khamis abdulla ameir

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mohamed Said

    Pitio la Kitabu Cha Khamis Abdulla Ameir: Maisha Yangu Miaka Minane Ndani ya Baraza la Mapinduzi Khaini au Mhanga wa Mapinduzi?

    ''Yupo lakini huisikii sauti yake. Hasemi lakini yuko wala huhisi kuwepo kwake. Lakini yupo ila wewe humuoni. Anasikiliza zaidi ya yeye kuzungumza. Huisikii sauti yake. Utamfahamu na kumtambua katika yale atakayofanya.''
  2. Mohamed Said

    Pitio la kitabu cha Khamis Abdulla Ameir sehemu ya tatu na ya mwisho

    PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI YA BARAZA LA MAPINDUZI KHAINI AU MHANGA WA MAPINDUZI?’’ SEHEMU YA TATU NA YA MWISHO Kila msomaji atachokisoma katika kitabu hiki kinatoka kwa mtu wa kuaminika ingawa wakati mwingine unaweza kuona tofauti ya taarifa...
  3. Mohamed Said

    Pitio la Kitabu cha Khamis ''Theoretician'' Abdulla Ameir '' Maisha Yangu''

    Kitabu cha Khamis Abdulla Ameir kimezinduliwa leo asubuhi. Hapo chini ni sehemu ya kwanza ya pitio la kitabu hicho: PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI YA BARAZA LA MAPINDUZI KHAINI AU MHANGA WA MAPINDUZI?’’ SEHEMU YA KWANZA Kitabu chochote cha...
  4. Mohamed Said

    Kitabu cha Khamis Abdulla Ameir kipo tayari

    KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR KIPO TAYARI Rafiki yangu mmoja katika uongozi wa juu Zanzibar na aliyeshuhudia yote yaliyotokea kabla na baada ya mapinduzi alipata kuniambia kuwa ili kuielewa historia ya Zanzibar inataka mtu apinde mgongo kuisoma. Akaendelea kusema na ubongo wako ufungue uwe...
Back
Top Bottom