Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi kwa lengo la kusaidia shughuli za doria na operesheni mbalimbali zinazolenga kuimarisha usalama wa raia na mali zao.
Akipokea Pikipiki hizo kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
Baada ya tukio lililotokea Aprili 29, 2025 ikielezwa kuna baadhi ya Wakimbizi walisababisha taharuki katika Kambi ya Nyarugusu Mkoani Kigoma kiasi cha kusababisha Jeshi la Polisi kuingilia na kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia, ufafanuzi umetolewa kuhusu tukio hilo
Kama hukusoma kuhusu...
Matukio ya utekaji, mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani hasa Chadema mengi hutekelezwa na UVCCM (Green Guard) kwa mwamvuli wa jeshi la polisi.
Hawa Green Guards 'WENGI' wao ni vijana wa vijiweni wahuni, wavuta bangi wasio na maadili yeyote hutumiwa na Chama cha Mapinduzi kuwaumiza...
Wakuu za chini chini ni kua, Maamuzi ya Hakimu ya Leo yapo well coordinated and calculated.
Tarehe 19/5/2025 ,lile Genge la Wahuni wa UVCCM ,pamoja na Mamluki wao mbalimbali WAMEPANGA kuvaa nguo za Sare za CHADEMA tarehe Husika, Kisha wataanzisha Fujo nyingi sana Ndani ya Mahakama Fujo hizo...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa juhudi zake katika kufuatilia na kuchukua hatua dhidi ya matukio mbalimbali ya kihalifu, ikiwemo tukio la kukamatwa na kuhojiwa kwa mtu anayetuhumiwa kutoa ujumbe wa vitisho kabla ya shambulio dhidi ya Katibu...
Kuna watu wasio na hatia walikwamatwa mahakamani walipoenda kumfariji kiongozi wao lissu na kupigwa kisha kutupwa msituni,
Sasa CHADEMA na Watanzania walihoji kuhusu hili suala linalo kiuka haki za binadamu kwamba zina baraka za waziri Bashungwa au laah?,
Mbona hatuoni waziri akiliongelea...
IGP Kenya
.
IGP Zambia
IGP Uganda
IGP Tanzania.
Malawi IGP
Rwanda
IGP Rwanda
Burundi IGP
DRC IGP
DRC
Ukitazama hizo picha kuna jibu linakukia kuhusu aina ya Viongozi tulio nao hii Tanzania.
Mambosasa.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo tayari limemtia mbaroni mtu mmoja aliyedaiwa kuchapisha taarifa kwenye ukurasa wa X, kwamba ''siku za Padre Kitima zinahesabika'' ikiwa ni siku chache kabla ya Padre huyo kushambuliwa.
Ameyasema hayo Mei...
https://youtu.be/H_nTberB3go?si=ycb2F5DMUslS3AqC
Hao kwenye video hiyo chini👇👇 ni watu wa Mbeya (ambao ni ndugu na wanachama wa CHADEMA). Wamefanya Press Conference na wanatumia lugha ya "kuomba jeshi la Polisi - Mbeya" kupitia Mkuu wa Mkoa, RPC na RCO limtafute Mdude Nyagali na kumpata..
Kabla...
Jeshi la Polisi linafuatilia kwa karibu tuhuma zilizotolewa na mwananchi mmoja ambaye jina lake linaendelea kufuatiliwa akiwatuhumu askari wawili kupitia mitandao ya kijamii kuwa walimfuata kumtaka afanye nao kazi ya kijajusi pamoja na kumuahidi kumpatia fedha.
Kufuatia taarifa hiyo, Jeshi la...
Familia ya Marehemu Ediga Mwaniwe wa Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kwa siku sita imekataa kwenda kuchukua mwili wa ndugu yao kwa ajili maziko uliohifadhiwa katika hospital ya Manispaa hiyo kwa lengo la kushinikiza Jeshi la Polisi Mkoani humo kutenda haki ya kumkamata mfanyabiashara wa madini...
Nimewaza sana kuhusu CCM inavyoendesha nchi bila kukubari ukweli.
Mfano lile la afande muriro video zinaonekana polisi wanabeba watu mahakamani na kukana kusema sio polisi.
Nalipongeza jeshi la polisi kuwa na CCM sana sababu mnakadi za ccm ndio mpate vyeo.
Watu wengi wamekuwa wakitoa ushaidi kuhusu nyie na tabia zenu sehemu nyingi kwenye matukio.
Swali langu tu:kwa nini kwenye maswala ya kisiasa mnakataa ila mkivamiwa mnakuja juu kusema mnaingiliwa majukumu yenu...
Chukulia Tukio la Mdude, mlango umevunjwa, Wamempiga, lazima Kuna traces walizoacha .
Mzee Kibao , Sativa , KITIMA na wengineo ambao walipatikana wakiwa hai au Kufa.
SIJAWAHI ONA KWENYE MITANDAO POLISI WA TANZANIA , KITENGO CHA FORENSIC ,WAKIFANYA KAZI.
Sana sana, watafika, wabebe mwili...
Kuteka, kupoteza, kuua, kutisha, kunyanyasa, kudhalilisha, kupokea rushwa, kuvunja sheria, kujitwalia mamalaka, kufanya watakavyo ndiyo unavyoweza kuelezea jeshi la polisi kwa sasa.
Huwa nashangaa. Je haya mamlaka yasiyo na mipaka jeshi la polisi limeyapata wapi? Wapi madaraka ya rais? Je...
Huu ni Ushauri tu Huyu Mzee hatakiwi kua Mikononi mwa Jeshi la hao wahuni wa Tanzania.
Wakimchukua, watamfanya asionekane, alafu wataanza kutoa matamko kama wendawazimu japo hata matamko yao yamekaa kipuuzi puuzi !!.
Wakuu,
Mungu anaendelea Kuwaumbua.
Kwa madai ya huyu mzee ALIFUATWA NA POLISI TANZANIA, MZEE ANAMTAJA POLISI KWA MAJINA YAKE, MZEE ANASEMA,
JUZI JUZI JUZI walimfuata Nyakati za usiku, wakimuahidi malipo ya Pesa anayotaka, iwapo atafanikisha kuwaambia Mdude Nyagali anakaa wapi .
Mzee...
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya huku akihema na kujaa wasiwasi mwingi hali iliyopoteza kujiamini kwake, Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo amekanusha Jeshi lake kumkamata Mdude Nyagali na kumshikilia popote Mkoani humo
Kamanda huyo amewaomba wote wenye Taarifa zitakazowezesha...
Afande Muliro usipojiangalia kwa kauli zako nyepesi na majibu rahisi utakuwa unajiwekea wakati mgumu kwa wananchi na Polisi Tanzania nzima.
Mpaka sasa ni wazi polisi mshakuwa na mifumo ya wahalifu ambayo hata kupelekea mwanya huu ndani ya watawala na watu wengine kutumia mtindo wenu.
Kwa...
Wakuu nmekutana na hili sijui gazeti sijui kipeperushi kikielezea kuwa Rais wa TEC amesema ana imani na jeshi la polisi na amewasailiana na IGP Wambura kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Katibu wa TEC Padre charles Kitima wanadai ni kutokana na mahojiano aliyoyafanya na Dw, Je ni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.