Hawa watu ni wapotoshaji hatari sana kwa taifa. Kwa mfano kwanini mtu anayesapoti ukeketaji kwa mabinti aendelee kuwa uraiani? Wanazo post nyingi za kipumbavu ila hii ya UKEKETAJI inatosha kabisa wao kukamatwa na kufafanua vizuri mahakamani...
Jeshi la polisi linasema watu wanajiteka, sijui wivu wa mapenzi, ushirikina, na madeni.
Hebu tuchambue baadhi ya matukio ya utekaji yalivyokuwa,
Kwa mfano utekaji wa kiongozi wa CHADEMA aliye shushwa kwenye basi na kukutwa ameuwawa yule alishushwa kwenye basi na kundi la watu kadhaa...
Baada ya habari za utekaji kufikia mabeberu na watu wengi wakilalamika akiwemo josephat gwajima
Jeshi la polisi limeamua kufanya siasa kwenye kushughulika na hili swala badala ya weledi
Wanachofanya kwa jicho la kawaida tu ni kiini macho na mbaya zaidi hii script wameshakosea tokea mwanza hata...
Inatia sana Hasira kuona Chombo Cha Dola ambacho kinawajibika kuhakikisha Usalama wa Raia, kinakua Cha kwanza Kutafuta sababu za kipuuzi kabisa na ambazo ni mwendawazimu pekee ndio anaweza kuzikubali kuhalalisha Utekaji ,na Mauaji ya Raia Nchini.
Padre KITIMA nusura auwawe, kwamba ni wivu wa...
Jeshi la Polisi limetoa tamko kufuatia taarifa za watu kupotea, kutekwa au kukamatwa na wanaodaiwa kuwa askari. Polisi wamesema hufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuthibitisha ukweli wa tukio, na haiwezi kusemwa moja kwa moja mtu amepotea bila ushahidi.
Kwa mujibu wa sheria, mtu hutambulika...
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania, hali ya kisiasa imeendelea kuwa ya mashaka, hasa kwa upande wa vyama vya upinzani. Tukio la Jeshi la Polisi kuzingira hoteli ya Seashells Millennium, Dar na kuwaamuru waandishi wa habari kuondoka kwenye mkutano wa CHADEMA, limeibua...
Video inaonyesha, HECHE anaingia Ndani ya Kituo .
Baadae nje, video inaonyesha HECHE akiongea na Mtu mwenye Uchungu .
Kwahiyo Walipoingia Ndani ya Kituo hawakuongea naye, kwamba hawakumkuta, wakaja nje ,wakati wakuondoka ndio Sasa wakaonana naye nje?
Hivi hili Jeshi la Wapi hili?? Alafu nao...
Katika hali ya kawaida ya kikatiba na kisheria, uamuzi wa kuzuia chama cha siasa kama CHADEMA kufanya shughuli zake za kisiasa ni suala zito linalogusa moja kwa moja haki za kikatiba za uhuru wa kushiriki shughuli za kisiasa, uhuru wa kujieleza, na uhuru wa kujiunga na vyama. Katika andiko hili...
Nina uhakika wa Mungu unajua fika kuwa jeshi la polisi linalalamikiwa sana kuliko miaka yote tangu Tanganyika iwepo duniani.
Mauji ya wananchi, kuonea wananchi and many many other atrocities committed by polisi, bado makubwa yanayotokea mikononi mwa polisi. POLICE BRUTALITY IS AT ITS PEAK...
Wakuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema manung'uniko yalikuwepo kuhusu Jeshi la polisi kwa sasa yamepungua sana.
Rais Samia ameyasema hayo katika Sherehe ya kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi katika...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura, amesema Jeshi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Amesema hayo leo Juni 9, Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi.
"Sote tunatambua kuwa mwaka huu 2025...
Rais Samia akishiriki Sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Juni 9, 2025
=====================================
Akimkaribisha Rais Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasm katika sherehe a kufunga mafunzo ya maofisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi, Waziri wa Mambo ya...
Watu 28 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa Juni 7, 2025 majira ya saa mbili usiku, katika eneo la mteremko wa Mbalizi, mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imetokea baada ya lori la mizigo kufeli breki na kugonga magari mawili...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida lakanusha taarifa zinazozambaa kuwa limemkamata na kumshikilia Shekhe Zuberi Nkokoo (53) mwalimu wa dini ya Kiislam kutoka Taasisi ya Islamic Foundation ambaye aliripotiwa kupotea Juni 02, 2025 majira ya saa 5:30 usiku akiwa karibu na Sheli ya Lake Oil iliyopo...
Kuna tabia ya ajabu sana imezuka sasa hivi kwa jeshi letu la polisi. Sio mara moja tumesikia mtu ametupwa kwenye mapori, na wengine wametupwa kwenye mapori yenye wanyama wakali.
Nani asiye na weledi kiasi hiki anaye waagiza police kufanya hayo. Tumemsikia satifa aliye tupwa kwenye hifadhi ya...
Salaam!
Ikiwa tunataka Kurudisha Imani iliyokuwepo tangu kuanzishwa kwake, kwamba ni jeshi la kulinda raia.
Way back jeshi letu lilisifika, kwamba ni rahisi kupishana njiani na askari wa Tanzania kuliko askari wa nchi jirani tu hapo kwa Odii. Kule ukimwona polisi aja njia yako, pita mbali...
Jeshi la Polisi liwe la wilaya au mkoa sio taifa ili wawe ni Polisi waliotoka kwenye jamii. Hii ndiyo maana ya jeshi la Polisi sehemu zingine Duniani. Hakuna haja ya kuwa na Polisi la nchi nzima maana linashusha imani kwa watu na wanaendeshwa bila kujali jamii. Kwa nchi nzima waache Jeshi la...
Muliro ameshasema yeye anasimamia mulichokubaliana ninyi wenyewe Watanganyika, IGP pia anasimamia mulichokubaliana ninyi wenyewe Watanganyika. Yaani wanasimamia sheria zenu mlizozitunga. Ziwe mbaya, ziwe nzuri hilo haliwahusu. Jukumu lao ni kuzisimamia.
Watanganyika ndio mliotunga sheria ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.