Je, tumpe tano tena Spika Job Ndugai akifanikiwa kurudi Bunge lijalo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,785
141,680
Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini.

Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo.

Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia utumishi wake uliotukuka bungeni.
Ndugai amekuwa mbunge wa kawaida, mwenyekiti wa bunge, Naibu Spika na sasa Spika na huko kwote ameacha alama za uongozi bora.

Je, kuna haja ya kuishawishi CCM impitishe tena Ndugai kuwa Spika wetu kwa sababu kule kwenye kinyang'anyiro cha ubunge hana mpinzani?

Combination ya Dr Magufuli , Mh Majaliwa na Ndugai imetuletea maendeleo chanya ya nchi yetu, je Ndugai apewe TANO TENA?

Maendeleo hayana vyama!
 
Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini.

Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo.

Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia utumishi wake uliotukuka bungeni.
Ndugai amekuwa mbunge wa kawaida, mwenyekiti wa bunge, Naibu Spika na sasa Spika na huko kwote ameacha alama za uongozi bora.

Je kuna haja ya kuishawishi CCM impitishe tena Ndugai kuwa Spika wetu kwa sababu kule kwenye kinyang'anyiro cha ubunge hana mpinzani?
Combination ya Dr Magufuli , Mh Majaliwa na Ndugai imetuletea maendeleo chanya ya nchi yetu, je Ndugai apewe TANO TENA?

Maendeleo hayana vyama!
Vikao vitaisha tar 30 mwezi huu lakini bunge litavunjwa rasmi tar 31 june. Na Ayubu Ndugai amefanya kazi nzuri sana maana hataki upuuzi. Kwa hiyo anastahili kabisa. Nilifurahi sana alipowachana live wale wabunge waliovunjwa mikono kwa kuingia restricted area.
 
Unaumwa wewe!...kwanza spika anaumwa pale wampe muda wa kupumzima na kutubia madhambi yake kabla mambo hayajakaa tenge!
 
Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini.

Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo.

Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia utumishi wake uliotukuka bungeni.
Ndugai amekuwa mbunge wa kawaida, mwenyekiti wa bunge, Naibu Spika na sasa Spika na huko kwote ameacha alama za uongozi bora.

Je kuna haja ya kuishawishi CCM impitishe tena Ndugai kuwa Spika wetu kwa sababu kule kwenye kinyang'anyiro cha ubunge hana mpinzani?
Combination ya Dr Magufuli , Mh Majaliwa na Ndugai imetuletea maendeleo chanya ya nchi yetu, je Ndugai apewe TANO TENA?

Maendeleo hayana vyama!
hatukuwa na speaker, stooge la jiwe
 
Nafahamu kuwa kwa mujibu wa katiba nafasi ya Spika ni miaka mitano lakini hakatazwi kugombea tena kama anajiamini.

Sasa bunge la Ndugai linaisha tarehe 30/5/2020 na Rais Magufuli atalivunja wakati wowote baada ya tarehe hiyo.

Spika Job Ndugai amewafanyia watanzania mazuri mengi kupitia utumishi wake uliotukuka bungeni.
Ndugai amekuwa mbunge wa kawaida, mwenyekiti wa bunge, Naibu Spika na sasa Spika na huko kwote ameacha alama za uongozi bora.

Je, kuna haja ya kuishawishi CCM impitishe tena Ndugai kuwa Spika wetu kwa sababu kule kwenye kinyang'anyiro cha ubunge hana mpinzani?

Combination ya Dr Magufuli , Mh Majaliwa na Ndugai imetuletea maendeleo chanya ya nchi yetu, je Ndugai apewe TANO TENA?

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu ni kweli corona imeisha nchini? Kama haijaisha atapitia mlango gani kurudi?
 
Vikao vitaisha tar 30 mwezi huu lakini bunge litavunjwa rasmi tar 31 june. Na Ayubu Ndugai amefanya kazi nzuri sana maana hataki upuuzi. Kwa hiyo anastahili kabisa. Nilifurahi sana alipowachana live wale wabunge waliovunjwa mikono kwa kuingia restricted area.
Bwashee mwezi June hauna tarehe 31!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom