kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Tabutupu

    Tanzania has what it takes to be ‘African economic giant'

    East Africa’s sleeping giant is finally awakening. Right in the middle of the global Corona virus pandemic, Tanzania has provided a rare piece of good news — on 1 July 2020, the country achieved its middle-income vision five years ahead of schedule. As a coastal economy bordering eight...
  2. Kevin85ify

    Kenya: One of the oldest UK schools(Durham school), set up first african branch in Nairobi

    Durham International School, which is one of the oldest schools in England, is set to open its first branch in Africa in Nairobi, Kenya. The school is located in the leafy suburbs of Thigiri and is expected to open in January 2021. The school will offer the British curriculum and will start...
  3. Don YF

    Kenya rules EAC in trade (Uchumi wa makaratasi)

    Kenya’s trade in EAC up despite tensions Kenya’s trade with the six-nation East African Community improved by 57.7 percent in the first quarter compared to a similar period last year despite the long-standing trade tension with some of the member states. FILE PHOTO | NMG Kenya’s trade with...
  4. MK254

    Kenya yafaulu kuuza maparachichi kwa mataifa 42, mwendo wa mbele kwa mbele, wakulima wetu hoyee

    Hii nchi tunapambana sio mchezo, shukrani za dhati ziwafikie wanaotafuta haya masoko maana hali inazidi kunoga kwa wakulima wetu. Kenyan avocado exports hit a record high in the first half of 2020 with more than 58,400 tonnes sold to 42 countries, thanks to the Covid-19 pandemic. Data from the...
  5. ntamaholo

    Kenya wanatuzidi, Rwanda wanatuzidi

    I was looking to some statistics, hawa jamaa wanatuzidi; hata kama tutabisha lakini ukweli uko hivyo, ndio maana hata level ya utapeli iko juu kwao kuliko Tanzania. The good examples are the level of development between East Africa reached in relation to the number of graduates per year. Kenya...
  6. luangalila

    Kenya kinara wa kukopa toka China

    Click and read
  7. Nyendo

    Coronavirus cases in Kenya hit 10,105 after 379 more people test positive

    Watu 379 zaidi watangazwa kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus na kufanya maambukizi kufikia 10,105. Katika maambukizi mapya 376 ni wakenya na 3 ni wageni. Pia watu 49 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 2,881. Vifo vya #COVID19 nchini humo vimefikia 185 baada ya mtu mmoja...
  8. MK254

    Pakistan sasa ndio inaongoza kwa kuagiza bidhaa kutoka Kenya, ikumbukwe na Marekani tunaingia nao mkataba

    Hongera na pongezi za dhati ziwafikie timu inayopambana kutafuta soko la mbali, hii muhimu sana maana humu EAC na Afrika ya kati wote tushawatia kwapani, sasa ni mwendo wa kuhakikisha na huko nje wote tunawaburuza. Pakistan ambao tunawauzia majani chai kwa wingi, uagizaji wao ulipandisha 19.37%...
  9. luangalila

    Kenya inafanya maigizo na COVID 19

    Kenya imetangaza watalii hawatakwenda karantini watakapo tua nchini humo. Ila zuio hilo la kutokwenda karantini linawahusu watalii wazungu tu watakao ingia kenya. Kufuatia kile kinacho itwa JUHUDI ZA KUPAMBANA NA CORONA mnamo machi 20,2020 nchii hiyo ilifunga anga lake na kutoruhusu wageni...
  10. LangatKipro

    Kenya vs Tanzania vs Ethiopia statistics

    This video compares some of the countries in Eastern Africa using their GDP Nominal, GDP Per Capita and their total Population. This video is based on data gotten from World bank, Imf and Wikipedia from 1960 to 2020.
  11. MK254

    Kenya Ranked Top in Tax Reform Report by OECD

    Kenya was on Thursday, July 9, ranked among leading countries fostering tax reforms for economic growth in a global report on corporate taxation. The report commissioned by the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) singled out Kenya as one of the global jurisdictions...
  12. MK254

    Kenya ipo kwenye hatua za mwisho za mazungumzo ya kufungua soko lote la USA kwa bidhaa za Wakenya

    Huu mkataba utakua wa kwanza baina ya Marekani na taifa la ukanda huu wa Sahara, ikumbukwe Marekani ndio ya tatu kwenye soko la bidhaa zetu na sasa inafungua soko lote wazi kwa ajili yetu. Ni muda wa kuchangamkia mbele kwa mbele, takwimu zinasema yaani hata tukipata asilimia tano tu (5%) ya...
  13. MK254

    Biashara ya matunda kutoka Kenya kwenda Ulaya yazidi kunoga kwenye kipindi cha Corona

    Yaani haijatokea tena kwenye historia kipindi ambacho mauzo yetu ya matunda Ulaya kuwa kiasi hiki, yaani Mkenya ni king'ang'anizi kwenye kila hali. Hongera sana "bandugu" ====== Horticulture shrugs off Covid-19 to earn Kenya Sh72bn in five months By GERALD ANDAE Earnings from...
  14. M

    Jukwaa linahusu Kenya lakini waanzisha thread karibia wote ni wa TZ

    Wakuu, nimetafakari sana baada ya kupitia threads za kwenye jukwaa hili. Utakuta waanzilishi wa threads zilizo nyingi ni wa TZ badala ya wakenya. Hii imekaaje? Tujadiliane.
  15. Analogia Malenga

    Kenya yaanza kutumia ‘internet balloons’ na kuwataka watu kutumia 4G

    Rais Uhuru Kenyatta amezindua ‘Loon Internet Balloons’ ambayo yatazipa kasi za 4G simu zote nchini humo. Hii ni baada ya kampuni ya Telkom ya Kenya kuingia Ubia na kampuni ya Alphabet Rais Kenyatta amewataka raia wake kutumia fursa hiyo kukukuza shughuli zake za kiuchumi. Teknolojia hii iliwahi...
  16. MK254

    Gatuzi/kaunti ya Murang'a yaanza ujenzi wa hospitali kubwa ukanda huu kwa ajili ya saratani - maendeleo kote Kenya, nje ya Nairobi

    Kila siku tunalisema hili, miji yote Kenya inapiga hatua za kimaendeleo utadhani wameingiwa na ukichaa fulani, yaani Nairobi inapigwa ushindani mkali sana. Construction of a specialized cancer and research hospital has kicked off in Murang’a County. The facility, estimated to be constructed...
  17. Gwizzy

    Kenya Airways (KQ) State Buyout

    KQ shares suspended from Trading at the NSE pending imminent state buyout!!! Current shareholding structure: Suspension of trading at the NSE: My two cents: Its a necessary evil. The commercial banks and minority shareholders will loose money in the transaction but then again, KQ is a...
  18. M

    Tanzania's bus terminal is as Kenya's Jomo Kenyatta lnternational Airport

    Former Dodoma Bus stage before renovation [Source/Courtesy] On July 1, 2020, President John Pombe Magufuli announced that Tanzania had been listed as a middle-income country. Describing the announcement as 'historic achievement', Magufuli congratulated Tanzanians, adding that he had set goals...
Back
Top Bottom