kigoma

Kigoma is a town and lake port in north western Tanzania, on the north eastern shores of Lake Tanganyika and close to the border with Burundi and The Democratic Republic of the Congo. It serves as the capital for the surrounding Kigoma Region and has a population of 135,234 (2007 census) and an elevation of 775 m.
The historic trading town of Ujiji is 6 km south-east of Kigoma.

View More On Wikipedia.org
  1. BigTall

    Mtoto aliyejeruhiwa na ndugu zake 6 kuuawa kikatili Mkoani Kigoma naye afariki

    Mtoto James Januari (4) aliyejeruhiwa katika tukio la mauaji ya watu sita wa familia moja yaliyotokea kwenye Kijiji cha Kiganza, Halmashauri ya Wilaya Kigoma amefariki usiku wa kuamkia leo Julai 5, 2022. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni, Dkt. Stanley Binagi amethibitisha kifo...
  2. mwanamwana

    Kigoma: Watu 6 wa familia moja wauawa kikatili usiku wa kuamkia Julai 3

    Watu sita wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kukatwa na mapanga sehemu mbalimbali za mwili na Watu wasiojulikana katika Kijiji cha Kiganza wilayani Kigoma Mkoani Kigoma. Familia hiyo ya Mussa Cheche kwa sasa waliobaki hai ni Mtoto mwenye umri wa miaka 4 ambaye amejuruhiwa na...
  3. Martin Maranja Masese

    Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti na Janja ya CCECC

    Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti kuu ya serikali, hotuba yako, ukurasa wa 44, unasema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni (Sh4.89 trillioni). Wakati tunajua umewapa kandarasi CCECC. Katika mfumo wa...
  4. Bikirajohola

    Meneja wa TRA Kigoma asimamishwa kazi

    Meneja wa TRA mkoa wa Kigoma bwana Gabriel Mwangosi amesimamishwa kazi na kamishina mkuu wa TRA bwana Alphayo Kidata baada ya kupandisha ushuru wa forodha mkoani humo kutoka millioni 15 kwa mwezi hadi millioni 300 kwa mwezi! Alichokifanya bwana Mwangosi alipofika Kigoma ni kuziba mianya yote ya...
  5. BLACK MOVEMENT

    Burundi kuna amani sana, lakini kule Kigoma ndiyo kwanza recruitment zinaendelea

    Ukitaka kujua wakimbizi ni Biashara nenda Kigoma kwenye zile kambi, kule kuna wakati zile NGOs zilizo jazana kule zilikuwa zina gombana wao kwa wao kila mmoja ikipigania kuwahudumia wakimbizi. Kuna wakati zilijuwa na bifu la kufa mtu, sasa jiulize kwa nini bifu kisa wakimbizi? Kule kwenye...
  6. JanguKamaJangu

    Katibu Mkuu Wizara ya Afya ataka Mganga Mkuu Wilaya ya Kigoma aondolewe kwa kutokuwa muwajibikaji

    Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kigoma amelalamikiwa kushindwa kutekeleza maagizo ya kuboresha huduma ya afya na kukosa uwajibikaji pamoja na kuonesha utovu wa nidhamu Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi akiwa katika ziara Mkoani Kigoma ambapo pia inadaiwa mganga huyo...
  7. BigTall

    Kigoma: Wanaume walia kunyanyaswa na wake zao, wataka Madawati ya Kuwatetea

    Viongozi na wananchi wa Kijiji cha Murufiti, Nyansha na Kigondo wakiwa kwenye makundi wakijadili mkakati wa kukabili ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kwenye jamii za vijiji vyao katika kongamano lililoandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP). Baadhi ya wanaume walioshiriki mjadala wa...
  8. Suzy Elias

    Wanaonekana wa ajabu lakini watarejea Kigoma matajiri sana

    Unaweza kuwaita chawa,wanaa,wambeya na jina lolote fanani nalo. Picha hapo juu ni Mwijaku na Baba Levo vijana maarufu kwa sasa hapa Tanzania hasa kwenye tasnia ya sanaa. Kinachonivutia kwao ni namna wanavyoisaka shilingi pasi na kujali kuitwa majina tajwa hapo juu bali wao wanajali...
  9. N

    VIDEO: YANGA WALIENDA STAREHE LIVE BAND HUKO KIGOMA KABLA YA MECHI VS RUVU

    Kazi na dawa, mabingwa watarajiwa wa kombe la klabu bingwa afrika mwaka huu ambalo litawapa tiketi ya kwenda kuwakilisha bara hili la giza kwenye FIFA club world cup , Yanga sc walikula bata la kutosha na bendi ya malaika music band huko kigoma kabla ya mechi yao na Ruvu shooting iliyoisha kwa...
  10. N

    Video: Inasikitisha jinsi Mayele alivyologwa Kigoma vs Ruvu shooting

    Mshambuliaji anayeshika nafasi ya pili kwa ubora kwa sasa barani Afrika nyuma ya Peter Shalulile, the greatest Fiston Mayele ambaye takwimu zinaonyesha ni mshambuliaji hatari kuwahi kutokea katika ligi ya Tanzania alikumbana na mauzauza ya ajabu huko kigoma Mayele kama ilivyo kwa team nzima ya...
  11. M

    Japo Mimi ni Simba SC lia lia, ila kwanini nimesikitika Yanga SC juzi kutoka Sare ma Ruvu Shooting FC Kigoma?

    Majibu yangu...... Endapo Simba SC itamfunga Ruvu Shooting FC Siku ya Jumapili tofauti ya Alama ( gap ) na Yanga SC itakuwa ni Alama ( Points ) Kumi ( 10 ) Endapo katika hizi Tano kati ya Saba Yanga SC ilizozibakisha atakazocheza na Prisons, Mbeya City, Coastal Union, Mtibwa Sugar na Biashara...
  12. M

    Huyu Muha wa Kigoma sijawahi kumuelewa kabisa. Tokea ajiteke dishi liliyumba. Hajui katiba mpya italeta tume huru?

    👇
  13. JanguKamaJangu

    KIGOMA: Madereva waandamana, wafunga barabara wataka nauli zipande

    Baadhi ya madereva wa Bajaji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana na kufunga barabara kushinikiza kupandishwa kwa bei za usafiri kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Walifanya mgomo huo wakitaka mamlaka ziwaruhusu wapandishe nauli. Kwa sasa usafiri wa kuchangi abiria mmoja analipa Sh...
  14. Idugunde

    Kigoma: Radi yaua mama na mwanae wakiwa shambani

    Mama aliyefahamika kwa jina la Berthania Zabron na mwanaye Loveness Kulwa mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane wamepoteza maisha huku baba wa familia hiyo Christopher Kulwa Abel akijeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa shambani mkoani Kigoma. https://t.co/P5JkRYJBpI
  15. M

    Kigoma: Polisi Wadaiwa kuua raia kwa risasi na kujeruhi wawili kwenye kiwanja cha mpira Lake Tanganyika

    Kupitia Twitter pia, Abdul Nondo Kaandika; -- Askari polisi mwenye namba F.5123 D/ CPL Subira ambaye aliyekuwa na bunduki aina ya AK 47 adaiwa kumuua Juma Ramadhani kwa kumpiga risasi na kuwajeruhi watatu wakati akiwa kwenye harakati za kujihami kwenye vurugu zilizotokea katika kiwanja cha...
  16. Erythrocyte

    Kibondo, Kigoma: Wanachama 36 wa CHADEMA wafutiwa kesi na kuachiwa huru

    Hawa wanachama wa Chadema walikamatwa na kuburuzwa Mahakamani, kwa kosa kubwa la kukutwa kwenye kikao cha ndani wakijisajili kwa njia ya kisasa ya CHADEMA DIGITAL. Leo serikali imetangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hata hivyo wanachama wa Chadema kwa maelfu wanakabiliwa na kesi...
  17. Jamii Opportunities

    Highway Engineer at TANROADS - Kigoma

    REGIONAL MANAGER’S OFFICE – TANROADS KIGOMA The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of the Republic of Tanzania entered into a contract for ongoing Upgrading of Nduta Jet – Kibondo Town – Kibondo – Jet (25.9 km) to Bitumen Standard. The Regional Manager’s...
  18. Jamii Opportunities

    Assistant Materials Laboratory Technician at TANROADS - Kigoma

    The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of the Government of the Republic of Tanzania entered into a contract for ongoing Upgrading of Nduta Jet – Kibondo Town – Kibondo – Jet (25.9 km) to Bitumen Standard. The Regional Manager’s Office TANROADS – Kigoma, on behalf of the Chief...
  19. Miss Zomboko

    Kigoma: Mganga amuua Mteja aliyetaka kuzindika Fedha za Biashara Tsh milioni 9

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kigoma linawashikilia watu wawili akiwemo dereva wa pikipiki na mganga wa kienyeji kwa tuhuma za kumuua na kisha kumfukia mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika fedha za biashara kiasi cha shilingi milioni 9. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo katika wilaya ya Kasulu na...
  20. K

    Wadau wa Kigoma tupeane mrejesho. Twatarajia kuja huko.

    Eee batama, mwakeye mwalaye? Vipi mambo ya batabata kumekuchaaa? Kibirizi, Airport, Stand mpya, Manyovu, Kazura mimba, Mwandiga, Bagwe, mulakomeye mwesaaa!!!? Ebu tupeane updates bana, Nina jamaa zangu hawajawahi kufika huko!
Back
Top Bottom