Nyumba mbili zinapangishwa Kisota Kigamboni, barabara ya Damian Do Amsi Road, Kilometa 8 kutoka Feri). Nyumba moja ni ya vyumba 3 (self-contained with a master bedroom). Nyumba nyingine ni chumba kimoja cheny sebule, jiko na choo ndani. Nyumba zote ziko ndani ya uzio mmoja na kila moja ina mita...