job

  1. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai: Sijawahi kumjulia hali Tundu Lissu kwani ananiona kama shetani | Mbowe asikimbilie Urais kuficha aibu ya kushindwa Ubunge

    Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe. Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari. ===== Katika Mahojiano ya Spika Job Ndungai na Clouds Media...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Spika Job Ndugai ameonyesha kumhofia DC Ndejembi wa Kongwa?

    Nauliza tu kwa nyie wenyeji wa Dodoma na haswa Kongwa why Job Ndugai ameonyesha kumgwaya gwaya DC Ndejembi wa wilayani kwake? Au mambo ya Gairo yanafanana na Kongwa?! Maendeleo hayana vyama!
  3. G

    JamiiForums Tanzania Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

    Naomba kujuzwa chimbo la vibarua hapa mjini ni wapi? Na kazi zipi za part time hapa bongo? Kuna mtu nlimsikia kuwa posta karibu na clock tower kuna sehemu watu wanakusanyika kusubiri vibarua na nje ya bandari ni kweli? Kama kweli taratibu zipoje? Na malipo yakoje? Tujuzane wakubwa
  4. Viol

    JamiiForums Tanzania Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

    Spika Ndugai amesema haya, Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza wala kuota kama nitakuwa Mwanasiasa, Mbunge na hata Spika ni Mungu tu ambaye katika uumbaji wake hutujua na kutupangia safari kadri anavyoona ni vyema, asanteni sana wana Kongwa, chama changu na Rais Nakumbuka miaka niliyosoma...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kisiasa Mbowe anaweza kuwa ni rafiki mzuri wa Dkt. Magufuli kuliko Job Ndugai

    Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa Freeman Mbowe utagundua kuwa ni mtu anayejua anachokifanya. Tofauti na wanasiasa wengi ambao hutenda mambo kwa kubahatisha, kinafiki na wakati mwingine wakitaka waonekane wanausapoti uongozi wa juu. Ukiangalia utendaji wa Mbowe kama KUB amekuwa upande wa...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi dhidi ya Spika Job Ndugai na Cecil Mwambe kutajwa kesho. Ni ile ya kuomba tafsiri ya Mahakama baada ya Mwambe kurudishwa Bungeni

    Kesi iliyofunguliwa na shirika la Civic and Legal Aid Organization (CILAO) kuomba tafsiri ya Mahakama Kuu kufuatia kitendo cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumrejesha Bungeni Ndg. Cecil Mwambe itatajwa kesho tarehe 03 Juni 2020 sa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Maige, Jaji...
  7. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania Wakati wapiga kura jimboni kwake wakimkana mchana kweupe tena mbele ya rais, Job Ndugai kuburuzwa kortini June 3 2020

    Mtu kati. Ni moja ya wiki stressful sana kwa Job Ndugai. Wakati huko jimboni kwake Kongwa wapiga kura wake wakimkana mbele ya mwenyekiti wa chama chake Magufuli, huku kuna wananchi wengine wanamburuza kortini. Kesi hii inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 3 June 2020 katika Mahakama Kuu kwa...
  8. G Sam

    JamiiForums Tanzania Wananchi wa Kongwa wamkataa mbunge wao Job Ndugai, wamwambia Rais Magufuli asimtume kusikiliza kero zao

    Naona mzee katupia magwanda huenda anaenda hapo Monduli kwa shughuli za kijeshi. Any way, spika amekataliwa live mbele ya Rais Magufuli.
  9. Kapepo

    JamiiForums Tanzania What is your experience on this job?

    Habari wakuu, Naombeni kusaidiwa hili jibu ikiwa mtu umeitwa kwenye interview alafu wewe umesomea electronics ila tangu umalize chuo umebahatika kufanya kazi dukani lets say duka la nguo halafu ikatokea umeitwa kwenye interview ya position uliosomea na kukutana na swali hili unaweza jibu vipi...
  10. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Kipi ni nafuu kati ya Vinyl wrap na Paint job?

    Wakuu nilivutiwa na idea ya kufanya Vinyl Wrap business about 3 years ago ila sikuendelea na hii plan kutokana na mambo kadhaa yaliokuwa nje ya uwezo wangu. So far nataka kufanya comparison kati ya Vinyl Wraps na Paint job kipi kitakuwa na gharama nafuu zaidi? Kwa wale mliopiga rangi za gari...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Wenye nia ya dhati ya kumshitaki Job Ndugai tukutane hapa

    Naam wanabodi, Hakuna jambo limekera kama hili la Job Ndugai kutumia mamlaka yake vibaya. Hatua aliyo fikia siyo tu amevunja Katiba waziwazi bali pia amewafhara watanzania na kudhani kuwa hawezi kufanywa chochote. Jambo hili haliwezi kupita hivihivi. Kwahiyo kwa wale wenye nia ya dhati ya...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, tumpe tano tena Spika Job Ndugai akifanikiwa kurudi Bunge lijalo?

    Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini. Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo. Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New Job Vacancy at Chemonics International Inc Tanzania - Chief of Party

    Chemonics seeks a chief of party for the anticipated five-year, $25-50 million USAID-funded Tanzania Horticulture Activity. The project, anticipated to begin in early 2021, is expected to increase the competitiveness and inclusiveness of the horticulture subsector while improving the nutritional...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania New Job Opportunity at Pathfinder International Tanzania - SVAC Prevention Consultant

    Job Title: TORs for the SVAC Prevention Consultant Introduction Since 2014, Pathfinder in collaboration with ActionAid Tanzania and C-Sema have been implementing the KUWAZA (Kuzuia Unyanyasaji wa Watoto Zanzibar) project which is aimed at supporting the Government of Zanzibar’s efforts in...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job at PATH Tanzania - TB Diagnostic Specialist, Infectious Disease Detection and Surveillance

    TB Diagnostic Specialist, Infectious Disease Detection and Surveillance Tracking Code9867Job Description Please submit a cover letter with your resume describing your interest in this position and how you meet the requirements. Application materials must be submitted in English and applicants...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 8 Job Opportunities at HELVETAS Swiss Intercooperation – Tanzania

    Overview HELVETAS Swiss Intercooperation (HELVETAS) is a Swiss INGO actively contributing to the improvement of the living conditions and status of economically poor and socially disadvantaged people in more than 33 developing countries, HELVETAS has its Head Office in Switzerland...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 15 Job Opportunities at Aga Khan Health Service Tanzania (AKHST), Deadline 24 February 2020

    Overview: The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital, Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
  18. Katambala

    JamiiForums Tanzania META Project job openings at National Institute for Medical Research, Muhimbili Center

    The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization established by the Act of Parliament No. 23 of 1979 and became operational in 1980. The National Institute for Medical Research (NIMR) Muhimbili Medical Research Centre is looking for full time qualified Tanzanians...
  19. MEGAMIND2055

    JamiiForums Tanzania Mimi mwalimu wa somo la Biology kwa Ordinary to Advanced level nahitaji kazi

    Hi Guys! Poleni kwa majukumu ya siku, I'm Biology teacher looking for teaching job. I'm competant enough to teach ordinary to Advanced level. pia Nauwezo wa kufundisha masomo mengine kama Chemistry and Geography. I'm available 24/7 kwa connection yoyote partain demand ya Biology teacher...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Job posts for sales officer and accounting and admnistrative officer

    Affluence Training Company Limited (ATL) is an international training company offering various consultancies and training services to the public and private sectors. The company is currently operating in Tanzania with head offices in Dar Es Salaam. ATL invites qualified candidates to apply for...
Back
Top Bottom