kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Miss Zomboko

    Kenya yapunguza viingilio vya utalii ili kufufua sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na Corona

    Kenya jana imetangaza kupunguza ada za kuingia mbuga kuu za wanyama pori kwa watalii kutoka ndani na nje ya nchi hiyo ili kuhimiza sekta ya utalii iliyoathiriwa sana na janga la COVID-19. Taarifa iliyotolewa na Shirika la huduma za Wanyamapori nchini Kenya (KWS) limesema hatua hiyo itadumu kwa...
  2. Kevin85ify

    Kenya receives World Travel and Tourism Council Safe Travel Stamp

    Kenya joins Egypt and Tunisia in being certified as a safe tourist travel destination. Only the three countries in Africa have been certified as safe for tourists who want to travel. The announcement was made by Cabinet Secretary for Tourism and Wildlife Najib Balala during the unveiling of the...
  3. Naton Jr

    Yaani Kenya ipo desperate na mambo ya Tanzania mpaka inashangaza

    Inashangaza kiukweli, Hakuna media ya Kenya iliyoripoti kuhusu Tanzania kuingia kwenye kundi la MIC ila media zao zipo busy kutafuta negative news about us au plotting fake worse news on us. Kutokana na kukaukiwa kabisa kwa habari mbaya na potofu kuhusu Tanzania, walivyo wapumbavu wamekuja na...
  4. Kevin85ify

    United States to pump Kes 5 billioni into Kenya economy

    The American ambassador to Kenya, Ambasador Kyle McCarter has announced that the United states will pump kes 5 billion into the Kenyan economy to support the health sector and to help in economic recovery. This will be the first of three planned injections of money into the Kenyan economy by...
  5. Influenza

    Raia wa nchi 11 kutoka Afrika mbioni kuruhusiwa kuingia nchi wanachama wa EU kuanzia Julai baada ya nchi hizo kufungua mipaka

    Kwa mujibu wa Euronews orodha ya awali inaonesha raia wa nchi za Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za Umoja wa Ulaya (EU) Inaelezwa huku Ulaya ikiwa inajiandaa kufungua mipaka, Maafisa wa nchi hizo...
  6. Kevin85ify

    Kenya: A hub of medical personal protection equipment manufacturing

    Over 95 local manufacturers have been trained on quality development of PPEs by McKinsey & Company, with funding support from the UK Department for International Development (DFID), as part of a partnership with the Ministry of Trade, Industry and Enterprise Development (MoITED). The...
  7. Kevin85ify

    Kenya and South Africa dominate Africa's private equity fund

    Kenya and South Africa dominate Africa's private equity fund Series A and Series B deals together accounted for 29 per cent of the total deal volume and 38 per cent of the total value of early-stage deals. In Summary Fintech and information technology dominated the African start-up scene, with...
  8. Analogia Malenga

    Kenya: Mwanamke atuhumiwa kuwaua wanaye kwa sumu

    Mama mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Beatrice(42) amewaua wanae wanne kwa sumu, Mjini Naivasha Kenya. Watoto hao ni wana umri kati ya miaka miwili hadi minane Imedaiwa ya kuwa mwanamke huyo alikuwa amesimamishwa kazi kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali, NGO mjini humo miezi miwili iliyopita...
  9. Mzukulu

    Kwanini majirani zetu na Washirika (Kenya, Uganda na Rwanda) COVID-19 inazidi tu kuwatesa lakini Tanzania wala hatuna habari nayo?

    Je, 1. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana duniani kuliko nyinginezo? 2. Tanzania ina Raia ambao wana Kinga za Mwili Kali sana? 3. Kenya, Uganda na Rwanda hakuna CORONA kihivyo ila wanazidisha tu Idadi 24/7 ili wapate Pesa za IMF na WB? 4. Ile Sindano ya NDUI tuliyoipiga miaka ya 80 wakati wana...
  10. Mkikuyu- Akili timamu

    Ukahaba Kenya: Licha ya Corona, Biashara inaendelea sasa mchana kweupe (Video)

    Wakenya humu huwa na tabia za kusingizia mataifa mengine eti wanawaletea Corona kumbe Nairobi wadau wanaendelea kunyanduana huku wakupumuliana na kumwagiliana Ute ulio jaa Corona. Lakushangaza ni kwamba hawa makahaba hautasikia serikali inawapima corona, Madereva wa kutoka nchi jirani eti ndio...
  11. Mudawote

    Kenya KANU ndiyo ipo madarakani, Upinzani Afrika bado sana

    Great thinkers, Nadhani kila mmoja sasa anaelewa kwamba Vyama vya Upinzani havifai kabisa kupewa kuongoza nchi. Kenya mwanzo wakachagua wapinzani, baadaye wapinzani wakagombea madaraka mpaka kuuana, wakaamua kumchagua Uhuru Kenyata kwa kusema “turudi nyumbani kumenoga”. Kwa hilo somo...
  12. Kevin85ify

    Kenya: CUEA (Catholic University Of East Africa) Wins ICC Moot

    Our Faculty of Law has scooped the Best Regional Memorial for Africa Award at the just concluded 2020 edition of the ICC Moot Court Competition. The competition which brought together 71 teams from 50 different countries is organized by the Grotius Centre for International Legal Studies and...
  13. Cannabis

    Serikali ya Kenya yarekodi ongezeko kubwa la matumizi kwa "burudani/sherehe" za Ofisi ya Rais, lengo la ukusanyaji kodi 2019/20 lashindwa kufikiwa

    Ofisi za Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wa Rais William Ruto zilitumia KSh1.18 bilioni kwa sherehe na maadhimisho mbali mbali, katika miezi tisa iliyopita hadi Machi 2020; hii ikiwa ni ongezeko la Sh422 milioni kutoka kipindi kama hicho kilichopita mwaka jana. Kulingana na taarifa zilizotolewa...
  14. J

    Prof Kabudi: Tanzania tuliipigia kura Kenya Baraza la Usalama UN. Wametushukuru, nasi tumewaambia hapana ule ni wajibu wetu kama ndugu!

    Prof Kabudi amesema Tanzania iliipigia kampeni na hatimaye kura ndugu zetu Kenya kuwa mjumbe katika baraza la usalama la UN. Kabudi amewataka watanzania kupuuza uzushi wa wapinzani kwamba hatukuiunga m!ono Kenya. Source ITV habari Maendeleo hayana vyama!
  15. Trubarg

    Ukabila Kenya: Mgawanyo wa Wizara za Kenya kulingana na Makabila

    Kikuyu everywhere mwaswast MK254 Geza Ulole
  16. YoungD

    The Most powerful countries in the world: Kenya is number 3 in Africa and 52 in the world

    The world’s most powerful countries also are the ones that consistently dominate news headlines, preoccupy policymakers and shape global economic patterns. Their foreign policies and military budgets are tracked religiously. When they make a pledge, at least some in the international community...
  17. M

    Kenya itahitaji kutumia miaka 94 kumaliza kupima Corona

    Mpaka Sasa Kenya yenye watu 53,731,953 imeshapima Corona kwa watu 142,366 kwa miezi 3 iliyopita. Kwa hiyo Ina uwezo wa kupima watu 47,455 kwa mwezi. Kwa hiyo itahitaji miezi 1,132 kuweza kuwapima wakenya wote ambayo ni sawa na miaka 94! Kwa hiyo mabeberu Wana uhakika wa kuendelea kuwanyonya...
  18. Cannabis

    Visa 59 vya Corona vyaongezeka nchini Kenya, Jumla ya idadi ni 4797

    Serikali ya Kenya imetangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi vya corona. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Dr. Mercy Mwangangi ambapo alifananua kuwa idadi hiyo imepatikana baada ya kupima sampuli 2354 na kupungua kwa idadi ya visa vipya haimaanishi kuwa ugonjwa...
  19. Yoyo Zhou

    Je, Kenya italeta manufaa gani kwa Afrika baada ya kujipatia kiti katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Kenya imepata kiti muhimu cha uanachama usio wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya kuishinda Djibouti katika awamu ya pili ya kupiga kura Alhamisi. Hii inamaanisha kuwa kuanzia Januari 2021, Kenya itarejesha uwepo wake utakaodumu kwa miaka miwili katika asasi hiyo ya...
  20. M

    Kenya itajinasuaje kwenye mtego wa mabeberu wanaojitajirisha kwa kutumia COVID-19?

    Kenya imenaswa kwenye mtego wa Corona. Wazungu wameamua kutumia COVID-19 Kama kitega uchumi. Wakikukopesha pesa wanakulazimisha uzitumie kupima COVID-19. Test kits ni za gharama Sana, Wana uhakika wataikamua Kenya kwa miaka mingi ijayo. Mpaka Sasa haijapima hata watu laki nne!. Je, itachukua...
Back
Top Bottom