kesi ya uhaini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya Tundu Lissu: Pingamizi la Jamhuri lagonga mwamba

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam mapema leo, Jumatatu Oktoba 13.2025 imetoa 'uamuzi mdogo' kufuatia pingamizi lililokuwa limewekwa mwishoni mwa juma lililopita na upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  2. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu alivyofikishwa Mahakama kuu leo Oktoba 13, 2025 kuendelea na mahojiano na shahidi wa pili

    Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam tayari msafara uliombeba Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu umefika kwenye viunga vya Mahakama hiyo, kwaajili ya kuendelea na mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili kwa ratiba ya leo, Jumatatu Oktoba 13.2025 Kesi hiyo...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini Uganda inarushwa mubashara ktk TV. Kwanini kesi ya TAL hairushwi mubashara na TV za Tanzania?

    ..kichwa cha habari chahusika. ..kesi ya uhaini inayoendelea Uganda inarushwa na TV zao mubashara. ..kesi ya uhaini inayomhusu TAL hapa Tanzania ilianza kurushwa mubashara. ..lakini katika mazingira na sababu zisizoeleweka Mahakama ya Tanzania imekatisha kesi ya uhaini ya TAL kurushwa...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu kuendelea leo Oktoba 10, 2025, Mshitakiwa kumuuliza maswali ya dodoso shahidi wa 2 Inspekta wa polisi John Kaaya

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Oktoba 10.2025 kwaajili ya kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili Kesi hiyo ambayo inasikilizwa kwa mfululizo Mahakamani...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu afikishwa tena mahakamani leo Oktoba 9, 2025, Mawakili wa Jamhuri kumuhoji shahidi namba moja wa Jamhuri

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa mahakamani katika Kesi hiyo ambayo mshtakiwa anajitetea mwenyewe, leo imekuja kwaajili ya Mawakili wa Jamhuri kumuhoji 're-examination' shahidi namba moja (1) wa Jamhuri ACP George Willbert Bagyemu baada ya mshtakiwa kumaliza kumuhoji maswali ya...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu aendelea kumbana maswali magumu Afande George katika kesi ya Uhaini dhidi yake na Jamhuri

    Part 74 Mhe. Lissu: Je unafahamu December 2020 mshitakiwa alipata tuzo inayoitwa BushThetcher Award for freedom kwasababau ya kupigania haki za binadamu? George: Sifahamu Mhe. Lissu : Je unajua mwaka jana TLS walimtunukia tuzo kwa utumishi wake ndani ya Chama cha Mawakili Tanganyika...
  7. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wawakilishi wa Marekani na New Zealand wazuiliwa kuingia kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Leo Oktoba 6, 2025 katika mwendelezo wa usikilizaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limewazuia, Mwakilishi wa Balozi wa Marekani na Mwakilishi kutoka Newsland kuingia ndani ya mahakama kwenye kesi ya Mh. Tundu Lissu. Soma CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu ataja mashahidi 15 kwenye kesi yake ya uhaini. Wamo Rais Samia, Mpango, Majaliwa, Jaji Mutunga na Martha Karua

    Shahidi wangu wa 1 ni Samia Suluhu Hassan. Huyu anapatikana Ikulu ya Kivukoni. Akikosekana anapatikana Ikulu ya Dodoma. Shahidi wangu wa 2 anaitwa Philip Isdor Mpango. Huyu anapatikana ofisi ya makamu wa Rais, mji wa Serikali Dodoma. Shahidi wangu wa 3 anaitwa Kassim Majaliwa Kassim. Huyu...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Upande wa Jamhuri walalamikia taarifa za Upotoshaji kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, umeiomba Mahakama Kuu kupima maneno na taarifa zinazoripotiwa na vyombo vya habari, wakidai baadhi yake ni za upotoshaji na zinavunja hadhi ya Mahakama. Soma > Mahakama Kuu yatupilia mbali pingamizi la...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Majaji wa Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu, wanatosha? Wanatenda haki?

    Kwa kusiliiza hoja za mawakili wa serikali na hoja za Lissu, majaji wa hii kesi kweli wanatenda haki kwa hii kesi kuendelea kuwepo mpaka muda huu? Kwa maneno mengine, majaji hawa wanatosha,? Labda niulize: Je, maamuzi ya Mahakama ya Rufaa kwa kesi za aina hii zilizotangulia, hayatoshi kufuta...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu akifikishwa Mahakamani kuendelea na Kesi ya Uhaini leo Septemba 18,2025

    Leo, Alhamisi Septemba 18.2025 kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu inaendelea tena kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam Leo Jamhuri itaanza kujibu mapingamizi mawili yaliyowekwa na Tundu Lissu, ikiwemo pingamizi linalohusu uhalali wa...
  12. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania Mwenendo wa kesi ya uhaini umenipa sababu ya kuipuuzia sheria

    Tangu Kisutu hadi mahakama kuu nikifuatilia hii kesi ya uhaini nimefikia hitimisho kuwa kinachofanyika ni figisu tu. Lugha ngumu, mabuku makubwa, muda mwingi kupotea, na mavazi yenye madoido mengi, n.k. Fikiria mtu anajenga hoja na kujenga hadi unaziona lakini watu wanateta kando kisha wanasema...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Kesi ya uhaini wa Tundu Lissu: Jaji Danstan Ndunguru na wenzako mtaibeba Jamhuri kinyume cha sheria hadi lini? Jiokoeni na mjiepushe la laana ya Mungu

    DCI Ramadhani Kingai na polisi wake, DPP na mawakili wake wa walichokiira "Kesi ya uhaini wa Tundu Lissu" wakiongozwa na wakili wa Jamhuri Nassoro Katuga na Hakimu Franco Kiswaga wa Kisutu Magistrate Resident Court mpaka hapa tulipo, walipaswa kuwa wamekula pingu na kuwa gerezani kwa makosa ya...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, kulikuwa na Conspiracy to distract justice of the accused kati ya DPP na Hakimu Franco Kiswaga wa Kisutu Committal Court kesi ya uhaini wa Lissu?

    Kesho baada ya Tundu Lissu kuhitimisha rejoinder ya hoja za upande wa Jamhuri kupinga mapingamizi yake, itathibitika pasipo shaka yoyote kuwa, kulikuwa na conspiracy to distract justice of the accused kulikofanywa na hakimu wa mahakama ya ukabidhi (committal court) ya Kisutu ndugu Franco Kiswaga...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu kusikilizwa Mahakama Kuu, Septemba 8, 2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chma cha Demorasia na Maendeleo (CHADEMA)Taifa, Tundu Lissu, imepangwa kusikilizwa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, Septemba 8, 2025 katika hatua ya kusoma hoja za awali. Taarifa hiyo, iliyotolewa na Wakili Gaston Shundo Garubindi...
  16. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere katika kesi ya uhaini ya Tundu Lissu apiga U-TURN, amtaka Lissu akubali maridhiano ya Mbowe style!

    "....Kesi za Lissu ni kesi dhidi ya Upinzani, Mtu yoyote anayeitakia mema nchi na siasa ya nchi hii, na atalaani kwa nguvu zote kesi hii. Mimi kama mwanasiasa ninashauri njia bora ya kumaliza kesi hii, Ninaamini Kesi hii haiwezi kuisha kwenye mkondo wa kisheria, Kesi hii ni ya Kisiasa, Hivyo...
  17. Ileje

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Jamhuri yakosa mashahidi!

    Baada ya Tundu Lissu kukiri kutamka maneno ya uasi na kukinukisha Jamuhuri imekosa mashahidi. Mawakili wa Serikali walidhani kuwa Lissu angekanusha matamshi yake kwa hiyo wakaandaa mashahidi, video na clips lukuki ambazo zingeonyesha hotuba alizozitoa kwa watia nia wa Chadema, mikutano ya...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

    Wakuu, Ni rasmi sasa hakuna updates zozote kuhusu hiyo kesi tutakuwa tunapata === "Pili uchezaji wa moja kwa moja au live streaming, utangazaji, usambazaji wa moja kwa moja mtandaoni au aina nyingine ya uenezaji wa moja kwa moja kwa umma yaani ukijumuisha mitandao ya kijamii au matangazo ya...
  19. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Wale watu wamempa kesi ya Uhaini pamoja na mama yule nawaza ikitokea amekuwa rais itakuaje nakosa majibu

    Watawala wakiwa kwenye viti wanaamini nchi ni mali yao hawajui kuna kesho wako busy kuwapa kesi watu za uongo kulinda madaraka kama watakaa nayo milele , kinga wanazofikria kuwalinda wakumbuke kuwa huwa zinafutwa. Kesi kama ya Tundu Lissu inatia kinyaa haifai hata kusikilizwa kwasababu nikesi...
  20. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Ni nini uandhani kitaamuliwa leo Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inaendelea leo Agosti 18, 2025 ambapo Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga anatarajia kutoa amri kuhusu ombi na pingamizi la urushaji wa moja kwa moja wa mwenendo wa...
Back
Top Bottom