Mimi nimezunguka sana kanda ya ziwa na Pwani, ila kanda ya ziwa watu wana roho nzuri sana hasa Wasukuma.... Msukuma unaweza kumkuta ni maskini wa mali ila tajiri wa roho. Msukuma uwa akunji roho kwa mgeni, hata kama hakujui ukienda kwake utapewa hadhi ya nyota 5.
Mimi niliwai kuingia huko...
Kwa tathimini iliyofanyika ni kwamba Rais Samia hawezi tena kuongoza nchi hii ya Tanzania hivyo unahitajika mbadala wa haraka ambao ni Luhaga Mpina
Chini ya utawala wa Rais Samia ni salama zaidi ukiwa fisadi kuliko ukipinga ufisadi! Ndiyo maana Askofu Gwajima amefungiwa kwa kukemea utekaji...
Habari wana JF,
Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??
Habari wana JF,
Je kwa sasa kanda ya ziwa ni sehemu zipi zinazoendelea katika ukuaji wa kasi kwenye ujenzi wa nyumba za kisasa za MAKAZI na je viwanja vinapatika kwa size ipi na thamani yake ikoje?
Kipi ni kipi jumanne kaseja amekuwa jumanne kaseja je alihusika kuishusha timu ya ligi kuu ya kanda ya ziwa.
Je kwakuwa timu ya kanda ya ziwa ilichukua ubingwa Mara moja na kushushwa daraja.
Na mbaya wachezaji wake wa kutegemewa wanazidi kupoteana .
Je alaumiwe jummanne Kaseja au lilaumiwe...
RAIS SAMIA AWABEBA WACHIMBAJI WADOGO KWA KUFUTA LESENI KUBWA 2,600, MAPATO YAO YAONGEZEKA MARA5!
Wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo walichangia 20% sawa na TZS 124bn kwenye Mapato yote ya Serikali yatokanayo na madini. Mwaka 2024/25 wamechangia 40% sawa na TZS640bn. Wakati...
Hakuna Volume ya magari ya mizigo kwenye Barabara ya Geita Mwanza, na nature ya uchumi wa Tanzania Volume zinatoka Bandarini Dar kuelekea Mikoani na kutoka Mikoani kuelelekea Dar, Sasa mkoa wa Geita una Volume ya mizigo? ya kupitiapale kwenda Dar? hakuna zaidi ya dhahabu labda tusafirishe...
Kajitangaza kawa ni mshindi tiyari wa urais, ni yeye anayeamua nani awe au asiwe mbunge, tiyari keshaanza kugawa nafasi zake 10 za ubunge. Je kuna haja tena ya kupoteza mabilioni ya kodi zetu kwenye uchaguzi fake?
Rais Samia ujue kabisa ya Ndugai hayapo kanda ya ziwa, askofu Gwajima na Mpina hawatakuomba msamaha hata ni kwa gharama ya kuwafukuza ccm watakuwa tayari.
Malezi ya watoto kanda ya ziwa na malezi ya watoto kanda ya Pwani ni vitu viwili tofauti.
Kanda ya ziwa baba ndiyo kiongozi wa familia na...
GT
Hapa tanzania ukiondoa Arusha na mbeya, kanda ya ziwa nako ni kugumu sana kwa chama cha mapinduzi ni kwa sababu moja tu watu wa huko wamenyooka hawapendi uongo uongo, na ukiwadanganya wanajua kabisa unawapiga kamba kama hawataguna mhiiii basi watakaa kimya au kukuzomea kama ilivyo mbeya na...
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali iko mbioni kujenga shule maalumu ya wavulana kwa ajili ya Kanda ya Ziwa, ambapo ujenzi huo utafanyika mkoani Simiyu.
Samia ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Juni 16, 2025, wakati akizungumza na wananchi wa mkoa huo mara baada ya kuzindua rasmi shule ya...
Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.
1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.
Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu...
Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga
Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe
Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima
Press zinazofuata za...
Ukianza kuingia singida na ukanda wa ziwa kuna mawe yanayo tumika kujenga misingi ya nyumba za huko.
Ingekuwa kwa wenzetu ndio wamepata haya mawe basi mpaka uchochoroni kungekuwa na rami.
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Victoria, Zakaria Obadi amekosoa kitendo cha baadhi ya wanasiasa kukosoa viongozi wa dini kujihusisha na siasa kuwa huo ni uoga.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake amewataka viongozi wa dini kutokuyumbishwa na maneno...
Kwenye mazuri tusifie na mabaya husemwa ili kujifunza kwa hili ni Ukweli kabisa kwa hapa Tanzania tuna watu wa maeneo tofauti tofauti na huwa na tabia zao mbalimbali hii hutokana na malezi ya jamii husika nataka niseme wazi juu ya jamii ya watu wa kanda ya ziwa na mazuri yao na maua wanastahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.