Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Wasalauumu wakuu!!
Uzi huu nilianza kuuandaa wakati Mama Samia anaenda Kenya, lakini sikuweza kuumaliza kwa wakati, nimeamua niuweke kwa sasa, japo muktadha wa sasa haupo kuijadili Kenya, ila itabidi niuweke kwasababu kuna mambo ambayo yapo relevant sana.
Imekuwa ni kawaida sana hapa jamvini...
The woman's detailed story, with names of the Addis Nigerians, is here:
http://kenyablog.org/inmates-letters/2020/2020-12-23-Kenyan.pdf
Detection equipment at Hong Kong airport is the best in the world .... taking drugs to HK is a suicide mission.
Fr John
www.v2catholic.com
Ama kwa hakika huyu mama atakua suluhu. Najua hizi habari zitwatibua nyongo wale hupenda kuendekeza chuki lakini ndio hivyo. Tupige biashara na kuboresha chumi zetu.
========
Kenya President Uhuru Kenyatta (right) and his Tanzania counterpart President Samia Suluhu Hassan having a word during...
Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa...
TANZANIA - KENYA RELATIONSHIP: ECONOMIC DIPLOMACY TO STRENGTHEN BILATERAL TRADE
Tanzania and Kenya, two East African nations with indistinguishable ecological environment, cultural and historical background, are measured blossoming in their bilateral relations.
Our two countries have unique...
Waziri wa Viwanda na Biashara wa Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo alisema kuwa utiaji wa makubaliano hayo ni mojawapo ya jitihada za kuwezesha mahusiano ya biashara na nchi jirani kufuatia ziara iliyofanywa nchini Kenya
Alisema jumla ya vikwazo 37 vilijadiliwa katika mkutano wa pande zote hapo...
President Uhuru Kenyatta (right ) and visiting Burundi Head of State Evariste Ndayishimiye address the press at State Lodge, Kisumu on May 31, 2021. PSCU
President Uhuru Kenyatta and his Burundian counterpart Evariste Ndayishimiye on Monday, May 31 addressed the media at State House Kisumu...
Ndugu zetu wa Kusini haya mambo yamewashinda kabisa, wameambulia vigodoro tu. Hehehe
=======
Only three athletes to represent Tanzania at Tokyo Olympic games
Tanzania will be represented by only three athletes in the Tokyo’s Olympic Games after three runners failed to secure qualifying marks...
Asante Azam Media, Kampuni ambayo imechochea san aukuaji wa soka Tz, Mechi zote huzionyesha kwenye tv bila kujali ukubwa wa timu wala eneo
114,272,966.78 USD kwa miaka 10
97,284,020.03 USD baada ya government taxes.
Kwa msimu wa 2021/22 mpaka 2023/24 mgao kwa kila timu kwa kila mwezi utakuwa...
Msanii maarufu wa nyimbo za Injili nchini Kenya Guardian Angel mwenye umri wa miaka 30, amemvalisha Pete ya uchumba mpenzi wake Esther Musila mwenye umri wa miaka 51,
Bi Esther Musila ni Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa UN wa kipindi kirefu
Esther Musila yupo kama Kijana tu, anafanya sana...
Rais wa Kenya Mhesh Uhuru Kenyatta leo Mei 26, 2021 katika Ikulu ya Nairobi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saud Arabia Mwana Mfalme Faisal Bin Farhan AlSaud
Viongozi hao walijadili na kukubaliana kuongeza ushirikiano wa nchi zao kwenye maeneo ya Ulinzi na...
Kenya Railways (KR) has received the second batch of trains from Spain to increase its capacity in the Nairobi Metropolitan Area.
The six trains arrived earlier in May 2021 as confirmed by KR chairman Omudho Awitta who stated that the corporation was now looking to increase the frequencies of...
Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX.
Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
Kenyans will from June start experiencing faster Internet speeds as the government completes plans to increase capacity by up to tenfold.
ICT Principal Secretary Jerome Ochieng’, during a visit at the Telkom Kenya offices in Mombasa, said due to the increased Internet usage in the country, the...
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha...
Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.