kesi ya uhaini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: Ndugu wa walioshtakiwa kwa Uhaini baada ya Uchaguzi wafurika Mahakamani

    Leo Novemba 19, 2025 kesi za uhaini zinazowakabili washtakiwa zaidi ya 100 (waliokamatwa kwa nyakati tofauti kuanzia Oktoba 29) zinatarajiwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Hata hivyo ndugu na jamaa wa washtakiwa, waliofika mahakamani hapo kwa ajili ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Waliofuata Mkumbo na kupewa kesi ya Uhaini wamesamehewa, Waliokufa je?

    Kumbe mlijua kuna vijana wanafuata mkumbo kwanini muwapige risasi za kichwa na marungu? Ndio mnavyolea watoto wenu huko au watoto wa masikini ndio wakujifunzia kulenga shabaha? Nafikiri huu unaoitwa msamaha lengo lake ni kutaka kusamehewa na yeye. Umetengeneza tatizo halifu unjifanya...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa alilofanya Samia kwenye hotuba yake ni kukiri kuna Watoto wameuliwa na kupewa kesi ya Uhaini

    Mimi sio ICC prosecutor bali nachojua kama atapeleka huko ataulizwa, umesema polisi walikuwa wanazuia uhalifu je hao watoto walikuwa wanaandamana? Kama walikuwa hawaandamani kwanini ulitoa oder wauawe. Huo uhaini hao watoto waliufanya wapi na lini, na huo msamaha kwa wahaini umeanza lini...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia atangaza msamaha kwa washtakiwa wa kesi ya uhaini, “hasa kwa walioingia kwa kufuata mkumbo“

    Rais Samia amesema kuna vijana ambao ulikuwa ukiwaangalia walikuwa wakionekana wakifuata mkumbo lakini hawakuwa wakielewa kile walichokuwa wanafanya. Hivyo ameagiza vyombo vya ulinzi vijana wote waliofanya makosa kwa kufuata mkumbo wafutiwe makosa yao. Rais Samia amenukuu mstari kutoka kwenye...
  5. Ileje

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, kuna sababu ya msingi ya kuendelea na kesi ya uhaini ya Tundu Lissu?

    Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu inahusu kuzuia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 October 2025. Wote tumeshuhudia uchaguzi feki uliofanyika kwa kuwa na mahudhurio duni, vurugu zilizosababisha mauaji ya mamia ya wananchi kwa bunduki za polisi, kura feki kupigwa, mali za umma na watu binafsi kuharibiwa kwa...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nov 12: Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa kwa muda usiojulikana mpaka Mahakama itakapotoa Notisi ya siku ya kusikilizwa

    Leo Novemba 12, 2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inatarajiwa kuendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo iliahirishwa Jumatatu ya Novemba 10, 2025 baada ya upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili Thawabu Issa kuieleza...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mahakama kutoa uamuzi wa uhalali wa hati ya kesi ya uhaini ya Jenifer Jovin( Niffer) na wenzake 21, Novemba 25

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi wa uhalali wa hati ya kesi ya uhaini inayomkabili mfanyabiashara Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer na wenzake 21, Novemba 25, 2025. Mahakama hiyo imepanga tarehe hiyo kutoa uamuzi huo, leo Jumanne, Novemba 11, 2025, baada ya...
  8. Black Opal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

    Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo...
  9. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watu 29 wafikishwa Mahakamani kwa kesi ya uhaini Mara, Jumla yafikia 320 nchi nzima

    Maumivu yanazidi kuendelee! Hivi hii serikali itawakamata wangapi? Kudai haki Tanzania sasa imegeuka kosa la Uhaini. Ipo siku ya ukombozi inakuja tu ============= Watu 29 wakiwemo wanachama wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoa wa...
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Clemence Mwandambo: Vijana wengi waliokamatwa kwa kesi ya Uhaini ni watoto wa Masikini, Serikali iwafikirie hawa vijana ni huruma

    Mzee Clemence Mwandambo anasema Vijana wengi waliokamatwa wakati wa Maandamano ya Oktoba 29 na kusomewa hatia ya Uhaini ni watoto wa Masikini na hata wao wenyewe ni Masikini na inawezekana waliingia kwenye maandamano wakiwa hawajui wanahitaji nini, hivyo ameiomba Serikali kuwafikiria hao vijana...
  11. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tunaelewa kuwa serikali imepanga kuwakamata na kuwapa kesi ya uhaini viongozi wetu ili chama kikose viongozi na kupoteza uelekeo

    Kupitia taarifa yao kwa umma CHADEMA wameonesha masikitiko yao na hofu kufuatia kukamatwa kwa viongozi wake wa juu. === TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuufahamisha umma kuwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limemkamata Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ukatili mkubwa huu, huyu kijana anayetuhumiwa pamoja na Niffer kesi ya uhaini apandishwa kizimbani akiwa na majeraha makubwa

    Huyu kaka ni mmoja kati ya Vijana ambao wameshitakiwa pamoja na Niffer kwenye kesi ya Uhaini. Hii picha imepigwa wakati anashuka kwenye Karandinga Soma: Wengine 95 wapandishwa Kisutu jioni hii kwa Mashtaka ya Uhaini, idadi yafikia watuhumiwa 291 nchi nzima Ukizoom hii picha utagundua kwamba...
  13. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wengine 95 wapandishwa Kisutu jioni hii kwa Mashtaka ya Uhaini, idadi yafikia watuhumiwa 291 nchi nzima

    Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam muda huu, leo (Ijumaa, Novemba 07.2025) washtakiwa wengine 95 wamefikishwa Mahakamani hapo na kusomewa mashtaka mawili ya uhaini Shtaka la kwanza ni kupanga njama za kutenda la uhaini ambapo inaelezwa kuwa kati ya Aprili hadi Oktoba 29 mwaka...
  14. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jamhuri yaongeza wengine 47 kwenye kesi ya Uhaini baada ya Maandamano Oktoba 29, idadi yafikia watu 145

    Baada ya kuwafikisha Mahakama ya Kisutu leo watanzania 98 akiwemo Mfanyabiashara Jeniffer Jovin (Niffer) kwa mashtaka ya Uhaini, Jamhuri imeongeza idadi ya watuhumiwa wengine wapya 47, hivyo kufanya orodha ifikie watu 145. Soma Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI...
  15. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama hivyo ndivyo, Binafsi naomba niunganishwe na Niffer pamoja na wenzie kwenye Kesi ya Uhaini!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane! Mimi binafsi ni mpingaji wa Dhulma,uminyaji wa Haki,mauaji ya raia,Utekaji wa raia kila mahali,UminywaJi wabl Demokrasia pamoja na Upingaji wa ukandamizaji wa Vyombo vya habari zikiwemo Blogs! Binafsi naomba Mamlaka za nchi hii ziniunganishe kwenye Kesi...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 24, shahidi wa nne wa jamhuri asubiriwa kwa hamu

    Shahidi wa Tatu (3) wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya amemaliza kutoa ushahidi wake hapo jana Leo, Ijumaa Oktoba 24.2025, kesi hiyo inayosikilizwa mfululizo kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu ameshinda pingamizi lake FLASH Disk na Memory Card zakataliwa na mahakama kuu, shahidi wa 3 wa jamhuri kutoa ushaidi wake

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ameshinda mapingamizi yake, ambaye anajitetea mwenyewe kwenye kesi hiyo, ambapo miongoni mwa mapingamizi hayo aliyoyawasilisha mwishoni mwa juma lililopita ni pamoja na lile linalohusu kupinga Mahakama kupokea 'Flash Disk' na 'Memory Card' kama kielelezo kutoka...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea leo Oktoba 22, 2025, Mahakama kutoa uamuzi mdogo, shahidi wa 3 wa jamhuri kutoa ushaidi wake

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea tena leo, Jumatano Oktoba 22.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kama ilivyo kawaida chini ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Danstan...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Huyu shahidi wa tatu wa Jamhuri ana umuhimu gani katika hii kesi ya uhaini dhidi ya Lissu?

    Mimi naona ni kupoteza muda kwasababu Tundu Lissu hajaikataa hiyo video. Amekubali hiyo video, amekubali maneno yaliyopo kwenye hiyo video. Hapa kinachabishaniwa ni maneno aliyoyatamka kama yanaviashiria vya uhaini. Mimi naona kinachofanyika hapo mahakamani ni mbwembwe tu na kupotezeana...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akiendelea kumbana shahidi maswali Kesi ya uhaini leo Mahakamani - Oktoba 15, 2025

    #UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo Oktoba 15, 2025. Last time tuliishia part 101 so leo tunaendelea na Part 102 Leo Tarehe 15/10/2025. Mheshimiwa Tundu Lissu ameingia Mahakamani. Amesimama Kizimbani anauliza Polepole amepatikana na Mama anasemaje si Balozi wake? Majaji wameingia na Shahidi nae...
Back
Top Bottom