kigamboni

  1. N

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kimbiji golani 4mil

    Habari wana JF, Nina kiwanja changu nakiuza 4mil kipo Kigamboni kimbiji golani eneo la kidagaa kina hati toka ardhi 600sq ni km 35 kutoka Kigamboni Ferry .. Kwa mawasiliano zaidi piga 0657940974
  2. M

    Egyptian Industrial City In Kigamboni?

    Wana JF, Kuna article mtandaoni inasema Egypt inajenga sehemu itakayoitwa "Egyptian Industrial City in Kigamboni" nchini Tanzania. Sijaelewa vizuri maana yake. Tumewauzia sehemu ya nchi au tulikuwa wavivu wa kukubaliana jina la hiyo Industrial City? Hebu tusaidiane kutafakari hayo maandishi...
  3. ommytk

    Wilaya kigamboni nahisi kwa dsm inaweza ikawa ndio inaongoza kwa askali wa usalama barabarani na makamera

    Katika tambia yangu mkoa dsm kigambo nahisi ni mahali ambapo panaongoza kwa askari barabarani.yaani sijui kwanini maana mikoani tunahitaji pia maana mimi nipo musoma sijawahi kuona trafiki labda kuwe na jambo kigamboni nimekutana na camera 3 na sehemu zaidi ya 5 tumesikamishwa ebu mje mkoani pia...
  4. C

    Mtoza ushuru kanipiga elfu 5 Daraja la Kigamboni

    ...
  5. ommytk

    Kigamboni wekeni vibao barabara zile mbili pale feri zenye no entry sio vile vibao vya ujanja

    Uongozi wa kigamboni kuna barabara mbili pale feri ambazo kwasasa zinapita njia moja japo zina michoro ya njia mbili na kipindi cha nyuma zilikuwa zinatumika kama njia mbili tunaomba muweke alama zinazoonekana na zinazokataza gari kuingia. Katika njia hizo ⛔ pale mwanzo kuingia na sio vile...
  6. beth

    Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu" Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa...
  7. Mary97

    Natafuta kazi za ndani Kigamboni

    Habari zenu. Naitwa Mary, Miaka 25. Elimu yangu cheti. Naishi karibu na cornerstone (kibada). Natafuta kazi za ndani za kwenda na kurudk huku Kigamboni. Kupika, kufua, usafi, kutunza watoto naweza. Mshahara angalau laki, nauli juu yangu. Kama ulipo nauli inazidi 400/= utanisaidia nauli. Siku...
  8. ndege JOHN

    Kesi ya mwizi wa mafuta Kigamboni imefikia wapi?

    Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sana. Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa...
  9. Replica

    Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

    January Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini. Hakuna sababu ya kuwa na taharuki. Utaratibu wa kuingiza mafuta unahakikisha kwamba mahitaji yapo wakati wote. Serikali inaendelea kuchukua hatua kuongeza uhakika wa upatikanaji na unafuu wa bei. Akijibu swali la mdau alieuliza mkanganyiko kati ya...
  10. T

    Kuanzia leo, sipandi Pantoni wala kulipia kwenye hilo daraja

    Haya sasa, watalipia hili daraja wenyewe ila usianguke tu.....
  11. P

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni

    Nauza eneo (ekari moja) Milioni 12 ,Ila naweza kukata viwanja vya 35*35 kwa 3 milioni . Kiwanja kipo lingato kigamboni. Kama unatoka ferry kwenda kongowe kituo Ni fundi baiskeli halafu unachukua boda. Au Kama unaenda mwasonga Ni nyuma ya kiwanja Cha oilcom. (Price is negotiable) Piga 0686798081...
  12. M

    Viwaja vilivyopimwa vinauzwa Kigamboni

    ...am editing
  13. Boligado

    Ushauri: Serikali ijenge tunnel kati ya soko la Ferry Kivukoni na upande wa pili wa Magogoni

    Kama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari.
  14. A

    Malalamiko/ Ufafanuzi na Ushauri kuhusu Ushuru wa Maegesho Ilala, Temeke na Kigamboni Jiji la Dar es Salaam

    Ascerics LTD ni Kampuni ya Kitanzania yenye uzoefu mkubwa katika zoezi zima la kukusanya Ushuru wa maegesho nchini Tanzania. Ili kuboresha huduma zetu za maegesho (Parking services ) kwa system mpya ya E-parking katika Jiji la Dar-es-Salaam. Kanda no 2 ambao tunasimamia Ilala, Temeke, na...
  15. FRANCIS DA DON

    Napendekeza kuvuka daraja la Kigamboni iwe bure, then NSSF walipwe na Serikali kwa riba kama mikopo mingine

    Huu hautakuwa mkopo wa kwanza kwa NSSF kuutoa kwa Serikali, Mabibo hostel, General Tyres upgrading, Machinga Complex na miradi mingine mingi isiyo na tija imepata mikopo toka NSSF, iweje kwa daraja la Kigamboni isiwe tu mkopo na ukalipwa taratibu na serikali kwa riba? Hii itapanua wigo wa...
  16. M

    Ziara Maalum ya RC Makalla Kigamboni yabaini eneo la Avic Town na GSM walilopewa Yanga SC lina Mgogoro wa Ardhi

    Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Wakazi wa Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla wamesema kuwa Mmiliki wa eneo la Avic Town ambako ndiko Klabu ya Yanga kupitia Mdhamini wao GSM amewadhulumu eneo hilo na wanataka Haki itendeke Kwao. "Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tunasikitika...
  17. H

    NACTE kwanini mnawaluhusu wamiliki wa A3 company ltd kuwadhulumu walimu wa Kigamboni City College na Dodoma City college?

    A3 Company Ltd ni wamiliki wa City college Mikwambe, Kigamboni City college na Dodoma city college. Hawa wamiliki wa A3 Company Ltd wako bize kufungua vyuo vipya Arusha na Mwanza kwa idhini ya NACTE huku walimu wa Kigamboni City college na Dodoma City college hawajarlipwa mshahara ya mwezi wa...
  18. Red Giant

    Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

    Eti wandugu sehemu kama ile kwa kiswahili inaitwaje?
  19. Travelogue_tz

    Wakazi wa Kigamboni watalipia daraja la Mwalimu Nyerere mpaka lini?

    Kwa sababu za kijografia , Wilaya hii imekuwa na changamoto ya kufikika kwa urahisi na hivyo kwa miaka mingi wakazi wake wamekuwa wakitumia huduma ya kivuko cha ferry au kutumia njia ya Barabara ya Kongowe, njia ambazo zimekuwa na shida kwa wakazi. Ujenzi huu ulianza ramsi Februari 2012 chini...
  20. B

    Ukweli Kuhusu Nyumba za Bei Nafuu za Malipo Kiduchu Kila Mwezi Huko Kigamboni!!

    Inakaribia mwaka mmoja sasa mshikaji wangu wa karibu kabisa alipofika home na kuniambia kuhusu JPM kutaka kujenga nyumba za bei za nafuu kwa ajili ya wavuvi huko wilayani Kigamboni!! Ndugu yangu huyu akanieleza kwamba, wavuvi hao walitakiwa kufungua akaunti benki na kuweka kiwango cha pesa...
Back
Top Bottom