kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Melubo Letema

    Wanariadha 4 wa Tanzania, Waangukia Pua huko Kenya

    Wanariadha maarufu wa nchini , waliokwenda Kenya kutafuta kufuzu mashindano ya kimataifa wameambulia nafasi ya 8 Kwa Mwanariadha wa kike, Huku Wanaume wa 3 wakiambulia patupu, Huku Mmoja akishika nafasi ya Mwisho kwenye Mbio za Mita 800. Maandalizi ya Mashindano ya Riadha Bado ni But Sana...
  2. Lady Whistledown

    Tanzania na Kenya kushirikiana kutokomeza usafirishaji haramu wa Binadamu

    Baada ya ripoti ya BBC Africa Eye kufichua kupangwa kwa utoroshwaji wa watoto walemavu kutoka Tanzania hadi Kenya na kugeuzwa omba omba, nchi hizo zimeahidi kufanya kazi kwa karibu kutokomeza biashara hiyo Mkuu wa Kitengo cha Utafiti, Takwimu na Ukarabati wa Sekretarieti ya Kupambana na...
  3. M

    Jinsi mchina alivyowatapeli maelfu ya wa Kenya dollar million 10 na kuwatukana kwenye crypto currency

    Mzuka wanajamvi! Ukiitwa kwenye fursa juwa wee mwenyewe ndio fursa. "Bado naendesha Ferrari yangu na baadhi yenu hamuwezi hata kununua chakula." Iyo ndio ilikuwa ujumbe wa mwisho wa mwanzilishi wa Crypto currency alivyoandika kwenye group la telegram baada ya kuwatapeli shilingi billion moja...
  4. MK254

    KQ intends to buy 40 flying taxis from Brazil

    Kenya Airways(KQ) has signed a deal that will see it buy 40 flying taxis from two Brazilian firms as part of the airline’s diversification through its new subsidiary Fahari Aviation. The carrier said on Tuesday it had signed a letter of intent (LOI) with EVE UAM, LLC, a subsidiary of Eve...
  5. Replica

    Kumbe tunauza zaidi Kenya kuliko wao wanavyouza kwetu! Ila mbona bado wanatuuzia sabuni nyingi hivi?

    Urari wa biashara kati ya Tanzania na Kenya umeimarika sana. Leo niliona bungeni Rashid Shangazi akiliongelea hili nikaona nijiridhishe. Kulingana na data za benki kuu ya Kenya kuishia mwaka jana Tanzania iliuza Kenya bidhaa zenye thamani ya trilioni 1.15 huku yenyewe ikinunua zenye thamani ya...
  6. JanguKamaJangu

    Kenya2022 Ruto asema atawafukuza Wachina akishinda Urais wa Kenya

    Mgombea wa Urais Nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022. Amesema kuna Wachina wanaouza mahindi ya kuchoma na simu mtaani nchini humo. "Kuna wachina wanauza...
  7. K

    Kwanini Ngorongoro?

    Kabla hatujaanza kuchagua upande wa kusemea kuna maswali ya kujiuliza kuhusiana na suala zima la Ngorongoro, Kuna maeneo mengi sana nchini Tanzania watu wanahamishwa kupisha shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Baadhi ya sehemu hizo wapo wnaaolipwa fidia na wapo ambao hawaambulii chochote. Katika...
  8. beth

    President Kenyatta rejects controversial ICT Bill

    President Uhuru Kenyatta has rejected a highly contentious Bill that sought to have all local ICT practitioners licensed and registered by a council. The Head of State on Tuesday sent the Bill back to Parliament alongside the Insurance Professionals Registration Bill of 2020 and the Higher...
  9. JanguKamaJangu

    Kenya2022 Utafiti: Umaarufu wa wagombea Urais Kenya, Raila 50%, Ruto 25%

    Mgombea wa Urais kupitia Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameendelea kuongoza kwa umaarufu kuliko wagombea wenzake katika Jiji la Nairobi, Kenya akifuatiwa na mgombea wa Kenya Kwanza, William Ruto. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Utafiti wa Shirika la Trends & Insights for Africa (TIFA)...
  10. Nebuchadinezzer

    Hayati Magufuli alipo-deal na Kenya alionekana anaharibu mahusiano, mmeona sasa?

    Mzaha mzaha, mbuzi Kampanda mamaye. Ile kauli "mtanikumbuka ilikuwa ni kauli ya kinabii na sio ya kisiasa. Nathaniel sasa kila mtanzania ameanza kuelewa kwanini JPM Ali deal na wakenya effectively. Hawa Wakenya sio majirani, ni maadui zetu, hawafai kuchukuliwa kama majirani. Suala la...
  11. beth

    Government now calls for wearing of masks, vaccination as Kenya faces 6th wave

    The government has reinstated the mandatory wearing of face masks in indoor settings as a containment measure to curb the spread of COVID-19 in the country. Addressing the media on Monday, Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe said members of the public will be required to wear face masks in...
  12. Ritz

    Wamasai wa Kenya mnatakiwa kuheshimu mipaka

    Wanaukumbi. Serikali yetu imefanya kwa nia nzuri kulinda mipaka yetu kwa kufanya zoezi la kuweka mipaka ya Nguzo kwenye maeneo yote Loliondo. Kuna wanaharakati njaa wanadai kuwa hamna Wamasai wa Kenya wala Tanzania, tunawapa tahadhari wakiendelea kuwasikiliza wanaharakati njaa wanataletea...
  13. James Martin

    Kwanini Wamasai wa Kenya wanakerwa na jambo la Ngorongoro kuliko sisi?

    Habari za Jumapili popote mlipo. Nafikiri wengi mnajua kuhusu mpango wa serikali wa kuwatafutia ndugu zetu Wamasai makazi mapya ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro. Hili jambo lilileta mjadala mkubwa sana miongoni mwa jamii yetu ya Watanzania. Wapo waliopinga kuhusu mpango wa serikali na pia...
  14. JanguKamaJangu

    KENYA: Maambukizi ya COVID-19 yapanda kwa 9.9%

    Watu 246 wamekutwa na maambukizi ya COVID-19 kati ya 2,484 waliofanyiwa vipimo ndani ya saa 24 zilizopita Nchini Kenya, huku Wizara ya Afya ikisema kuna ongezeko la 9.9% la maambukizi Katika waliobainika kuna Wakenya 196 na wageni 50, Wanaume wakiwa ni 135 na wanawake 111. Jumla ya wenye...
  15. Bibititi1

    Utafutaji wa kura maeneo kame, Kenya unavyochochea mgogoro wa Loliondo

    Watanzania si wepesi kuingilia Uhuru wa nchi nyingine Huru zinazoizunguka naweza kusema hivyo haijawahi kutokea Tanzania ikawa kinara wa mambo ya nchi nyingine siku zote wanaishi maisha yao na shida zao. Ukimya huu wa Tanzania hata kwa Dunia ni nchi ambayo iliamua kutochagua upande wowote hata...
  16. Tony254

    Kenya airways in an agreement with Delta Airlines sasa itaruhusiwa kufly to 19 US cities

    Kenya airways wamesign makubaliano na Delta airlines in a codeshare agreement. The new agreement increases customers' travel options to 19 cities in Africa and 25 cities across the U.S. and Canada. Hii partnership ya KQ na Delta inazidi kuwa tamu. ========== Kenya Airways(KQ) and US-based...
  17. Kijakazi

    Kenya ina uwezo kuitetemesha Tanzania na ikatetemeka?

    Mpaka Bungeni kwetu hata hapa JF Watanzania wanalia kwamba Kenya inahusika na kuingilia mambo yao ya ndani, hilo linasema nini kuhusu nchi ya Kenya kwetu ? Tuseme labda ni kweli Kenya inaingilia mambo ya Tanzania, hii maana yake ni kwamba Kenya ni mkubwa wa Tanzania kwani Tanzania haina uwezo wa...
  18. broken ages

    Ngorongoro ni mali ya Maasai wa Tanzania na Kenya

    WATANZANIA hatuko tayari kupaza sauti kuwatetea wachache mnaopigania kuiharibu NGORONGORO kwa faida na ubinafsi wenu bila kuyatizama maslahi mapana ya TANZANIA leo na kesho Na badala yake tutawashaurini kuondoka ili maisha yaendelee kwanini mnatetea kuishi porini ambapo kuwepo kwenu...
  19. MK254

    Kenya Airways sets up hub for training drone pilots

    Kenya Airways has launched the country's first-ever drone cage to be used for training Unmanned Aerial Vehicle pilots. Through its subsidiary, Fahari Aviation, the airline will use the facility for training and testing of drones and drone equipment. Fahari Aviation said it is positioning...
  20. R

    Mgogoro wa Ngorongoro tunawapa pointi za bure Kenya za kiplomasia. Tanzania tuna wasomi na viongozi wasio na Msaada kwa Taifa

    Habari JF, Kenya sio Muda wanaingia kwenye Uchaguzi mkuu hivyo sio rahisi kujihusisha kwenye huu mgogoro wa Ngorongoro labda wawe na mfumo imara sana katika Uongozi wa Nchi ambao hautegemei Rais anae kuwepo madarakani. Kinachofanyika Kenya ni kujizolea points za mezani kupitia huu mgogoro huu...
Back
Top Bottom