kesi ya uhaini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ileje

    PostGE2025 Je, kuna sababu ya msingi ya kuendelea na kesi ya uhaini ya Tundu Lissu?

    Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu inahusu kuzuia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 October 2025. Wote tumeshuhudia uchaguzi feki uliofanyika kwa kuwa na mahudhurio duni, vurugu zilizosababisha mauaji ya mamia ya wananchi kwa bunduki za polisi, kura feki kupigwa, mali za umma na watu binafsi kuharibiwa kwa...
  2. Waufukweni

    PostGE2025 Nov 12: Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu yaahirishwa kwa muda usiojulikana mpaka Mahakama itakapotoa Notisi ya siku ya kusikilizwa

    Leo Novemba 12, 2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inatarajiwa kuendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo iliahirishwa Jumatatu ya Novemba 10, 2025 baada ya upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili Thawabu Issa kuieleza...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Mahakama kutoa uamuzi wa uhalali wa hati ya kesi ya uhaini ya Jenifer Jovin( Niffer) na wenzake 21, Novemba 25

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi wa uhalali wa hati ya kesi ya uhaini inayomkabili mfanyabiashara Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer na wenzake 21, Novemba 25, 2025. Mahakama hiyo imepanga tarehe hiyo kutoa uamuzi huo, leo Jumanne, Novemba 11, 2025, baada ya...
  4. Black Opal

    PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

    Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mtu anayetuhumiwa au kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi hawezi kupata dhamana, kitu ambacho tulikitegemea kwa viongozi wa CHADEMA kina Lema, Heche, Boni Yai na Golugwa. Wawasumbue weee kama wanavyomsumbua Lissu, mwishoni DDP aseme hana nia ya kuendelea na kesi hiyo...
  5. Mafyangula

    GE2025 Watu 29 wafikishwa Mahakamani kwa kesi ya uhaini Mara, Jumla yafikia 320 nchi nzima

    Maumivu yanazidi kuendelee! Hivi hii serikali itawakamata wangapi? Kudai haki Tanzania sasa imegeuka kosa la Uhaini. Ipo siku ya ukombozi inakuja tu ============= Watu 29 wakiwemo wanachama wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoa wa...
  6. R

    GE2025 Clemence Mwandambo: Vijana wengi waliokamatwa kwa kesi ya Uhaini ni watoto wa Masikini, Serikali iwafikirie hawa vijana ni huruma

    Mzee Clemence Mwandambo anasema Vijana wengi waliokamatwa wakati wa Maandamano ya Oktoba 29 na kusomewa hatia ya Uhaini ni watoto wa Masikini na hata wao wenyewe ni Masikini na inawezekana waliingia kwenye maandamano wakiwa hawajui wanahitaji nini, hivyo ameiomba Serikali kuwafikiria hao vijana...
  7. W

    CHADEMA: Tunaelewa kuwa serikali imepanga kuwakamata na kuwapa kesi ya uhaini viongozi wetu ili chama kikose viongozi na kupoteza uelekeo

    Kupitia taarifa yao kwa umma CHADEMA wameonesha masikitiko yao na hofu kufuatia kukamatwa kwa viongozi wake wa juu. === TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuufahamisha umma kuwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limemkamata Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa...
  8. Waufukweni

    Ukatili mkubwa huu, huyu kijana anayetuhumiwa pamoja na Niffer kesi ya uhaini apandishwa kizimbani akiwa na majeraha makubwa

    Huyu kaka ni mmoja kati ya Vijana ambao wameshitakiwa pamoja na Niffer kwenye kesi ya Uhaini. Hii picha imepigwa wakati anashuka kwenye Karandinga Soma: Wengine 95 wapandishwa Kisutu jioni hii kwa Mashtaka ya Uhaini, idadi yafikia watuhumiwa 291 nchi nzima Ukizoom hii picha utagundua kwamba...
  9. Heparin

    GE2025 Wengine 95 wapandishwa Kisutu jioni hii kwa Mashtaka ya Uhaini, idadi yafikia watuhumiwa 291 nchi nzima

    Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam muda huu, leo (Ijumaa, Novemba 07.2025) washtakiwa wengine 95 wamefikishwa Mahakamani hapo na kusomewa mashtaka mawili ya uhaini Shtaka la kwanza ni kupanga njama za kutenda la uhaini ambapo inaelezwa kuwa kati ya Aprili hadi Oktoba 29 mwaka...
  10. Heparin

    GE2025 Jamhuri yaongeza wengine 47 kwenye kesi ya Uhaini baada ya Maandamano Oktoba 29, idadi yafikia watu 145

    Baada ya kuwafikisha Mahakama ya Kisutu leo watanzania 98 akiwemo Mfanyabiashara Jeniffer Jovin (Niffer) kwa mashtaka ya Uhaini, Jamhuri imeongeza idadi ya watuhumiwa wengine wapya 47, hivyo kufanya orodha ifikie watu 145. Soma Niffer na wengine 97 wafunguliwa mashtaka, yakiwemo ya UHAINI...
  11. UMUGHAKA

    GE2025 Kama hivyo ndivyo, Binafsi naomba niunganishwe na Niffer pamoja na wenzie kwenye Kesi ya Uhaini!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane! Mimi binafsi ni mpingaji wa Dhulma,uminyaji wa Haki,mauaji ya raia,Utekaji wa raia kila mahali,UminywaJi wabl Demokrasia pamoja na Upingaji wa ukandamizaji wa Vyombo vya habari zikiwemo Blogs! Binafsi naomba Mamlaka za nchi hii ziniunganishe kwenye Kesi...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 24, shahidi wa nne wa jamhuri asubiriwa kwa hamu

    Shahidi wa Tatu (3) wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya amemaliza kutoa ushahidi wake hapo jana Leo, Ijumaa Oktoba 24.2025, kesi hiyo inayosikilizwa mfululizo kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Tundu Lissu ameshinda pingamizi lake FLASH Disk na Memory Card zakataliwa na mahakama kuu, shahidi wa 3 wa jamhuri kutoa ushaidi wake

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ameshinda mapingamizi yake, ambaye anajitetea mwenyewe kwenye kesi hiyo, ambapo miongoni mwa mapingamizi hayo aliyoyawasilisha mwishoni mwa juma lililopita ni pamoja na lile linalohusu kupinga Mahakama kupokea 'Flash Disk' na 'Memory Card' kama kielelezo kutoka...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kuendelea leo Oktoba 22, 2025, Mahakama kutoa uamuzi mdogo, shahidi wa 3 wa jamhuri kutoa ushaidi wake

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea tena leo, Jumatano Oktoba 22.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kama ilivyo kawaida chini ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Danstan...
  15. M

    Huyu shahidi wa tatu wa Jamhuri ana umuhimu gani katika hii kesi ya uhaini dhidi ya Lissu?

    Mimi naona ni kupoteza muda kwasababu Tundu Lissu hajaikataa hiyo video. Amekubali hiyo video, amekubali maneno yaliyopo kwenye hiyo video. Hapa kinachabishaniwa ni maneno aliyoyatamka kama yanaviashiria vya uhaini. Mimi naona kinachofanyika hapo mahakamani ni mbwembwe tu na kupotezeana...
  16. C

    Tundu Lissu akiendelea kumbana shahidi maswali Kesi ya uhaini leo Mahakamani - Oktoba 15, 2025

    #UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo Oktoba 15, 2025. Last time tuliishia part 101 so leo tunaendelea na Part 102 Leo Tarehe 15/10/2025. Mheshimiwa Tundu Lissu ameingia Mahakamani. Amesimama Kizimbani anauliza Polepole amepatikana na Mama anasemaje si Balozi wake? Majaji wameingia na Shahidi nae...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Tundu Lissu: Pingamizi la Jamhuri lagonga mwamba

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam mapema leo, Jumatatu Oktoba 13.2025 imetoa 'uamuzi mdogo' kufuatia pingamizi lililokuwa limewekwa mwishoni mwa juma lililopita na upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  18. tonicimmobility

    Tundu Lissu alivyofikishwa Mahakama kuu leo Oktoba 13, 2025 kuendelea na mahojiano na shahidi wa pili

    Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam tayari msafara uliombeba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu umefika kwenye viunga vya Mahakama hiyo, kwaajili ya kuendelea na mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili kwa ratiba ya leo, Jumatatu Oktoba 13.2025 Kesi hiyo...
  19. J

    Kesi ya Uhaini Uganda inarushwa mubashara ktk TV. Kwanini kesi ya TAL hairushwi mubashara na TV za Tanzania?

    ..kichwa cha habari chahusika. ..kesi ya uhaini inayoendelea Uganda inarushwa na TV zao mubashara. ..kesi ya uhaini inayomhusu TAL hapa Tanzania ilianza kurushwa mubashara. ..lakini katika mazingira na sababu zisizoeleweka Mahakama ya Tanzania imekatisha kesi ya uhaini ya TAL kurushwa...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu kuendelea leo Oktoba 10, 2025, Mshitakiwa kumuuliza maswali ya dodoso shahidi wa 2 Inspekta wa polisi John Kaaya

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Oktoba 10.2025 kwaajili ya kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili Kesi hiyo ambayo inasikilizwa kwa mfululizo Mahakamani...
Back
Top Bottom