Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Mwanamke mmoja mkazi wa Migoro Kenya amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa miaka 14 ambaye yuko darasa la nane
Mama huyo ambaye alitaka kuolewa na kijana huyo amekutwa na mtoto huyo nyumbani kwake. Tendo hilo lilifahamika baada ya polisi kupata taarifa kwa raia waliochoshwa na jambo hilo
Aidha wazazi wa mtoto huyo walionya mara kadhaa kuhusu mahusiano hayo lakini mama huyo aliendelea kuwa na mahusiano na mtoto huyo
Kwa Sheria za Makosa ya Kujamiiana ya Kenya, mtu yoyote atakayetenda kosa la kumnajisi mtoto wa umri wa miaka 12 hadi 15 anaweza kupewa adhabu ya kufungwa jela kwa kipindi kisichopungua miaka 20
===
A 42-year-old woman accused of defiling a Class 8 pupil has been arrested.
The suspect was found with the 14-year-old boy at her home in Nyamaraga, Suna West Sub County on Saturday evening.
Area Assistant Chief Evance Nyarube said he got a report from irate residents who complained about her alleged relationship with the teenager.
According to him, the boy’s parents had repeatedly warned the two against having a relationship but their demands fell on deaf ears.
Mr. Nyarube said investigations established that the woman hinted that she intended to marry the teenager.
He reiterated that defilement is a crime stating that the suspect will face the law.
She is expected to appear before a Migori court on Monday.
“A person who commits an offense of defilement with a child between the age of 12 and 15 years is liable upon conviction to imprisonment for a term of not less than 20 years,” the Sexual Offenses Act reads.
CITIZEN TV
Mama huyo ambaye alitaka kuolewa na kijana huyo amekutwa na mtoto huyo nyumbani kwake. Tendo hilo lilifahamika baada ya polisi kupata taarifa kwa raia waliochoshwa na jambo hilo
Aidha wazazi wa mtoto huyo walionya mara kadhaa kuhusu mahusiano hayo lakini mama huyo aliendelea kuwa na mahusiano na mtoto huyo
Kwa Sheria za Makosa ya Kujamiiana ya Kenya, mtu yoyote atakayetenda kosa la kumnajisi mtoto wa umri wa miaka 12 hadi 15 anaweza kupewa adhabu ya kufungwa jela kwa kipindi kisichopungua miaka 20
===
A 42-year-old woman accused of defiling a Class 8 pupil has been arrested.
The suspect was found with the 14-year-old boy at her home in Nyamaraga, Suna West Sub County on Saturday evening.
Area Assistant Chief Evance Nyarube said he got a report from irate residents who complained about her alleged relationship with the teenager.
According to him, the boy’s parents had repeatedly warned the two against having a relationship but their demands fell on deaf ears.
Mr. Nyarube said investigations established that the woman hinted that she intended to marry the teenager.
He reiterated that defilement is a crime stating that the suspect will face the law.
She is expected to appear before a Migori court on Monday.
“A person who commits an offense of defilement with a child between the age of 12 and 15 years is liable upon conviction to imprisonment for a term of not less than 20 years,” the Sexual Offenses Act reads.
CITIZEN TV