jumanne

Jumanne Abdallah Maghembe is a former Minister of Natural Resources and Tourism for the United Republic of Tanzania. He has been a Member of Parliament for Mwanga constituency since 2000 until 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Jumanne inaingia huenda kwa kishindo tokea UAE!!

    Kwa kweli kama ni hivi inaweza badili kabisa the dynamics za geopolitics za middle east. Rais wa UAE na Mtawala wa Abu-Dhabi Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan alikuwa mtawala thabiti dhidi ya Siasa Kali za Kiislamu na Muslim Brotherhood, Aliwapigania Wayahudi waishi kwa Amani Dubai, alijitahidi...
  2. Knock life

    Hiyo Billion kumi 10 ametoa Jumanne kila kitu kinajulikana mchezo wa kumuita Abdallah , Dullah ulianza zamani

    Hiyo Billion 10 imetolewa na Jumanne Kaseja . Hii inaonesha wazi ni namna gani Jumanne Kaseja ameupania huu mchezo .
  3. DR HAYA LAND

    Jumanne kaseja anasema mtaongea sana ila lengo kabla hajaondoka duniani nikutaka kuona Mwanae anakuwa kocha mkuu mwaka 2030 .

    Lengo na matamanio ya Jumanne Kaseja ni kuhakikisha Mwanae kipenzi anakuwa kocha mkuu mwaka 2030. Kwahiyo kelele sio kwamba hazisikii anazisikia vizuri Ila lazima maono yake yatimie.
  4. Knock life

    Jumanne Kaseja ni akili kubwa na hakuna mtu anamuweza hapa Bongo

    Kelele ni nyingi Ila Jumanne Kaseja hakuna MTU anamuweza hapa Tanzania.
  5. DR HAYA LAND

    Kwahiyo Jumanne kaseja anaweza akawa ndo aliishusha ile timu ya ligu kuu kanda ya ziwa na sasa anapambana kuipandisha timu yake ya nyumbani?

    Kipi ni kipi jumanne kaseja amekuwa jumanne kaseja je alihusika kuishusha timu ya ligi kuu ya kanda ya ziwa. Je kwakuwa timu ya kanda ya ziwa ilichukua ubingwa Mara moja na kushushwa daraja. Na mbaya wachezaji wake wa kutegemewa wanazidi kupoteana . Je alaumiwe jummanne Kaseja au lilaumiwe...
  6. Knock life

    Mbona katika utawala wa Jumanne kaseja wapinzani walikuwa wanatangazwa, je aliyeua demokrasia kabisa ni Jumanne au Mzee wa Push -Up.?.

    Tuwe wakweli ikiwa Jumanne kaseja aliruhusu partial democracy wapinzani wakawa wanatangazwa na kushinda je anabidi kulaumiwa sana tofauti na yule mzee wa Push up ambaye kwa sasa yupo motoni.?..
  7. McLaren

    GE2025 Video: Wananchi wa Butiama wamzomea Jumanne Sagini wakati anaomba kura za maoni. Hawataki hata kumsikia

    Wakuu, Yaani wananchi hawana mchezo sasa hivi wanaruka na kila mtu. Leo wameruka na Sagini Haijalishi wewe ni Waziri au Mbunge lakini wanaruka na wewe na hapa ni kwenye kura za maoni tu tunasubiri kuona kwenye kampeni itakuwaje.
  8. R

    Ngwaru Jumanne Maghembe!!! Acha kigawa pesa 50000 per head

    Mtoto wa Jumanne Maghembe,amekusanya wamama masikini wenye kadi za CCM Wana anawapa 50,000 Kila mmoja hapa Kijiji Cha mgagao kilichopo wilaya ya mwanga !! Anapata wapi fungus fungus kubwa hivyo!?
  9. Dogoli kinyamkela

    Nyota yako leo Jumanne Juni 17/2025:

    NYOTA YAKO LEO JUMANNE JUNI 17/2025: UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO MOROGORO MJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU FOREST KILEKA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI. MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE. ★MAPACHA– GEMINI ♊ (May 21– Juni 20) Utapokea salamu au mgeni ambaye...
  10. K

    Aibu kwa Taifa: Jumanne Muliro kujulikana kimataifa kuliko Amb. Mohmoud Kombo (MP)

    Aibu Jumanne Muliro kujulikana kimataifa kuliko Amb. Mohmoud Kombo (MP). Tumegeuka kuwa nchi ya kikatili!! kwenye wizara hii tuliwahi kuwa na Mkapa, Kikwete, Membe, Migiro, Malecella na Salim. Sasa tuna waziri ambaye hajulikani kwasababu nchi imefunikwa na matukio ya ajabu ajabu na kiki za kiusalama
  11. I

    Katibu Mkuu wa BAVICHA amshangaa Kamanda wa polisi Dar Jumanne Murilo!

    Katibu Mkuu wa BAVICHA akishiriki katika kipindi cha Malumbano ya hoja ITV jana alimshangaa Jumanne Murilo kutishia wananchi na kupiga marufuku kwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa Chadema Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu. Katibu Mkuu huyo amehoji Kamanda...
  12. Camilo Cienfuegos

    Katuni ya Kipanya leo jumanne, umeielewaje? Tushirikishe

    Leo jumanne ya tarehe 08/04/2025 kipanya ametupa katuni yake. Wewe umeielewaje?
  13. Waufukweni

    Picha: Kamanda wa Polisi Dar, SACP Jumanne Muliro aandaa Iftar kujenga umoja na mshikamano

    Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Jumanne Muliro, ameandaa hafla ya Iftar nyumbani kwake Kimara, Dar es Salaam, Machi 22, 2025, kwa lengo la kuimarisha mshikamano ndani na nje ya jeshi la polisi.
  14. Melki Wamatukio

    Nimepoteza kadi ya mpiga kura. Nilijiandikisha Jumanne, imepotea leo ijumaa

    Naombeni msaada wa mawazo wa jinsi ya kupata kingine kama inawezekana. Kumbuka: Uboreshaji wa daftari la wapiga kura bado unaendelea. Mwisho ni Jumapili hapa Daslam Nahofia kwenda kwenye kituo cha kura. Nahofia watanizaba mabanzi kwa uzembe
  15. Kyambamasimbi

    Hongera Dkt. Jumanne Kishimba maono yako ya Elimu kwa vitendo yametimia. WanaJF tumpongeze

    Walihisi anachekesha katika hoja zake na michango yake bungeni lakini, alikuwa anaona huruma kwa vijana wa taifa hili kuhitimu vyuo na kupewa makaratasi ambayo kwa ujumla na ulimwengu wa sasa havina nafasi bali kazi za mikono ndio suluhisho la maisha ya sasa. Sijui kama Leo alialikwa kwenye...
  16. Scared

    Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

    Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
  17. Waufukweni

    Simba SC kuondoka nchini Jumatano kwenda Algeria kwa mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine

    Kikosi cha timu ya Simba SC kinatarajiwa kuondoka nchini Jumatano alfajiri (Disemba 4) kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza kuhusu safari hiyo, Afisa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amesema kuwa...
  18. sergio 5

    Yanga SC ikishinda leo niitwe Aziza Jumanne

    Kama nilivyoandika hapo. Leo tujiandae kuona kocha mpya akiaibika. Yanga kama hamtaki aibu fanyeni kumkodi kocha wa Azam FC na team yake awasaidie otherwise Ibenge na Al Hilal yake atawauwa kweupe na taifa kuingia fedhea.
  19. ndege JOHN

    Nakupa za kukubless Jumanne ya leo zitafute

    1. PAUL CLEMENT-AMEFANYA MUNGU 2. UFUNUO CHOIR-USISAHAU KUMSHUKURU 3. HYMNOS-MAJINA YOTE MAZURI NI YAKO 4. ISRAEL MBONYI-SIKILIZA 5. REHEMA SIMFUKWE-NDIO 6. ANGEL BERNAD-UNIKUMBUSHE WEMA WAKO 7. ISRAEL MBONYI-NINA SIRI 8. JOEL LWAGA-UMENISHANGAZA 9. ISRAEL MBONYI-NITAAMINI...
  20. N

    Afande Muliro: Atakayethubutu kuandamana Dar es Salaam kesho atakiona

    WAKATI mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akitangaza uwepo wa Maandamano ya Chama hicho Siku ya jumatatu September 23 ,Jeshi la Polisi Nchini limeweka mkazo wake kuwa piga marufuku maandamano hayo . Kuwa maandamano hayo yana viashiria vyote vya uvunjifu wa...
Back
Top Bottom