Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.
Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.
Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?
Maendeleo...
Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari.
=====
Katika Mahojiano ya Spika Job Ndungai na Clouds Media...
Nauliza tu kwa nyie wenyeji wa Dodoma na haswa Kongwa why Job Ndugai ameonyesha kumgwaya gwaya DC Ndejembi wa wilayani kwake?
Au mambo ya Gairo yanafanana na Kongwa?!
Maendeleo hayana vyama!
Naomba kujuzwa chimbo la vibarua hapa mjini ni wapi? Na kazi zipi za part time hapa bongo? Kuna mtu nlimsikia kuwa posta karibu na clock tower kuna sehemu watu wanakusanyika kusubiri vibarua na nje ya bandari ni kweli? Kama kweli taratibu zipoje? Na malipo yakoje?
Tujuzane wakubwa
Spika Ndugai amesema haya,
Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza wala kuota kama nitakuwa Mwanasiasa, Mbunge na hata Spika ni Mungu tu ambaye katika uumbaji wake hutujua na kutupangia safari kadri anavyoona ni vyema, asanteni sana wana Kongwa, chama changu na Rais
Nakumbuka miaka niliyosoma...
Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa Freeman Mbowe utagundua kuwa ni mtu anayejua anachokifanya. Tofauti na wanasiasa wengi ambao hutenda mambo kwa kubahatisha, kinafiki na wakati mwingine wakitaka waonekane wanausapoti uongozi wa juu.
Ukiangalia utendaji wa Mbowe kama KUB amekuwa upande wa...
Kesi iliyofunguliwa na shirika la Civic and Legal Aid Organization (CILAO) kuomba tafsiri ya Mahakama Kuu kufuatia kitendo cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumrejesha Bungeni Ndg. Cecil Mwambe itatajwa kesho tarehe 03 Juni 2020 sa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Maige, Jaji...
Mtu kati.
Ni moja ya wiki stressful sana kwa Job Ndugai.
Wakati huko jimboni kwake Kongwa wapiga kura wake wakimkana mbele ya mwenyekiti wa chama chake Magufuli, huku kuna wananchi wengine wanamburuza kortini.
Kesi hii inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 3 June 2020 katika Mahakama Kuu kwa...
Habari wakuu,
Naombeni kusaidiwa hili jibu ikiwa mtu umeitwa kwenye interview alafu wewe umesomea electronics ila tangu umalize chuo umebahatika kufanya kazi dukani lets say duka la nguo halafu ikatokea umeitwa kwenye interview ya position uliosomea na kukutana na swali hili unaweza jibu vipi...
Wakuu nilivutiwa na idea ya kufanya Vinyl Wrap business about 3 years ago ila sikuendelea na hii plan kutokana na mambo kadhaa yaliokuwa nje ya uwezo wangu.
So far nataka kufanya comparison kati ya Vinyl Wraps na Paint job kipi kitakuwa na gharama nafuu zaidi?
Kwa wale mliopiga rangi za gari...
Naam wanabodi,
Hakuna jambo limekera kama hili la Job Ndugai kutumia mamlaka yake vibaya. Hatua aliyo fikia siyo tu amevunja Katiba waziwazi bali pia amewafhara watanzania na kudhani kuwa hawezi kufanywa chochote. Jambo hili haliwezi kupita hivihivi.
Kwahiyo kwa wale wenye nia ya dhati ya...
Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini.
Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo.
Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia...
Chemonics seeks a chief of party for the anticipated five-year, $25-50 million USAID-funded Tanzania Horticulture Activity. The project, anticipated to begin in early 2021, is expected to increase the competitiveness and inclusiveness of the horticulture subsector while improving the nutritional...
Job Title: TORs for the SVAC Prevention Consultant
Introduction
Since 2014, Pathfinder in collaboration with ActionAid Tanzania and C-Sema have been implementing the KUWAZA (Kuzuia Unyanyasaji wa Watoto Zanzibar) project which is aimed at supporting the Government of Zanzibar’s efforts in...
TB Diagnostic Specialist, Infectious Disease Detection and Surveillance
Tracking Code9867Job Description
Please submit a cover letter with your resume describing your interest in this position and how you meet the requirements. Application materials must be submitted in English and applicants...
Overview
HELVETAS Swiss Intercooperation (HELVETAS) is a Swiss INGO actively contributing to the improvement of the living conditions and status of economically poor and socially disadvantaged people in more than 33 developing countries, HELVETAS has its Head Office in Switzerland...
Overview:
The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital, Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization established by the Act of Parliament No. 23 of 1979 and became operational in 1980.
The National Institute for Medical Research (NIMR) Muhimbili Medical Research Centre is looking for full time qualified Tanzanians...
Hi Guys! Poleni kwa majukumu ya siku, I'm Biology teacher looking for teaching job. I'm competant enough to teach ordinary to Advanced level. pia Nauwezo wa kufundisha masomo mengine kama Chemistry and Geography. I'm available 24/7 kwa connection yoyote partain demand ya Biology teacher...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.