HABARI ZA WAKATI HUU WAKUU
Naimani muwazima na bukheri wa afya. Nataka kuuliza ni wapi nitapata vinywaji vya jumla(pombe hususani). Haswa vinywaji kama local beers na hivi vikali.
Kuachana na Manzese ningependa kujua wale wa manzese wanapatia wapi? Na je! Hawa sales representative wa makampuni...
Habari wadau.
Nategemea kufungua kibanda cha kuuza vifaa vya umeme maeneo ya Mkuyuni Mwanza hivi karibuni.
Kwa mnaojua machimbo ya kupata mzigo wa uhakika kwa bei nafuu naombeni msaada wenu.
Asante.
Nawasalimu wanajukwaa!
Natatizwa na Jambo kuhusu mkopo wa benki Fulani, itakapolazimu nitaitaja.
Mimi ni mtumishi wa umma ktk halmashauri Fulani, nimeomba mkopo wa wafanyakazi kwa makato ya sh 138000 kwa Kila mwezi kwa muda wa miaka 8.
Ukizidisha sh 138000 kwa miaka 8 ni jumla ya sh isiozidi...
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
picha chini inaonesha jumla ya gharama kwa baadhi ya gari tulizoagiza kwa mwaka huu 2021. Hivyo ukihitaji kumiliki gari yako kutoka nje inaweza kugharim wastani wa gharama hizo hapo chini.
Habari zenu wadau?
Nimeona nije na kauzi haka ili niweze kupambanua uelewa.
Ninachokijua na ambacho kinaandikwa kwenye machapisho mbalimbali ni kwamba Tanzania kuna makabila zaidi ya 120. Sasa ukisema zaidi ya, huwa haioneshi idadi halisi ya makabila hayo.
Naomba mwenye uelewa atujuze idadi...
Tunauza samaki aina ya sato kutokea Ziwa Victoria..
Usafiri kutoka Mwanza hadi Dar juu yetu.
Tunauza kwa bei ya jumla tu, kuanzia kilo 50.
Bei:
Bei kwa kilo moja ni Tsh 8,500/-
Malipo:
Utalipia mzigo ukifishakufikia ulipo.
Location:
Tunapatikana, Banana Dar esalaam.
Delivery:
Tunafanya...
Salaam Familia
Napenda kuuliza hizi ID Holders zinapatikana bei gani kwa jumla.
Wana Print kwa bei gani kwa jumla wanao Print.
Wauzaji wa rejareja wanuzaje.
Maswali
Wananunuaje Kwa jumla
Wana Print beigani jumla
Wanauzaje wauzaji wa rejareja
NB: UDSM...
Nawasalimu wote.
Mimi ni kijana mjasiriamali ninaetarajia kufanya biashara ya jumla ya vitu vya dukani(Arusha&Moshi) lakini ningependa kupata mawazo na ushauri namna ya kuagiza vitu hivyo kutokea Dar kuja mkoani.
Uzoefu wa biashara hii ningeupata kutoka kwenu ningeshukuru pia. Vitu...
Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia.
Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa...
GREAT DISTRIBUTION AND MARKETING SERVICES iliyopo Arusha inanunua mayai kwa bei ya 5500 kuanzia trei 100.
Tupo Arusha Mjini
Kama una mayai wasiliana kwa namba zifuatazo 0622887399 au 0622115570
Karibuni
Wauzaji wa vifaa vya umemekwa jumla na rejereja naomba kufahamu bei ya vitu hivi nataka niviongeze dukani kwangu.
1-Majiko ya umeme.
2-Pasi
3-Hita
4-Blenda zakusagia juisi.
Mwenye kuuza hivi vitu kwabei ya jmla naomba anipe mawasiliano na bei zake.
Hello JF,
Moja kwa moja kwenye bandiko
Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja.
Hivyo kutokana na biashara...
Wakuu natumaini mu wazima.
Natafuta mawasiliano na wauzaji wa bia kwa jumla pale Dodoma mjini. Kama yupo yeyote humu au kuna mtu anaweza kuniunganisha na muuzaji yeyote tafadhali nitumie namba ya simu niweze kuwasiliana nao kibiashara.
Unaweza kuituma hapa au kwenye PM.
Natanguliza shukrani...
Hello JF Members,
Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.
Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.
PM ipo wazi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.