Habari za usiku,
Naombeni mnisaidie kwa wataalamu wa afya, mtoto wa dada angu amelawitiwa shuleni kama mara mbili kwa maelezo yake, umri wake 8 years, amepimwa magonjwa hana, kesi ipo Polisi kwa mtuhumiwa, alikuwa ameanza dalili zakujisaidia kila mara chooni baadhi ya siku, nini kifanyike...