JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.
JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.
Wakuu kama mna kumbukumbu ni kwamba tarehe 6 sept 2025 mamlaka ya mawasiliano iliifungua JF kwa siku 90 kutokana na makosa walioona wao kuwa JF wamekiuka.
Na kwa siku 90 ni kwamba zinaisha kabla ya tarehe 6 DEC.
Je, kwa fukuto hili la Dec 9 mamlaka watairudisha kweli hewani JF yetu pendwa?
Kutoka UN City: Jinsi mchango wa JamiiAfrica na JamiiForums unavyotambulika kimataifa
-
JamiiAfrica imewakilishwa na Mkurugenzi Mtendaji, Maxence Melo katika mkutano huu wa siku 2 (Novemba 11 - 12, 2025)
Ndugu Zangu Wanajukwaa!
Mimi si mtaalamu wa magari kabisa, nimeona Range Rover hizi nyeusi, ndefu katika misafara ya Rais Samia Suluhu Hassan hasa baada ya kuapishwa kwake.
Nimejaribu "ku-Google" (gugo huko!) na nimejifunza mambo machache. Ninaomba mnisaidie kufafanua kwa wale wenye ufahamu...
Wana JF kama kuna kitu mmegundua ni usalama wetu members yaani tunafanya vile tunataka like tupo katika nchini ambayo uhuru upo wakutosha kama nchi ya ahadi hao wanaohamisisha maandamano waje huku tufanye mazungumzo ya siri kuliko huko instagram ambapo ukisema tu Nywinywi unatekwa kama kuku...
Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Amirijeshi mkuu.
Naomba nikuombee kura hapa Jamii Forums hii ni platform kubwa huwezi kuimbeza.
Ila na mimi nina Maombi yangu kwako Mama kama manne hivi maana ninachokiomba kiko ndani ya Uwezo wako.
Mama kama unakumbuka kuna kipindi mitandao...
Kufuatia zuio lililotolewa Septemba 6, 2025 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikisitisha leseni ya utoaji maudhui nchini humo kupitia Jukwaa la JamiiForums kwa siku 90, member wa JF, Mshana Jr alianzisha uzi...
Ni takribani masaa 12 sasa tangu BBC Swahili kuchapisha habari inayomhusu mfanyabiashara maarufu wa Zimbabwe, Chivayo, ikiwemo picha yake akiwa Ikulu ya Tanzania. Tukio hili limeibua mjadala mzito huko mitandaoni: watu wanahoji je, TCRA itachukua hatua sawa na zile ilizochukua dhidi ya...
Habari wakuu
Jamiiforums inapaswa kuunga mkono ubunifu wa kidigital ili kufufua kiwanda kilicho lala kwenye teknolojia hapa Tanzania,
Katika enzi ya mabadiliko ya kidijitali, mitandao ya jamii na majukwaa ya dijitali yana nafasi muhimu katika kuendesha ukuaji wa kiuchumi na kibiashara. Maneo...
Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona?
Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine.
Nikakumbuka habari ya Mlinzi...
Disclaimer:
Uzi huu umeandaliwa kwa madhumuni ya kutoa elimu na kuibua mjadala wa kitaalamu na kiraia kuhusu uamuzi wa TCRA dhidi ya JamiiForums. Yalichopishwa hapa hayapaswi kutafsiriwa kama ushauri rasmi wa kisheria, bali ni uchambuzi wa kisheria na kikatiba kwa lengo la kuelimisha na kujadili...
Nimeyachukua maneno niliyoyatumia kwenye kichwa cha habari cha makala haya kutoka kwenye moja ya vipindi vya YouTube vinavyozalishwa na mchumi na mchambuzi wa Kiingereza, Gary Stevenson, anayeendesha kampeni dhidi ya hatari ya kukua kwa pengo kati ya walionacho na wasionacho nchini humo na...
Balozi aliyejiuzulu na Katibu wa zamani wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, amesema kitendo cha TCRA kufungia Majukwaa ya JamiiForums wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ni Udikteta, Unyanyasaji na Uvunjifu wa Uhuru wa kupata Taarifa.
Polepole ameongeza kuwa...
Nimesikitika sana watu ndo kwaaanza wanataka jiunga JF. Kuna group letu tupo watu 970 watu wameomba kujua hiyo JF ni nini. Na haraka wamejiunga baada ya kupewa VPN bure kwenye group mtu anajichagulia tu a install ipi.
Nipo Ughaibuni naona nako kuna watu wanataka kuijua hiyo JF. Kifupi hesabu...
Habari za Jumapili wadau wa JamiiForums!
Leo nimekujieni na hii thread, haswa baada ya jana kusikia kuwa JamiiForums imepigwa ban ya siku 90 na TCRA kwa kile wanachodai ni maudhui yanayopotosha! (Kulingana na taarifa rasmi za TCRA Septemba 6, 2025, hii suspension inaanza mara moja na...
Muungano wa Asasi Za Kiraia unaotetea Haki ya Upatikanaji wa Taarifa (Coalition on Right to Information - CoRI) umelaani vikali uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuisimamisha kwa siku 90 JamiiForums, jukwaa maarufu la majadiliano na uwazi nchini Tanzania.
Uamuzi huo umetangazwa...
Teknolojia sio sawa na kwenda kumteka mtu kisa kachoma picha ya Rais.
Kwa Mamlaka na Cheo chako, Unaweza kutakani kuona mtu haiingii online ukashindwa.
Kiko wapi? Uliotamani tusihabalishane ndo kwanza tumefungulia.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums kwa muda wa siku 90 na kuzuia upatikanaji wa jukwaa hilo, kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni
TCRA imesema uamuzi huu umetokana na JamiiForums...
Safari yetu katika ndege hii ya "JF Airlines" inaendelea vyema mno. Abiria tunajisikia raha kwa sababu hatusikii mawimbi wala mitikisiko ya kututia hofu. Yote hii ni kwa sababu ya uongozi imara wa Captain wetu DoubleM pamoja na crew wake mahiri wanaojituma kuhakikisha kila abiria anafurahia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.