M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Kuna shida mahali.
Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye mshindani wetu mkubwa kiuchumi kwenye EAC na mara zote Tanzania tumekuwa tukifanya kila jitihada kutaka kuwa juu yake.
Mnyonge mnyongeni lakini...
Sasa ukiangalia graphic trend kwenye video clip hii hapa chini utagundua kuwa wakati mwalimu alipokuwa anaondoka madarakani, Tanzania ilikuwa always juu ya Kenya kiuchumi (GDP) miaka ya 80s hadi anaondoka ofisini 1985. I mean pamoja na changamoto nyingi sana zilizopelekea mdororo wa kiuchumi kwenye late 70s (kuvunjika kwa EAC, vita vya Kagera, nk), bado Tanzania ilibaki kuwa ni "economy giant" kwenye EAC.
Sasa embu angalia performance ya marais waliofuata (ukimuondoa mzee Ruksa) vs Kenya kuanzia 1996:
Mkapa:
1996 aliingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $6B
2005 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $2B
Alijitahidi kupunguza GDP gap, so tunaweza kumpongeza kwa hilo lakini alishindwa kufanya alichokifanya Mwalimu (yaani kuifanya TZ iwe economically superior to KE)!
JK:
2006 aiingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $8B
2015 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $17B
JK aliruhusu gap lipanuke zaidi, pamoja na kwamba alijitahidi ku boost per capita kwa kiwango kikubwa kuliko Mkapa ($480B vs Mkapa's $330B).
JPM:
by 2016 Kenya walikuwa wametuzidi GDP kwa $20B
by 2020 Kenya tayari wameshatuzidi GDP kwa $44B
JPM is the worst performer vs Kenya. Sijui itakuwaje tukimpa tena nchi October - tunaweza kujikuta Kenya wametuzidi kwa $100B!
Kazi kwenu Watanzania. October hiyo yaja!
Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye mshindani wetu mkubwa kiuchumi kwenye EAC na mara zote Tanzania tumekuwa tukifanya kila jitihada kutaka kuwa juu yake.
Mnyonge mnyongeni lakini...
Sasa ukiangalia graphic trend kwenye video clip hii hapa chini utagundua kuwa wakati mwalimu alipokuwa anaondoka madarakani, Tanzania ilikuwa always juu ya Kenya kiuchumi (GDP) miaka ya 80s hadi anaondoka ofisini 1985. I mean pamoja na changamoto nyingi sana zilizopelekea mdororo wa kiuchumi kwenye late 70s (kuvunjika kwa EAC, vita vya Kagera, nk), bado Tanzania ilibaki kuwa ni "economy giant" kwenye EAC.
Sasa embu angalia performance ya marais waliofuata (ukimuondoa mzee Ruksa) vs Kenya kuanzia 1996:
Mkapa:
1996 aliingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $6B
2005 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $2B
Alijitahidi kupunguza GDP gap, so tunaweza kumpongeza kwa hilo lakini alishindwa kufanya alichokifanya Mwalimu (yaani kuifanya TZ iwe economically superior to KE)!
JK:
2006 aiingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $8B
2015 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $17B
JK aliruhusu gap lipanuke zaidi, pamoja na kwamba alijitahidi ku boost per capita kwa kiwango kikubwa kuliko Mkapa ($480B vs Mkapa's $330B).
JPM:
by 2016 Kenya walikuwa wametuzidi GDP kwa $20B
by 2020 Kenya tayari wameshatuzidi GDP kwa $44B
JPM is the worst performer vs Kenya. Sijui itakuwaje tukimpa tena nchi October - tunaweza kujikuta Kenya wametuzidi kwa $100B!
Kazi kwenu Watanzania. October hiyo yaja!