Hawa watu hapo Kivukoni tushasema hawako serious. Siku chache zilizopita nilisikia wamefukuzwa watu hapo kwa uzembe. Leo nimesikia redioni kuwa kulikuwa na pantoni moja ndogo tu inavusha watu hakuna magari kuvuka! Mpaka watu wapoteze maisha ndio hatua za maana zitachukuliwa.
shida hapo panashibisha matumbo ya watu ndo maana watu wananufaika kupitia shida za wananchi.. wangeweka hata floating bridge kama ya lukonimombasa ila wstakosa ulaji.. floating bridge kwa ajili y a wapita miguu na baiskeli..linafunga na kufunguka meli zinapopita.. cause hapo ni less than 2km walk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.