''Yupo lakini huisikii sauti yake.
Hasemi lakini yuko wala huhisi kuwepo kwake.
Lakini yupo ila wewe humuoni.
Anasikiliza zaidi ya yeye kuzungumza.
Huisikii sauti yake.
Utamfahamu na kumtambua katika yale atakayofanya.''
PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI YA BARAZA LA MAPINDUZI KHAINI AU MHANGA WA MAPINDUZI?’’
SEHEMU YA TATU NA YA MWISHO
Kila msomaji atachokisoma katika kitabu hiki kinatoka kwa mtu wa kuaminika ingawa wakati mwingine unaweza kuona tofauti ya taarifa...
Kitabu cha Khamis Abdulla Ameir kimezinduliwa leo asubuhi.
Hapo chini ni sehemu ya kwanza ya pitio la kitabu hicho:
PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI YA BARAZA LA MAPINDUZI KHAINI AU MHANGA WA MAPINDUZI?’’
SEHEMU YA KWANZA
Kitabu chochote cha...
KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR KIPO TAYARI
Rafiki yangu mmoja katika uongozi wa juu Zanzibar na aliyeshuhudia yote yaliyotokea kabla na baada ya mapinduzi alipata kuniambia kuwa ili kuielewa historia ya Zanzibar inataka mtu apinde mgongo kuisoma.
Akaendelea kusema na ubongo wako ufungue uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.