ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Jamani utaratibu wa kupata nafasi ya kugombea CCM Ni mgumu mno kwa mtu wa kawaida na asiyemfanyabiashara mkubwa, pale ni kweli Kuna wenyewe, na fitina , kujuana, family history, rushwa vina husika sana.
Mimi naamini huyu Sugu au professor asingepata nafasi ya kugombea ubunge kupitia CCM miaka 1000.
Pia sielewi kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakimbilia kugombea CCM na so vyama vingine ni kwanini, Kuna nini hapa.
Lastly, mtu kama mwana FA, Zamaradi waliomba ridhaa majimbo ya dar kupitia upinzani wanaweza kutoboa. CCM Ni pagumu Sana, wapinzani wengi walitoka CCM baada ya kunyimwa nafasi wakaenda kupata nafasi upinzani wengi tu,. Bulaya, moleli, etc
CCM Ina wenyewe Kama zilivyotenda za kutengeneza mabango nguo za kampeni Ni wao kwa wao wanapeana even kazi kubwa kubwa serikalini. Japo awamu hii imepungua hio.
Mimi naamini huyu Sugu au professor asingepata nafasi ya kugombea ubunge kupitia CCM miaka 1000.
Pia sielewi kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakimbilia kugombea CCM na so vyama vingine ni kwanini, Kuna nini hapa.
Lastly, mtu kama mwana FA, Zamaradi waliomba ridhaa majimbo ya dar kupitia upinzani wanaweza kutoboa. CCM Ni pagumu Sana, wapinzani wengi walitoka CCM baada ya kunyimwa nafasi wakaenda kupata nafasi upinzani wengi tu,. Bulaya, moleli, etc
CCM Ina wenyewe Kama zilivyotenda za kutengeneza mabango nguo za kampeni Ni wao kwa wao wanapeana even kazi kubwa kubwa serikalini. Japo awamu hii imepungua hio.