Kilo 400😃😃Umetudharau jamaa yangu sikufichi.
Kilo 400
Hapana, lakini naoiona ni biashara ya unyonyaji sana. Ushawahi waona wale wanaookota makopo?Ushawai fanya biashara ya makopo?
Mkuu watu wa kukuletea chupa ni watoto wa 20s na teens ambao kiujumla hawana divice za kuwaleta jf ndo maana hata maoni ya uzi h8 ni hafifu.Kwanini mkuu?
Brother kilo moja ni 400 ambayo kwa makadirio ni sawa na makopo 80 mpaka 120 dah bora hata niendeshe daladala ya baiskel au nisukume mkokoteni.Mmh wale wanaookota makopo huwa wanalipwa 400/kilo. ?? Au hii ji bei yako tu. ??
Mkuu huifahamu hii biashara. Mzigo ninaohitaji wa minimum kilo 600 hadi tani kadhaa si biashara ya watoto. Watu wanaleta zaidi ya tani 1 kila siku.Mkuu watu wa kukuletea chupa ni watoto wa 20s na teens ambao kiujumla hawana divice za kuwaleta jf ndo maana hata maoni ya uzi h8 ni hafifu.
Kilo moja ni wastani wa makopo 80 hadi 120 haya multply 80 x 10 = makopo 500 dah hapana kwa kweli.Ili angalau uwe na elfu nne inatakiwa ukusanye kilo 10, kilo 10 ni wastani wa makopo mangapi wadau!?
Aisee ni noma man, ni makopo mengi mengi mnoo.Brother kilo moja ni 400 ambayo kwa makadirio ni sawa na makopo 80 mpaka 120 dah bora hata niendeshe daladala ya baiskel au nisukume mkokoteni.
Unaweza kuwa sahihi ila kumbuka hii biashara iko miaka mingi. Pia mimi sihamasishi mtu kuanza ila natafuta mtu mwenye mzigo aniletee coz mahitaji yangu kwa sasa ni makubwa kuliko suppliers wangu.Hakuna business hapa aisee. Ujue kuna business nyingine ili upate hata faida utazunguka dunia au miaka na usione au ndio upate faida ndogo.. This business sishauri mtu aingie afanye
Viroba viwili vyenye full makopo vinaweza fikaIli angalau uwe na elfu nne inatakiwa ukusanye kilo 10, kilo 10 ni wastani wa makopo mangapi wadau!?
Huwezi kumsumbua mtu anayejitambua kwa Tsh.400 mzee! Its easy kununua hindi sh.100 pale mawasiliano na ukaliuza 500 kuliko kutafta makopo ya kukupa sh.400 kama faida!Matajiri wa jF wana nyodo
Njo pale JANGID plaza tukupe hata kaz mak PSSSF pameshajaa kijanaViroba viwili vyenye full makopo vinaweza fika