kiafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Unapomkosoa mtawala Dikteta au nchi za kiafrika Kwanza angalia mtazamo wa mtawala juu yako. Je ni positive au negative?

    Habari za Leo! Unapomkoaa Boss au mtawala au kiongozi wako. Moja ya mambo muhimu ya kuzingatia ni mtazamo wake juu yako. Je ni Negative au positive? Kama mtazamo wake ni Negative, hata ukimkosoa kiungwana na kiupole kwake ataichukulia kama dharau, chuki na vita. Hivyo majibu yake yanaweza...
  2. R

    Haya yanayotendwa na watawala wa Kiafrika ni wazi bado Africans tuko kwenye bottom/middle of evolutionary tree of our brains

    Sijui tuko hatua gani kwenye diagram hii FlipFact of the Day: To this day, the topic of human evolution remains hotly debated. Those who support the idea of natural selection typically find themselves in opposition to those who believe that humanity was purposely, intelligently designed by...
  3. Nitaendelea kuamini hili kua wanawake wa Kiafrika bado hawastahili High position,Wapikwe vya kutosha kwa Miaka Zaid hata 20100 huko ndio waruhusiwe.

    Kuna siku niliandika uzi...nikasema yule Rais wa ile Nchi ni kielelezo kingine kikubwa kua Wanawake wa Afrika kwenye Mwaswala ya Uongozi bado. Mods mkaula kichwa ule uzi sijui kwa sababu nilimtaja kabisa. Ila leo simtaji ila nahisi mshaelewa kama mtu ananibishia ataje kuna baadhi ya Nchi hapa...
  4. Ni kitu gani kinakosekana kwa Tanzania na nchi zote za kiafrika kiasi cha kugeuka kituko, ombaomba, na kopakopa?

    Afrika imejaliwa raslimali zote kuanzia ardhi, watu, hali nzuri ya hewa isipokuwa haikujaliwa viongozi wenye akili na visheni. Japo tukiambwa ukweli tunacharuka na kujitutumua wakati tu wa hovyo, kuna kitu kinakosekana. Je ni kitu au vitu gani vinakosekana kwa Afrika kiasi cha kugeuka hovyo...
  5. Uraibu wa urembo bandia (artificial beauty) kwa mwanamke wa kiafrika ni ugonjwa kamili wa kiakili

    Kama ulikuwa hujui tu, uraibu wa urembo bandia kwa mwanamke wa kiafrika ni ugonjwa kamili wa kiakili kwa sasa. Hapa ninazungumzia ile hali ya kubadili rangi na unyororo wa ngozi (wanaita kuglow!), kupashika kucha bandia, nywele bandia (rasta, weaving nk), kope bandia, kupiga jeki matiti...
  6. R

    Kwanini wadada wa kiafrika wengi mnachukia asili ya nywele zenu ? mmekazana na mawigi, weaving, rasta, n.k. Please acheni kujichukia, love yourself.

    Huko masaluni na maduka ya vipodozi hugharamika sana kununua nywele za watu wengine kwa mtindo wa mawigi, weaving, rasta, dreds, n.k. nyingine zinazalishwa viwandani. Ukitaka ugombane na mwanamke alievaa wigi basi mvue, yani ataonyesha kuzichukia nywele zake kwa kuziziba. Nywele zinavyovutwa...
  7. Zijue nchi tajiri za Kiafrika mwaka 2025

    Shirika la fedha duniani limetoa takwimu za mwaka 2025 zikitaja nchi 5 tajiri barani Afrika kwa vigezo vinavyokubalika. BBC swahili news
  8. Badala ya kuwapiga Houth,Marekani yauwa mahabusu wengi wa kiafrika huko mpakani na Saudia

    Houth wametangaza kuwa shambulio la leo kutoka jeshi la Marekani limelenga gereza ambalo wahamiaji haramu kutoka nchi za kiafrika huwa wanazuiliwa. Jumla ya mahabusu wapatao 68 wameshathibitishwa kufa ambapo gereza hilo lilikuwa likiwashikilia wahamiaja hao zaidi ya mia moja. Dozens killed in US...
  9. H

    Ujinga wa wafia dini ya kikristo wa kiafrika ulianzia hapa!!!!

    Ujinga wa wafia dini ya kikristo wa kiafrika ulianzia hapa,isome kwa makini na ujitafari kwa kina na ujipe jibu mwenyewe je kati ya wewe unaamini ukristo na mimi ninayeamini katika MILA ZANGU ZA KIAFRIKA i.e:kabila langu nani yuko sahihi??
  10. H

    Kwanini wachungaji,maaskofu,manabii,mitume,nk wa Kiafrika ktk ukristo ni MATAJIRI na wafuasi wao wa Kiafrika ni MASKINI?

    au Mungu hawajui hao waumini bali wanajipendekeza kwa yesu hawajui hao waumini??
  11. Hivi ndivyo nchi za kiafrika zilikuwa zinashirikiana na china kwenye kukwepa kodi kwa bidhaa zinazoingia USA

    Wakuu mimi sio mchumi ila nimeumia akili za kawaida Wakati wa utawala wa Clinton kulianzishwa ushirikiano kitu kinaitwa Goa yaani ushirikiano wa USA na nchi zinazoinukia kiuchumi za africa na asia Hii ilisababisha viwanda vingi kuanzishwa hasa vya nguo vikawa vinatengeneza nguo na kuingiza...
  12. H

    Hizi ni fikira chanya za manabii/mitume wa Kiafrika wasiokubalika nyumbani kwao AFRIKA,tuziweke hapa:-

    BOB MARLEY:- "How can you be sitting there Telling me that you care That you care? When every time I look around, The people suffer in the suffering In every way, in everywhere Say, na-na-na-na-na (na-na, na-na!) We're the survivors Yes, the Black survivors" WAKE UP AFRIKA!
  13. H

    MITUME/MANABII wetu wa Afrika watauwawa hadi lini tukiangalia tu? By Bob Marley

    "How long shall they kill our prophets while we stand side and look" By Bob Marley -Biko -Nkuruma -Sankara -Samora -Nk WAKE UP AFRIKA WAKE UP BLACK PEOPLE THIS IS YOUR TURN!!
  14. H

    Nitasimama daima na "Waasisi wa Afrika waliotangulia mbele ya haki kwaajili ya Waafrika" na siyo kwaajili ya wakoloni

    Naanza kwa sara ya UAFRIKA: Ee Mungu, Mikononi mwako naweka Roho za WAAFRIKA WOTE. Nakushuru Mungu kwa baraka zote ulizotujalia WAFRIKA. Ee Mungu wa majeshi,nakushuru kwa wema wako umetulinda mpaka kufikia sasa WAAFRIKA tunaanza KUJITAMBUA ,tunasema Asante sana. Ee Mungu Baba nakuja tena...
  15. Sijui ni tabia Ya Kiafrika Sijui ni Tanzania pekee?

    Afrika yetu sijui ni Tanzania yetu.. Watu wanaweza. Wakupe mchango wa Harusi Birthday party Rambi Rambi Lakini hawezi akakupatia Mtaji. Na hata ukianzisha biashara Anaweza Asije kukusapoti. Ndio kwanza anaweza aanze kukusema vibaya na asubirie anguko lako.... Sijui sisi Tukoje🤣
  16. H

    Dini Asilia za Kiafrika

    Dini asilia za Kiafrika ni kati ya dini za jadi ambazo zinadumu hata leo, ingawa wafuasi wake walipungua mwaka hadi mwaka kulingana na dini zilizotokea Mashariki ya Kati, hasa Ukristo na Uislamu, ambazo zilienea Afrika, bara kubwa lenye jamii na tamaduni nyingi ila kwa sasa Dini za Asili za...
  17. H

    Je, bado kuna Waafrika wenye akili wanaoamini kuwa Uislam na Ukristo ndiyo dini za kweli za Mungu?

    Habarini, Mwafrika yoyote aliyesoma kweli na kujitambua lazima keshaelewa kuwa uislama na ukristo ni uongo kulingana na malengo na hasara zake kwa waafrika ikiwepo kupiteza asili na utamaduni wa Waafrika wa ukweli ktk kuabudu na kuamini. Hivi kweli inawezekanaje mtu amesoma kuanzia la kwanza...
  18. Vijana wa kisasa wa Kiafrika!

    Katika jamii ya sasa, vijana wengi wanakosa mwelekeo na thamani, na hili linaweza kuathiri jamii nzima. Kama kizazi hiki hakitapewa uangalizi na mwongozo, tunaweza kujikuta na kizazi kilichopoteza mwelekeo, hata kabla ya kufika kaburini. Vijana wanavua ndoto kwa kubeti, wakitegemea bahati...
  19. Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ameukataa msaada wa Saudi Arabia kujengewa misikiti 200

    Nasema ni ujinga kwasababu nchi ina changamoto nyingi za msingi lakini anakuja mpumbavu anaona kabisa raia wako au anachoweza kukusaidia ni misikiti. TAFSIRI: Rais wa Burkinafaso Ibrahim Traore ameukataa msaada wa Saudi Arabia wa kujengewa misikiti 200 katika nchi yake. Badala yake...
  20. DNA zetu za kiafrika

    Kama ulikua hujui kuwa unaweza kumjua mtoto ni wako au sio wako bila kupima DNA wacha nikufahamishe;- Watu wengi huamini kuwa njia ya kicheki DNA pekee, Ndio inayo tambulisha kuwa mtoto sio wako, Jambo ambalo kiuhalisia sio kweli kabisa, Sasa leo wacha nikujulishe njia nyengine mbili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…