LEGAL SERVICES FACILITY
JOB OPPORTUNITIES
The Legal Services Facility (LSF) a registered non-government Organization (NGO) with Registration No. 00NGO/R2/00011. It is a basket fund created to channel funding on equal opportunity basis to organizations which are providing legal aid and...
Habari.
Naitwa DAVID BENJAMIN KILAS. Nina umri miaka 25 na ni mkazi wa Mbeya mjini.
Nimehitimu chuo kikuu IFM kilichopo posta Dar es salaam na kutunukiwa degree ya Social Protection and Actuarial Studies.
Baada ya kuhitimu nilifanya internship fupi ya miezi 8 na baada ya hapo nilianza...
Job Opportunities
A: Background
In 2012, Mzumbe University through the Department of Health Systems Management, was commissioned by then Ministry of Health and Social Welfare to determine and respond to the need for training in Health Monitoring and Evaluation (HM&E) among professionals in the...
Kwa heshima kubwa naleta ushauri huu kwenu, nikiwa kama
BUNGE ni chombo au ni sauti ya watanzania walio zaidi ya milioni 50.
Bunge ni chombo kinachojitegemea ambacho kinatakiwa kuisimamia Serikali, hivyo Bunge lina nguvu yakikatiba kutetea wananchi wake ambao ni wakulima na wafanyakazi.
Mwaka...
Habari, Wazima?
Natafuta kazi shule ya kufundisha masomo CHEMISTRY AND BIOLOGY Nina stashahada ya walimu katika masomo hayo for connection please contact me 0752248662
Overview
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is implementing its five years Corporate Strategic Plan (2017/2018-2020-2021) which includes the network expansion in local, regional and international destinations. .
Therefore, applications are invited from qualified Tanzanians to fill the...
Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua.
Wengi hawaijui nguvu ya Ndugai ndani ya CCM lakini kiukweli huyu jamaa ni very powerful.
Wako wapi leo akina Makonda, Prof Assad, Mbowe na yule aliyepima samaki kwa rula kwenye mgahawa...
Overview
Tatc / Shirika La Nyumbu
Tanzania Automotive Technology Centre (TATC), synonymously known as “Shirika la Nyumbu”, was formally established on the 14th December 1985, through a Presidential Order, made under the Public Corporations Act 1969. TATC’s mission is to develop a reputable...
First Class Africa (FCA) is the premier provider of African experience. At First Class Africa, we are a vibrant team who imagine and do things differently. We have re-imagined the African tourism and hospitality delivery model and are now seeking a highly regarded hands on General Manager to...
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.
Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo...
Salaam Wakuu.
Kama mnakumbuka mwezi March 2017 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kiliwafukuza wanachama wake 12, akiwamo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba.
Sophia alilazimika kupoteza ubunge kutokana na uamuzi huo, alifukuzwa baada ya kupatikana na makosa ya maadili kinyume na Katiba...
Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote.
Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu...
Ajira zimekuwa adimu sana hata serikali ikisema itengeneze hizo ajira milion 8 ilizoahidi sidhani kama zitatosha kumaliza uhitaji wa ajira lililopo nchini, na mbaya zaidi graduates wanaongezeka kila mwaka. Ni vizuri kutazama plan B na uzuri humu watu wana share experience mbalimbali na njia zao...
Overview:
Kariakoo Markets Corporation is an autonomous Government Institution established under the Kariakoo Market Corporation Act no 36 of 1974 (Revised by the Act No 16 of 1985, to manage and control the Kariakoo Market, establish and manage other markets within Dar es salaam Region...
Overview
THE UNITED AFRICAN UNIVERSITY OF TANZANIA (UAUT) is a private institution of Higher Learning Institution founded by the Registered Trustees of Korea Church Mission (KCM), with the objective of alleviating poverty and promoting growth through raising Tanzanian Christian leaders who are...
Overview:
Water Institute invites application from suitably qualified public servants who wish to be transfered to Water Institute in the following positions below...
1. (a) Position: Accountant II (1 Post)
(b) Qualification and Experience:
Possession of Bachelor Degree or Advanced Diploma in...
Mkutano wa kwanza wa Bunge la 12 umeanza rasmi leo Novemba 10, 2020, jijini Dodoma, ambapo moja ya shughuli zinazofanyika kwa sasa ni zoezi la kumchagua Spika wa Bunge.
Moja ya kazi za kwanza za vikao vya mwanzo vya mkutano huu itakuwa ni kumchagua Spika wa Bunge, Naibu wake pamoja na...
Kwa members wanaoijua wilaya ya Kongwa ikiwemo CCM mtakubaliana na mimi mia kwa mia.
Kwa wale ambao hamjawahi kufika huku basi pateni simulizi hapa. Nimezuru wilaya ya Kongwa leo na kujionea hali halisi ya Wilaya hii.
Hali hii imenitia simanzi sana lakini baadae nikajisemea hivi namuonea...
1. Exploration Manager
Bulyanhulu Gold Mine
Location: Shinyanga Region, Tanzania
Position Description:
The successful candidate will manage all exploration activities in Tanzania from regional generative programs through grassroots work on new projects to more advanced brownfields exploration...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.