kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania African Economies With the Highest External Chinese Debt in 2017

  2. JamiiForums Tanzania Natafuta dereva wa magari ya mzigo anayekwenda Kenya Nairobi

    Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Solar photovoltaic project for Nyeri, Kenya

    The financial close for a 1.5 MWp solar photovoltaic project at Kiamariga village in Nyeri County, the central region of Kenya has been attained following the release of US$ 355,000 equity investment by the Renewable Energy Performance Platform (REPP), a UK government-funded program dedicated to...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: A waste-to-energy plant to be constructed at Dandora, Nairobi

    A waste-to-energy plant is to be constructed at Dandora, an eastern suburb in Nairobi, Kenya by the Kenya Electricity Generating Company PLC (KenGen), Kenya’s largest electricity generator in conjunction with the Nairobi Metropolitan Services (NMS). The two entities entered into an agreement...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona Total wameishindwa Tanzania, ingekuwa kampuni ya Kenya mngechekelea ila sasa wanahama wote

    Kampuni ya mafuta ya Total, ambao ndio walikua tegemeo kwa ujenzi wa bomba la mafuta Tanzania, naona wametangaza zabuni ya kuuza kila kinachowahusu Tanzania, kawaida humu huwa tunaona Watanzania wakichekelea kila panapotokea taarifa za kampuni ya Kenya kwao huko inapofungasha, sasa kwa hawa...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya becomes first country to be awarded safer tourism seal

    Kenya has become the first country globally to be awarded the recommended status of the “Safer Tourism Seal” by rebuilding travel and position the country as a safe and preferred destination. Tourism Cabinet Secretary Najib Balala was presented with the award in a virtual event that was...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

    • The teachers recruited will serve on permanent and pensionable terms of service. • Interested and qualified candidates should submit their applications online through the commission’s website not later than September 14, 2020. The Teachers Service Commission has announced a massive...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Started in Wuhan as a virus, landed in Italy as a pandemic and now in Kenya as multi-billion Ksh corruption enterprise

    Ama hakika dunia hadaa ulimwengu shujaa, Asante sana Magufuli kwa kutuepusha na hii enterprises from Wuhan.
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Mama wa miaka 42 ataka kuolewa na mtoto wa miaka 14

    Mwanamke mmoja mkazi wa Migoro Kenya amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa miaka 14 ambaye yuko darasa la nane Mama huyo ambaye alitaka kuolewa na kijana huyo amekutwa na mtoto huyo nyumbani kwake. Tendo hilo lilifahamika baada ya polisi kupata taarifa...
  10. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania List of Political Parts in Kenya

    Agano Party (AP) Alliance for Real Change Alliance Party of Kenya (APK) Chama Cha Mwananchi (CCM) Chama Cha Uzalendo (CCU) Conservative Party (CP) Democratic Party of Kenya (DP) Farmers Party (FP) Federal Party of Kenya (MDM) Ford-People (FORD-P) Forum For Restoration of Democracy-Kenya...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bamburi, Kampuni ya saruji Kenya yaongeza faida kwa asilimia 82%

    Mwendo ndio huu tu hamna kingine nchi hii. ======= Bamburi cement has posted a Ksh.83 per cent profit growth to Ksh.721 million through the first half of 2020. The near double earnings acceleration is highly attributable to costs containment efforts and gains marked in the period. The firm...
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yazidi kupaa "Ease of doing business", hamjakoma bado

    Dah ila Rwanda wale watu wanajituma, wana rais asiye mzembe, bado wanaongoza kwenye hili, ndio tatizo haupewi vyote aidha upewe ubongo na kunyimwa raslimali au upewe raslimali unyimwe ubongo. Hata hivyo Kenya inazidi kuchana mbuga tena kwa kasi ya ajabu, majirani zetu wengine tumewapiga double...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita vya GDP Afrika Mashariki ni Kati ya Kenya, Ethiopia na Tanzania tangu 1980. Nafasi ya kwanza inaeza nyakuliwa na nchi hizi tatu

    Mabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.
  14. JamiiForums Tanzania Mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, uchumi wa Tanzania ulikuwa ni mkubwa kuliko wa Kenya. Marais waliomfuatia walikwama wapi?

    Kuna shida mahali. Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye...
  15. JamiiForums Tanzania COVID-19 yaendelea kuleta kizaazaa: Tanzania yazuia kampuni tatu nyingine za ndege kutoka Kenya kutua nchini

    Mgogoro wa majirani unazidi kupamba moto, Covid19 inaendelea kudhihirisha nyufa nyingi zilizokuwepo kwenye ukuta wetu. Leo mamlaka ya anga imeshusha rungu jingine Kenya kwa kuzuia kampuni tatu zaidi baada ya Kenya Airways ya awali. ======== Kampuni tatu zaidi za ndege kutoka Kenya zimezuiwa...
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wa Kenya EAC wamedai posho ya siku ilhali wanafanyia kazi kwao

    Wabunge wa bunge la EAC toka kenya wameonyesha ulafi wao wa fedhaa ktk bunge la EAC wakidai walipwe daily subsistance allowance ili hali wana fanyia kazi nchini kwao ..AIBU gani hii kwa wabunge walafi
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya ndio taifa la kwanza Duniani kutajwa kama salama kwa watalii kipindi hiki cha Corona

    Hii imetokana na jitihada za Kenya kutojichokea kwenye vita dhidi ya corona na imekua ikifuata miongozo na kanuni zote za kupambana na janga hili ambalo limeikumba dunia. Imetoa ushirikiano wote wa Kisayansi, Kijamii na hata Kiuchumi. ====== Kenya Becomes First Country Awarded Safer Tourism...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba to assemble Sh1m Malaysian car in Kenya from November, 2020

    Simba Corporation is set to assemble Malaysian car brand Proton in Kenya starting November, aiming to attract price-sensitive middle-class buyers with prices as low as Sh1 million inclusive of taxes. This will expand the list of passenger cars assembled in the local market, joining Volkswagen...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Police Fire Tear Gas at COVID-19 Corruption Protesters: Still Sufferings Go On Under New Constitution

    Kenya Police Fire Tear Gas at COVID-19 Corruption Protesters Demonstrators run from teargas fired by police at a protest against alleged corruption, including the theft of supplies for the fight against the coronavirus, at Uhuru...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Vibaka kwenye ndege hasa Ethiopian na Kenya Airways

    Inakuwaje wanaJF! Yani kuna watu wanawaibia abiria Wenzao hadi kwenye ndege? Matukio ya wizi kwenye ndege ikiwa angani yanaripotiwa sana hasa Ethiopian airlines na Kenya Airways zinazoenda Dubai ama gulf states na China. Vibaka wengi wamebambwa na flight attendants wakiwa search abiria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…