john mnyika

  1. Waufukweni

    PreGE2025 Mnyika: Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wametuma Watu warushe drone kwenye majani baadae waseme hatujapata watu

    John Mnyika akiongea na wananchi wa Mbulu muda huu katika ziara yao ya Bila mabadiliko hakuna uchaguzi.
  2. Waufukweni

    PreGE2025 John Mnyika: CHADEMA Tupo katikati ya Vita kubwa dhidi ya Watawala, njama zinafanyika kudhoofisha CHADEMA

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema chama hicho kiko katikati ya vita dhidi ya watawala, akidai kuna njama za kupinga uamuzi halali ya vikao vya chama na kujaribu kudhoofisha harakati za kudai mabadiliko ya kisiasa nchini. Akizungumza leo Ijumaa, Mei...
  3. Tlaatlaah

    Lawama zote za CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi Mkuu atapewa John Mnyika kuliko hata aliyeshupalia 'No Reforms No Election'

    Atakumbukwa kwa blunder ya kisiasa iliyoigharimu chadema kugawanyika na itakayomuweka kwenye historia ya makatibu wakuu wa vyama vya siasa wa hovyo zaidi duniani, walio wahi kutumbukiza vyama vyao vya siasa kwa makusudi, kwa ulevi tu wa vyeo au kukosa maono na kuvifanya vyama hivyo kupotea kabsa...
  4. E

    PreGE2025 Mnyika aagiza mapengo wanaohama Chadema yazibwe haraka

    Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali wa chama hicho kuandaa uchaguzi na kufanya uteuzi ili kuziba nafasi za viongozi waliojiondoa kwenye chama hicho, maarufu G55. Kundi la G55 linahusisha viongozi na makada wa chama hicho wanaopinga kampeni ya chama hicho...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Wadhamini waliofika Polisi kumdhamini Golugwa wakamatwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa wadhamini waliokwenda katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumdhamini Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, wamekamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa kituoni hapo. Taarifa ya chama hicho imeeleza kuwa waliokamatwa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 John Mnyika: Waliondoka CHADEMA wameambiwa waende CHAUMMA na hii yote ni kutaka kuwapotezea

    CHADEMA imekwishavuka sio tena chama cha viongozi na wanachama wa CHADEMA bali ni chama tumaini na imani la matumaini kwa Watanzania, ni chama cha Watanzania sasa katika kutekeleza hayo wameanza kuchukua baadhi ya watu wachache ndani ya CHADEMA wakiwa wamewaahidi kwamba waende kwenye chama...
  7. figganigga

    PreGE2025 John Mnyika: Salum Mwalimu na Wenzake wamefungua kesi dhidi ya CHADEMA wakidai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya CHADEMA

    "Rais Samia kupitia watu wake wa karibu na Afisa mmoja wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wamekwenda kuwa lubuni; 1. Said Issa Mohamed (Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mstaafu) 2. Salum Mwalum (Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Mstaafu) wamefungua kesi dhidi ya Chadema kwa kile walichodai kuwa maslahi...
  8. chiembe

    Ezekiel Wenje awatosa na kuwatenga Heche, Lemma na Mnyika kwenye ziara yake ya mkoani Kagera

    Amekacha! Huo ndio usemi wa vijana wa kileo unaoweza kutumika kueleza hatua ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Victoria, Ezekhia Wenje kutoonekana katika mikutano ya kampeni ya chama hicho ya "No reforms, No election" inayoendelea kwenye kanda yake. Tangu...
  9. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 John Mnyika: Waliojivua unachama wa CHADEMA, tuliwaita ila wakasema tuwaache wapumzike

    "Uongozi mpya ulipoingia kabla ya kuanza tukasema tujifungie Bagamoyo na tuliamua kabla viongozi wapya hatujaanza tukae kwanza na viongozi waliokuwepo madarakani wa kitaifa, na kabla ya viongozi waliokuwa madarakani wa kitaifa, Mwenyekiti aliyekuwepo, Makamu wenyeviti waliokuwepo kabla ya hatua...
  10. Q

    PreGE2025 John Mnyika: Mbowe hana nia ya kuhama Chama wala kugombea Urais

    Anaandika John Mnyika kwenye ukurasa wake wa X: Nimewasiliana na Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe amenieleza hana dhamira ya kugombea urais, ubunge au uongozi wa chama chochote cha siasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Natambua kuwa wachache waliojiondoa CHADEMA baadhi yao wamekuwa...
  11. S

    PreGE2025 John Mnyika, usimuamini sana Freeman Mbowe licha ya yeye kukanusha habari ya yeye kugombea uraisi kupitia chama kingine cha siasa

    Namshauri John Mnyika awe makini sana na asimuamini sana Mbowe kwa kile alichomueleza. Mnyika anapaswa kujiuliza juu ya ukimya wa Mbowe licha ya yote yanayoendelea na ni lazima ajiulilxe ni kwanini hakutoka mwenyewe hadharani kukanusha badala yake amesubiri mpaka Mnyika amtafute ndio akanushe...
  12. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 John Mnyika apongeza jeshi la Polisi kwa kulinda demokrasia

    Wakuu wa JamiiCheck hii uhalisia wake upoje?? === JOHN MNYIKA APONGEZA JESHI LA POLISI KWA KULINDA DEMOKRASIA NCHINI AMEYASEMA HAYO LEO WAKATI WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA MEI MOSI 2025. LEO TAREHE 30 APRILI, 2025, MAKAO MAKUU YA CHADEMA.
  13. Just Pray

    PreGE2025 John Mnyika: Hoja ya kutakiwa kufanyika mbadiliko kabla ya uchaguzi si hoja ya CHADEMA ni hoja ya umma

    "Tunatambua kwamba sauti hii ya haja ya mabadiliko ya kuwezesha uchaguzi huru na haki sio sauti ya CHADEMA peke yake, na tunashukuru sana viongozi wa dini ambao wameiasa serikali isikilize sauti ya wanaotaka mabadiliko kufanyika kabla ya uchaguzi kuwezesha uchaguzi huru na haki tunaamini, kwa...
  14. Just Pray

    PreGE2025 John Mnyika amtaka IGP kuwajibika na kutoa taarifa halisi ya viongozi wa CHADEMA waliokamatwa na kuteswa

    "Tunamtaka mkuu wa jeshi la polisi Tanzania IGP, kama haya matendo hayana baraka zake ajitoze yeye mwenyewe atoe taarifa kwa umma, juu ya matukio ya kupigwa kuteswa kuumizwa kwa wanachama na viongozi wa CHADEMA akitaja idadi halisi, akitaja sababu sababu ya hali hizo na kuwajibika kutokana na...
  15. Just Pray

    PreGE2025 CHADEMA wasema Muliro alidanganya, Mnyika atoa ushahidi jinsi polisi walivyowakamata viongozi na wanachama wa CHADEMA

    "Tutaonesha kwa muhutasari matukio ya msingi yenye kuthibitisha kwamba jeshi la polisi lilikamata viongozi na wanachama wa CHADEMA, lilihusika kupiga viongozi na wanachama wa CHADEMA, lilihusika kufanya uharamia wa kudhalilisha utu wa viongozi na wanachama wa CHADEMA, na baada ya kuonesha...
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 John Mnyika: Kamanda Muliro ametoa taarifa za uongo juu ya yaliyotokea tarehe 24/04/2025. Waliwakamata zaidi ya watu 20 na si watu 2

    Katibu mkuu wa CHADEMA aonyesha ushahidi Kwa Ulimwengu kuwa Polisi waliwakamata zaidi ya watu 20 na kisha kuwaondoa maeneo ya Kisutu kisha kuwatelekeza sehemu za Coco Beach, Ununio, Mabwepande, Bagamoyo na katika mitaa ya jijini Dar es Salaam "Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam...
  17. Just Pray

    PreGE2025 John Mnyika: 'Pattern' ya matukio ya jana, inaonesha kuna ushiriki wa idara ya usalama wa taifa, na serikali moja kwa moja

    "Matukio haya kwa Pattern yake pamoja na kuwa mzigo wote unaliendea jeshi la polisi kwa sababu jeshi la polisi na vyombo vyake ndilo ambalo lilikuwa mstari wa mbele siku ya jana kwenye kamatakamata kwenye vipigo, kwenye matukio yote. Lakini ukiyatazama kiundani matukio ya jana kivyovyote vile...
  18. Just Pray

    PreGE2025 John Mnyika: Nilituhumiwa kwa makosa ya kuhamasisha na kula njama ya kufanya maandamano, niliwekwa kizuizini ndani ya gari mpaka saa 1 na nusu usiku

    "kuanzia saa tatu asubuhi niliwekwa kizuizini ndani ya gari mpaka saa moja na nusu usiku, ni tukio ambalo nalitafsiri kwamba polisi waliniteka na kuniweka kizuizini ndani ya gari mpaka saa moja nanusu usiku, hawakunieleza nimefanya kosa gani saa moja nanusu nikawaambia kama ni kunishikila kwa...
  19. R

    John Heche, John Mnyika, Boni Yai, Godbless Lema na wengineo, msikate tamaa, siku hadi siku Watanzania tutazidi kujengeka na UJasiri wa kupinga UONEVU

    Makamanda Msikate tamaa, tuwaunge mkono kwa TONE TONE waweze kuwa na nyenzo angalau ya pesa kufanya haya ya haki wanayoyafanya! Mushkov nimenakili sentensi yako please Erythrocyte
  20. figganigga

    PreGE2025 Usiku huu Jeshi la Polisi limemleta Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika Makao Makuu ya Chama akiwa salama

    Usiiku huu Jeshi la Polisi limemleta Katibu Mkuu wa Chama Mhe. Makao Makuu ya Chama akiwa salama. Hajaguswa. Soma Pia: Baada ya Heche, Katibu Mkuu CHADEMA John Mnyika amekamatwa na Polisi Picha akiteta na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Ali Ibrahimu Juma katika ofisi ya Makao Makuu ya Chama.
Back
Top Bottom