GE2025 Heche, Mnyika, Rupia, Mwaipaya, Hilda na Wanachama wengine wa CHADEMA waitwa Mahakamani Oktoba 15, 2025

GE2025 Heche, Mnyika, Rupia, Mwaipaya, Hilda na Wanachama wengine wa CHADEMA waitwa Mahakamani Oktoba 15, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
556
Reaction score
1,039
Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>

Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili ya kutajwa tarehe 15 Oktoba, mwaka 2025, saa 3:00 asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji A. Mbagwa.

UNATAKIWA
kufika mahakamani siku hiyo bila kukosa, na uwakilishe nyaraka zote ambazo unakusudia kuzitumia kama ushahidi wa kuunga mkono upande wako wa shauri.
Screenshot 2025-10-13 231954.png
 
Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>

Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili ya kutajwa tarehe 15 Oktoba, mwaka 2025, saa 3:00 asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji A. Mbagwa.

UNATAKIWA
kufika mahakamani siku hiyo bila kukosa, na uwakilishe nyaraka zote ambazo unakusudia kuzitumia kama ushahidi wa kuunga mkono upande wako wa shauri.
View attachment 3488226
 
Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>

Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili ya kutajwa tarehe 15 Oktoba, mwaka 2025, saa 3:00 asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji A. Mbagwa.

UNATAKIWA
kufika mahakamani siku hiyo bila kukosa, na uwakilishe nyaraka zote ambazo unakusudia kuzitumia kama ushahidi wa kuunga mkono upande wako wa shauri.
View attachment 3488226
Hizi frivolous legal actions zitayeyuka kama mshumaa baada ya igizo la uchaguzi.
 
Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>

Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili ya kutajwa tarehe 15 Oktoba, mwaka 2025, saa 3:00 asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji A. Mbagwa.

UNATAKIWA
kufika mahakamani siku hiyo bila kukosa, na uwakilishe nyaraka zote ambazo unakusudia kuzitumia kama ushahidi wa kuunga mkono upande wako wa shauri.
View attachment 3488226
Hakuna ht wanaemdhohofisha
Last kick of a dying horse....
 
Amani ya Nchi kwanza
 

Attachments

  • 583319c0e3ca4061b4808b69a059c87e.jpg
    583319c0e3ca4061b4808b69a059c87e.jpg
    108.6 KB · Views: 30
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Huu mwaka , wenda ukawa moja ya mwaka wa kihistoria katika Taifa la Tz asema Bwana
 
Asee mwaka huu ccm imekutana na roho ya paka. Wanatumia kila silaha kumquat paka, paka hafi. Ilikua rahisi kwa Nccr Mageuzi ikaja Cuf na sasa ni Chadema. Wamekutana na ugumu ila wanajitahidi
 
Mambo ya hovyo kabisa, wanafanya bila ya aibu halafu tunaangalia tu kama mazuri vile
 
Mbowe hawezi kukubali kuachia chama kirahisi
 
Back
Top Bottom