Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amemjibu mtangazaji aliyeuliza kuhusu matarajio yake kwa hotuba ya Rais atakayefungua Bunge kesho. Akijibu kwa kifupi, Heche alisema, “Hakukuwa na uchaguzi nchi hii,” kauli iliyozua mijadala mitandaoni huku ikionekana...