Siku ya kwanza, Mwanaume anasikiliza na Mwanamke anasikiliza, Padre ndio anaongea.
Mwaka wa kwanza wa ndoa, Mwanaume anaongea Mwanamke anasikiliza.
Mwaka wa pili, Mwanamke ndio anaongea. Mwanaume unasililiza.
Mwaka wa tatu, Mwanaume unaongea na Mwanamke anaongea, Majirani wanasikiliza...