Ni timu gani Kenya yenye udhamini mnono zaid wa fedha? Je, ni giant Gor Mahia au wababe AFC leopard?

osib

Senior Member
Jan 19, 2017
101
216
Habari zenu wakubwa,

Kwasasa soka la Africa mashariki linainuka kwa kasi sana angalau sasa wadhamin wanaweka pesa ya maana. Mfano kwa hapa Tz giant Yanga kaingia mkataba mnono na kampuni ya Azam media kwa engagement ya kurusha shughuli za yanga like mazoezi

Mahojiano ya wachezaji wa Yanga, mikutano yake nk, pesa waliyoweka ni nzuri. Najua Simba soon watasign deal kama hii. Sponsors wa vilabu vya Kenya wanafanya mikataba minono pia? Kama sio ni wajibu wao sasa kutoa pesa nzuri sio kuzinyonya club zetu tu. Now it's time for east Africa club to shine!
 
Naiman time zetu kubwa zitakapokuwa na uwezo wa kuingiza angalau usd 5 milion per season. Tutaleta ushindani wa kutosha kwa michuano ya Africa ngazi ya vilabu. Binafsi naamin East Africa tuna wachezaji wazuri Sanaa.
 
Uwekezaje mkubwa unaofanywa Tz kwenye football matunda yake yataanza kuonekana zaidi after 3yrs, clubs kubwa za Tz kwa sasa zina pesa na utawala ulioboreka, hakuna mchezaji mzuri kwa East and Central Africa ambaye hatamani kuja kucheza Simba au Yanga.
 
Back
Top Bottom