kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Victor Inyangala

    Kenya politics

    Kenya is facing a difficult time of general election and difficult economy now as politics are getting critical each and every day.https://WeekendPayout.com/?userid=121552
  2. Analogia Malenga

    Kenya: Kupanda kwa bei ya viazi na mafuta kwasababisha migahawa kuondoa chipsi kwenye menyu

    Bei ya mafuta ya kupikia na viazi mviringo imeonekana kuwa tatizo kwa baadhi ya maeneo ya Kenya kiasi cha wauza chakula, Chepchikoni Eateries kuondoa chipsi kati menu yao Mmiliki wa Chepchikoni amesema bei ya mafuta na viazi inasababisha apate hasara. Muuza chipsi mwingine anayetambuli kama...
  3. BestFundi

    Kiswahili cha Kenya kinafurahisha sana

  4. joto la jiwe

    Serikali ya Kenya yatumia Ksh 1B kwa wiki kununua wanasiasa wa upinzani, wakati Wakenya wengi wanakufa kwa njaa

    Nchi ya hovyo, hupata viongozi wa hovyo Tony254 dyfre
  5. Suley2019

    Kenya: Wasiojulikana wazidi kuua, miili ya wawili yapatikana, idadi ya waliouawa wafikia 29

    Miili miwili kati ya mitatu ya watu iliyopatikana juzi Ijumaa ilikutwa ikielea katika Mto Yala Nchini Kenya. Mmoja ulikutwa umetobolewa macho huku ukiwa umekunjwa na kitambaa katika mdomo, mwingine ukiwa umezungushiwa nailoni juu ya kichwa na kufunika uso. OCPD Charles Chacha wa Yala...
  6. Analogia Malenga

    Kenya yaruhusu utoaji mimba

    Mahakam Kuu ya #Malindi, nchini #Kenya imetambua utoaji mimba kuwa ni Haki ya Msingi inayotambuliwa na Katiba ya Kenya. Kuwakamata wanaotoa mimba ni kinyume cha Sheria Polisi nchini humo wamekuwa wakiwakamata watumishi wa Afya na Wanawake kwa tuhuma za utoaji mimba. Kesi ya hivi karibuni ya...
  7. pingli-nywee

    Karibu Kanairo, Karibu Kenya

    Hii expressway mpya 'imeua'...
  8. MK254

    Microsoft opens multi-billion tech talent hub in Kenya

    Ndio umuhimu wa kuwa nchi yenye watu wenye akili kubwa, nchi yako inachaguliwa kwenye kila uwekezaji unaohitaji matumizi ya ubongo. ======== American tech firm Microsoft has opened a new Sh3 billion ($27 million) office and labs for its premier engineering hub, the African Development Centre...
  9. Analogia Malenga

    Kenya kutupa dozi 800,000 za Covid-19 zilizoisha muda

    Wizara ya afya nchini Kenya imetangaza kwamba muda wa matumizi wa zaidi ya dozi laki nane dhidi ya ugonjwa COVID-19 aina ya AstraZeneca umekamilika bila kutumiwa. Idadi ya watu wanaojitokeza kuchanjwa imepungua pakubwa baada ya serikali kulegeza baadhi ya masharti yaliyowekwa kudhibiti...
  10. Ikaria

    Kenya2022 Mtihani wa kuwapata wagombea-wenza sahihi wa kiti cha urais Kenya

    Mtihani mkubwa ulioko mbele ya Wagombea wa kiti cha Urais #Kenya (Odinga na Ruto) ni chaguo la Mgombea-mwenza. Chaguo lao wote wawili huenda likabadilisha mchakato mzima wa siasa na kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu Agosti 9. Ni suala la kusubiri tu.
  11. MoseKing

    Nini kimepelekea sarafu ya Tanzania kulingana thamani na sarafu ya Kenya hivi karibuni?

    👇👇👇👇
  12. Harrykany

    Msaada wa kutuma pesa toka Kenya kwenda Tanzania (Safaricom - M-Pesa)

    Naomba kupewa maeleza step by step namna ya kutuma pesa, toka Kenya kwenda Tz kwa njia ya M-Pesa. Asanteni
  13. MK254

    Kenya opens third embassy in Southeast Asia

    Kenya has opened a new embassy in Indonesia two years after it pledged to enhance ties with the southeast Asian country. The mission in Jarkata brings to three the diplomatic stations Nairobi has in the region after setting up one in Kuala Lumpur, Malaysia, five years ago. The other is in...
  14. Analogia Malenga

    Wanajeshi wa Kenya wauawa katika shambulizi linaloshukiwa kuwa la al-shabab

    Wanajeshi wa Kenya ni sehemu ya walinda amani wa wa AU nchini SomaliaImage caption: Wanajeshi wa Kenya ni sehemu ya walinda amani wa wa AU nchini Somalia Zaidi ya wanajeshi 10 wa Kenya wameuawa katika shambulio la kilipuzi kilchotegwa kando y abarabara kusini mwa Somalia. Wengine watano...
  15. MK254

    Shukrani mama Samia; Tanzania, Kenya resolve 10 more trade hindrances

    Dar es Salaam. Tanzania and Kenya have resolved ten more trade barriers in effort to grow the trade between the two member states of the East African Community (EAC). President Samia Suluhu Hassan visited Kenya last May and met her counterpart Uhuru Kenyatta to mend the then deteriorating...
  16. M

    Kenya strikes huge quantity of Gold

    Exploration firm Shanta Gold says it has found more high-grade gold at its western Kenya project, estimated to be worth Sh365 billion. The firm says in its latest market update that it has established high-grade gold deposits estimated at 1.6 million ounces in Kakamega County, with a current...
  17. adriz

    Hii imekaaje, lugha ya Kiswahili kutambulika kama lugha ya Kenya katika apps?

    Moja kwa moja.. Leo katika kuperuzi katika nikakuta adds ya app ya kujifunza kuongea kimalkia nikaamua kuipakua . Nimestaajabu kikivyokuja kipengele cha kuchagua lugha yako unayoitumia Kiswahili kukuta imewekewa bendera ya Kenya wakati Tanzania ndiyo wazungumzaji wa Kiswahili kwa asilimia...
  18. Analogia Malenga

    Kenya yaondoa masharti yaliyowekwa kupambana na Corona

    Wizara ya Afya ya Kenya imeondoa agizo la ulazima wa nchi nzima kuvaa barakoa ikiwa ni mwongozo uliorekebishwa na kutolewa hii leo. Katika agizo hilo jipya, Kagwe amesema karantini ya lazima, na kutengwa kwa kesi zilizothibitishwa za Covid-19 kumesimamishwa mara moja, na kuongeza kuwa wagonjwa...
  19. MK254

    Safaricom's M-Pesa crosses 30 million active users in Kenya

    Mobile money transfer platform M-Pesa has crossed 30 million users in Kenya as traders accepting payments through Lipa na M-Pesa doubled, cementing Safaricom's dominance in digital transactions in the country. The giant telco's chief executive Peter Ndegwa announced Thursday that Kenya...
  20. MK254

    Kenya, Zimbabwe ink seven pacts to boost investments

    President Uhuru Kenyatta with his visiting Republic of Zimbabwe counterpart, Emmerson Mnangagwa during a press briefing at State House, Nairobi on March 9, 2022. PHOTO | PSCU Kenya has signed seven bilateral agreements with Zimbabwe even as President Uhuru Kenyatta joined the push for the...
Back
Top Bottom