kiingereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mparee2

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya sheria/taratibu zinazo husu wageni - iwepo nakala ya Kiingereza

    Nilishatoa hili sijui mwaka juzi...narusia tena HILI LINAWAHUSU ZAIDI WIZARA YA UTALII, WIZARA YA AFYA, PAMOJA NA UHAMIAJI Napendekeza kila tangazo linalotolewa liwe kwa Lugha mbili; Yaani Kiswahili na Kiingereza I weje tangazo linalo wahusu watalii kwa asilimia 80% likose nakala ya...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wakabaji wanaoongea kiingereza

    Tatizo la ajira linaweza kuwa bomu kubwa zaidi ya vile tulivyodhani. Wasomi wengi wamegeuka wakabaji kwa kujua au kutokujua. Watanzania wengi wanaibiwa kwa mijadala ya kiingereza. Imeibuka stail ya akina Mangungo, unaletewa makaratasi yameandikwa kizungu unatia sign kuonyesha Kama nawe umesoma...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Tujifunze Kiingereza na Kiswahili hapa

    A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other. -achia v. leave to / for. ada n. fee. adabu n. good manners. adhabu n. punishment; penalty...
Back
Top Bottom