Habari wakuu nahitaji msaada wa kupata mashine ya kukamua juice ya miwa.
Nipo Dar es salaam kama kuna mtu unaweza kunielekeza zilipo kwa hapa Dar ntakushukuru sana
Au kama unaweza kunisaidia contacts za mahali nitapata hizo mashine.
Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa
➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme,
➡ Bei ni 2.3 ml
📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi
.
Naamini mmesherehekea salama pumziko la pasaka na poleni kwa ambao haikuwa amani kwa namna moja au nyingine.
Aidha poleni kwa misukosuko na taaruki ya ugonjwa wa COVID -19 najua imeleta athari kadhaa zikiwemo vifo na makatazo ya kujumuika katika shughuli mbalimbali za mikusanyiko. Zaidi kwa ili...
Habari ndugu zangu,
Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na bei ya kukodisha iwe affordable
Hi wanabodi
Napenda kujua hii juice ya ukwaju ni ukwaji kweli au tunakunywa mchanganyiko tu. Na hii maziwa ya asas nayo siku nimeyanywa siku ya pili niliyaacha wazi nikakuta yameharibika inakuwa ni maziwa au dawa ndo zimejaa huko...maana maziwa ya mtaani aisee yanamaji balaa
(CNN)Rapper and singer Juice WRLD has died in Chicago, the Cook County Medical Examiner's Office said Sunday.
Juice, who was born Jarad Anthony Higgins, turned 21 on December 2.
The rapper suffered a medical emergency shortly after arriving at Chicago's Midway International Airport, according...
Tropical smooth juice
Mahitaji
Nanasi 1
Ndizi mbivu 3
Machungwa 3
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 1
Menya nanasi lako baadae kata vipande vipande na weka kwenye chombo chako.
Hatua 2
Kata ndizi yako vipande vidogo vidogo na weka kwenye chombo chako.
Hatua 3
Menya machungwa yako yote matatu na...
Habari...
Anahitajika kijana kwa ajili ya kazi ya utengenezaji na uuzaji juice ya miwa .. eneo kigamboni ferry .. awe msafi,mzoefu,muaminifu na mchapakazi.
Mshahara mzuri .. malipo ya kila siku. Garama za chakula na usafiri atapata.
Kwa muhitaji wa kazi hii aniPM au atume ujumbe kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.