandikia:
"MMS kila mara unapoandika UISLAM ndipo unapochefua watu.
Ubongo wako umekataa kulikubali hilo, nami nakuacha kama ulivyo.
Lakini ujue unakera sana. Mimi ni mmoja wa wengi tunaopenda kusoma maandiko yako lakini hata para ya 1 nikiona...