Aliyejitambulisha kama Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Pwani, Ramadhan Mwaja, amesema Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, apisha uchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili ambazo zimekuwa zikijadiliwa katika mitandao ya kijamii, akisema hatua hiyo itasaidia kutoa nafasi kwa mamlaka husika kufanya...