jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. mcTobby

    Hivi maduka yanayouza bidhaa za JamiiForums zipo?

    Yeah, namaanisha vitu kama t-shirt, kofia au hata kofia zenye logo ya jf. Tujuzane wadau. Nahitaji hata t-shirt moja tu.😎
  2. kiss ov love

    JamiiForums inafahamuje ikitokea mwanajukwaa amefariki na kumuwekea RIP?

    Naomba kufahamishwa kuhusu hili maana nimeona kuna baadhi ya members wenzetu, wamewekewa RIP kwenye profiles zao.
  3. N

    Matengenezo ya JamiiForums: Update Mpya Zilizogundulika

    Kwa muda huu, JamiiForums imekuwa ikifanya updates kwenye mfumo wao wa mtandao. Wakati wa mchakato huo, imegundulika kuwa baadhi ya vipengele vipya viliwekwa moja kwa moja “live” bila kupitia test/staging environment. Hali hii ilisababisha baadhi ya watumiaji kubaini mabadiliko yasiyo ya kawaida...
  4. BICHWA KOMWE -

    Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

    Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️ Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri. Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika. Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16...
  5. GENTAMYCINE

    Ukiwa kama Great Thinker wa JamiiForums una Fikra gani za Nje ya Box hasa kumhusu huyu Daktari Feki aliyekamatwa Muhimbili na tena Amana?

    Hivi ni kwanini Wapuuzi wachache wanapenda sana Kucheza na Akili za Watanzania hasa tu kukiwa na Jambo muhimu?
  6. Jemima Mrembo

    Profile za Wana JamiiForums mbalimbali kwa mujibu wa akili mnemba/ akili unde/ akili kinyanyamshenzi

    Mshana Jr ni msanii wa Tanzania anayejulikana kwa kazi za ujuzi wa uigizaji wa vichekesho, hasa kupitia mitandao ya kijamii kama YouTube, TikTok na Instagram. Anajulikana kwa ucheshi wa kipekee, lugha ya Kiswahili yenye lafudhi ya mtaani, na uwasilishaji wa maisha ya kawaida kwa njia ya...
  7. Vulmeko

    Confession: JamiiForums has me hooked; but here’s a thought…

    Since I joined JamiiForums, I’ve found it surprisingly addictive; I check it every day without fail. The discussions are engaging and often thought-provoking, but I’ve also noticed that some topics are becoming a bit too personal. I believe the forum would be even better if more contributors...
  8. N'yadikwa

    Je, uteuzi wa Balozi wa Ghana mwenye asili ya Kiasia unaonesha kuwa Waafrika ni wabaguzi zaidi kuliko hata walowezi?

    UTANGULIZI: Wiki hii, uteuzi wa Balozi mpya wa Ghana nchini Korea Kusini umezua mjadala mkubwa mitandaoni, si kwa sababu ya sifa zake au sera zake, bali kwa sababu ya sura yake. Balozi huyu ni Mghana mwenye asili ya Kiasia – jambo ambalo kwa baadhi ya watu limechukuliwa kama "kashfa" kwa...
  9. Prof_Adventure_guide

    Viongozi na Wanajukwaa: Tukipanda Pamoja Mlima Kilimanjaro, JamiiForums Itafika Kilele cha Heshima ya Afrika Mashariki

    Ni wakati muafaka kwa admins wa JamiiForums na distributors wake kuangalia mbele kwa jicho la kimaono (visionary approach) na kukubali kuwekeza – kifedha na kiuwezo – katika mradi wa kipekee na wa kihistoria: kuipandisha JamiiForums hadi kwenye kilele cha Uhuru Peak, Mlima Kilimanjaro. Kwanini...
  10. Prof_Adventure_guide

    Legends of the Land – Tuinue Utalii wa Ndani, Tuoneshe Nguvu ya JamiiForums!

    Hoja Yangu kwa Wanajukwaa na Wasimamizi wa JamiiForums: Wana JF wenzangu, Nchi yetu imebarikiwa kwa natural wonders ambazo dunia nzima inazitamani – kutoka kilele cha mlima mrefu barani Afrika, Mlima Kilimanjaro, hadi Ngorongoro Crater yenye historia ya kipekee, Serengeti yenye migration ya...
  11. Tabutupu

    Leadership Renewal in Tanzania: A Car Service Analogy as per Amb H Polepole

    The Imperative of Leadership Renewal in Tanzania A Car Service Analogy by H. POLEPOLE Tanzania's political system, much like any intricate machinery, necessitates consistent maintenance and periodic major overhauls to ensure optimal functionality. The analogy of servicing a car offers a clear...
  12. GENTAMYCINE

    Wanaume wote JamiiForums na Kwingineko kuleni Chuma hiki cha Ukweli Mchungu

    Kudadadeki.....!!!!!!
  13. The Librarian

    The Need for JamiiForums Mobile Apps Feedback & Discussion Forums

    Guys kwema! Sorry, I'm looking for a forum special for discussing bugs and giving suggestions on the jamii forums app. Thanks.
  14. Michael_03

    Naombeni support yenu wana jamiiForums

    Habari zenu ndugu zanguu Naitwa Michael Godfrey Kutoka Transpark Solution Marketing agency. Taaluma yetu ni kusaidia biashara yako kupata wateja zaidi kupitia promesheni, branding, na digital marketing. Tunaweza kukusaidia kuongeza mauzo. Naweza kukuelezea jinsi tunavyofanya kazi kama...
  15. 1Africa54

    Swali namba 2 (kwa mtindo wana JamiiForums)

    Je, kwa nini mchakato wa Katiba mpya umekuwa ukisuasua licha ya ahadi za kisiasa kutoka kwa viongozi wa juu, na ni nani anayefaidika na hali hii ya kutokuwepo kwa mabadiliko ya kikatiba?
  16. haszu

    Wadada wa JamiiForums ni tofauti na ninaokutana nao mitandao mingine ya kijamii

    Kwenye social media nyingine nikituma picha wadada wananisifia sana na wengine wananitongoza live na DM, ni mara chache kuona comments za masela. Lakini JamiiForums ni tofauti, wadada kama madume, wanatukana na kunikandia sana mixer kunibagazia kua mimi ni upinde. Maajabu haya haya
  17. Mshana Jr

    Itambue dhima yako kama mwana JF ndani ya Jamiiforums

    Kabla ya yote tuwakumbuke wote wenye shida mbalimbali za kimwili na kiroho pia.. Ugonjwa na taabu... Tuwaombee wepesi katika magumu wanatopitia. Amen Tujadiliane haya machache lakini yenye umuhimu mkubwa Kila kitu huzaliwa hukua na kustawi... JamiiForums nayo ilizaliwa ikakua na sasa iko...
  18. Roving Journalist

    Hospitali ya Amana yatoa majibu kuhusu hoja ya Mwananchi aliyedai kuna changamoto ya Huduma ya Ambulance Hospitalini hapo

    Hospitali ya Amana imetoa ufafanuzi kuhusu hoja ya Mwananchi aliyeandika kupitia JamiiForums.com kuhusu changamoto ya Huduma ya Ambulance ambapo alisema zipo mbili lakini Dereva ni mmoja na hivyo kusababisha huduma za kuhamisha Wagonjwa kuwa katika kasi ndogo, pia akadai kauli za baadhi ya Watoa...
  19. Minjingu Jingu

    Jiweke hapa jinsi Chatgpt inavyokutambua kama mshirika wa Jamiiforums kwa mchango wako

    Nimeanza na Komeo Lachuma anatambulika hivi - Inaonekana Komeo la Chuma (pia hujulikana kama Komeo Lachuma) ni jina la mtumiaji mwenye ushawishi mkubwa kwenye JamiiForums. Huyu ni mmoja wa watendaji (au wanachama wenye hadhi ya JF‑Expert) wanaochangia sana, mara nyingi huanza mjadala na...
  20. USSR

    Tuache utani hili konokono la jamiiforums linatisha sana hakuna mbadala

    Hili dude sio kahuna namna ya kutuhabarisha kama kuna tatizo zaidi ya kutishana USSR
Back
Top Bottom