Kimepimwa (surveyed)
400 meters kutoka baharini
3 kilometers kutoka Dege Eco Village
Barabara nzuri inapitika muda wote
Kumeendelea (kumejengeka)
Kiwanja square meters 574
Bei ni Tshs 9,000,000 (9 millions Tsh mazungumzo yapo)
Mawasiliano: +255714908121
Habari nilizopata hivi punde ni kwamba
Tukio hili linatokea sasa hivi sa tatu na nusu usiku.
Moto mkubwa unawaka katika visima vya Mafuta vya Lake Oil Kigamboni.
Kwa walioko karibu tafadhali tupeane updates kuhusu usalama na yanayoendelea kwa sasa
Wakazi wa Kigamboni,Kisiwani,Vijibweni na...
Mwenyekiti wa Mtaa wa Changanyikeni Kata ya Toangoma katika Wilaya ya Temeke kwa tiketi ya CCM, Suzanne(Dionisia) Kamugisha amekamatwa akidaiwa kuiba Tsh. 12,000,000/-. Mruhumiwa na wanae wawili wsnashikiliwa kituo cha polisi Mbagala.
Inadaiwa juzi, mwanaye aliyeajiriwa katika duka la simu-pesa...
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni jana alikuwa kituko kwenye maadhimisho ya kilele cha siku ya Ukimwi duniani.
Kama wakuu wa Wilaya wapo hivi basi safari ni ndefu nitaeleza
1. Mavazi ya disco kwenye tukio la kidunia.
Bi Sara Msafiri alikuja viwanjani hapo huju akiwa amevaa kipedo cha kubana ndii...
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo amefika kwenye Ofisi Mpya ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni ''Kwa hapa kigamboni nimeridhika na Ujenzi wa Jengo hili chini ya TBA, Sehemu zingine nilizopita sijaridhishwa sana na TBA, Songwe nimemuagiza Mkuu wa Mkoa avunje Mikataba na TBA ila hapa kigamboni...
MANISPAA ya Kigamboni imetoa mkopo yenye jumla ya Sh Milioni 300 kwa vikundi 88 vya wanawake, vijana pamoja na watu wenye ulemavu kwa ajili ya kujiendeleza katika shughuli mbalimbali za ujasiriamali.
Fedha hizo ambazo zimekabidhiwa kwa vikundi hivyo juzi, kiasi cha Sh Milioni 200 zimetokana na...
Wakuu umofia kwenu...kuna mtoto mmoja nataka nimle vya kutosha maeneo ya kigamboni....sasa natafuta classic iliyojificha maeneo ya kigamboni..bdget yangu ni kuanzia 35000 hadi 50000
Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga.
Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje.
Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji.
Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1.
DIRECTION YA SHAMBA LILIPO
Ukiwa...
bagamoyo
beach
bei
eneo
hasara
hoteli
inauzwa
karibu
kigamboni
kinauzwa
kiwanja
kubwa
kununua
mafuta
makazi
miti
mji
nauza
nyumba
pesa
plot
shamba
ujenzi
umri
uwekezaji
viwanja
wekeza
Asema bila kujali ulianzishwa na nani na kwa malengo gani ni uwekezaji usio na tija. Ungefanywa na kampuni binafsi ingeeleweka
Asisitiza, tena kwa sasa ndio haufai kabisa kufuatia Serikali kuhamia Dodoma.
Amewataka NSSF kujitafakari juu ya uwekezaji huu.
Amesema kama SSRA wangekuwa makini...
Mkurugenzi mkuu wa NSSF, Godius Kahyayara amesema mradi huo umeshatekelezwa katika awamu mbili
Dar es salaam. Mvutano wa hisa kati ya Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kampuni ya Azimio, umeelezwa kuwa chanzo cha kuchelewa kwa mradi wa nyumba zaidi 7,000 zilizopo eneo la Dege Beach...
Wana jamvi,
Kuna mradi mkubwa wa ujenzi wa magorofa unaendelea Kigamboni. Ni Kigamboni ndandani mbele Zoo na naambiwa unaitwa "Dege Eco Village".
Wengi wa wafanyakazi ni wazungu wenye asili ya Kituruki. Kazi inafanyika usiku na mchana.
Wenye ukweli kuhusu mradi huo mtujuze.
Karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.