jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. Mkalukungone mwamba

    Mkuu wa Programu JamiiForums: Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani, tuuthamini

    Mkuu wa Programu JamiiForums, Ziada Seukindo amesema taasisi za serikali zinaruhusiwa kutumia mtandao wa JamiiForums kwa sababu ni Jukwaa la mtandao kama majukwaa ya mitandao ya kijamii mengine duniani. “Taasisi za serikali zinapaswa kutambua JamiiForums ni mtandao wa ndani tuuthamini, baadhi...
  2. Kindeena

    Dkt. Ryoba: JamiiForums watafute wahariri wazuri

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana. Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa...
  3. Frank Wanjiru

    Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema JamiiForums ni chombo cha habari na sio Jukwaa la mtandao kama linavyojulikana. Dkt. Rioba amesema hayo mkoani Mwanza wakati wa uwasilishaji mada za mitandao ya kijamii katika mkutano wa Mafunzo wa 108 wa...
  4. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Singida Fountain Gate FC Hussein Massanza umewasikia lakini Wana Mkoa wa Singida (Watani Zangu) na Tamko lao hili takatifu na tukuka?

    "Tumeshachoka sasa na hii tabia ya Uongozi wa Singida Fountain Gate FC ya kila mara kubadili Jina la Timu, kuhamisha Timu kwenda Mikoa mingine na kufanya Biashara kimya kimya ambazo hazileti Tija kwa Timu yetu. Sisi wakazi wa Singida tunaomba hii Timu ibadilishwe Jina na watumie Majina ya huko...
  5. JamiiForums

    Baadhi ya watendaji wa JamiiForums wakutana kutathmini mwaka 2023

    Katika kujipanga kutoa huduma bora zaidi, baadhi ya Watendaji wa JamiiForums walikutana Jijini Arusha kwa lengo la kutathmini shughuli zilizofanywa na Taasisi mwaka 2023 pamoja na kupanga Mikakati ya kuboresha zaidi mwaka 2024. Hii ilijumuisha kujengewa uwezo katika maeneo muhimu ya kiutendaji
  6. BICHWA KOMWE -

    Culture Me: Mrembo wa Jamiiforums mwenye akili zake

    Anaandika BICHWA KOMWE:- Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana. Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya turufu. Anashinda asubuhi na mapema. Sijui kwanini lile shindano la mrembo wa Jamiiforums hakupewa...
  7. AFRICAN BOYI

    Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

    Habari zenu wakuu Wakuu naombemi kazi yoyote ya halali huku mtaani sio poa. Huku kitaa nimepambana sana huku na kule lakn bado kugumu ila hatukati tamaa. Naombeni kwa yeyote mwenye kazi aniunganishe tafadhali, ata za viwandani sawa tu muhimu kupata chochote kitu. Mwenye connection za saidi...
  8. Koffi Annan

    JamiiForums website inapendeza sana na fire bubbles za leo.

    Happy New year family, Japo nimechelewa kuingia kwenye website yangu pendwa ya JamiiForums leo nilivokutana nazo zilinivutia sana na zimenifanya niingie kila muda, Kudos kwa team nzima na technicians kwa ujumla, kazi yenu ni nzuri na inapendeza, Ningeomba kama mlipanga zikae siku moja basi iwe...
  9. Melki the Storyteller

    Web ya JamiiForums imelipuliwa kwa mafataki. Inawaka miale ya moto wa kila rangi

    Katika maisha haya, najivunia vitu vitatu muhimu 3. Najivunia kuwa mtu wa watu i.e mchapakazi, mcheshi, bidii katika kazi bila kujali hasara, moyo usio na chuki, usio na hasira, usio na wivu wa kijinga n.k 2. Najivunia kuwa mwanachama wa mitandao ya kijamii ya JamiiForums na X 1. Najivunia...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

    Kwema Wakuu! Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humu wengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo. Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu...
  11. GENTAMYCINE

    Ukiona kuna Nafasi ya Uteuzi iko wazi na anafutwa Mtu halafu kisha akajadiliwa mno JamiiForums jua kwa 100% hapati tena

    Kabla ya Kukurupuka kuja Kubishana nami juu ya hiki nilichokisema tuliza Kwanza Akili yako, fanya Utafiti wako hapa JamiiForums na nina uhakika mwishoni utakubaliana nami 100% Na mara nyingi hii huwa ni Strategy ya System na Wasaga Kunguni ( Watu wasiopenda na kukupenda ) katika kutaka kujua ya...
  12. Erythrocyte

    Shafii Dauda na Dahuu wateuliwa jumuiya ya wazazi CCM mkoa wa Dar es Salaam

    Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa ! Hata hivyo sisi wengine tulishaonya mapema sana kwamba CCM ina wenyewe, lakini hatukueleweka. ========...
  13. Analogia Malenga

    Maxence Melo ateuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Kufuatia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kumteua Balozi Adadi Mohammed Rajab kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, na Bi. Fatma Mohammed Ali kuwa Makamu Mwenyekiti, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
  14. micind

    Nahitaji kusoma uhasibu, nina cheti cha Kidato cha Nne cha Sita na degree nyingine isiyohusiana na masuala ya kifedha

    Habari zenu, Nahitaji kusoma hii fani ya uhasibu, nina cheti cha kidato cha nne cha sita na degree nyingine haihusiani kabisa n maswala ya kifedha. Nimejaribu kutafuta taarifa kidogo nimekutana na ACCA, NBAA na wale wenye degree za accountancy kutoka kwenye vyuo vikuu vya hapa nyumbani. Sasa...
  15. Jasmoni Tegga

    Google JamiiForums

    Salamu, wana JF!!! Uzi huu ni makhususi kwa ajili ya marejea au mafafanuzi ya mambo mbalimbali muhimu. (Simply ^kuwekana^ sawa)!!! Hii ni kama Google ndogo -- Google JamiiForums!!! Inaweza tukio au tarehe fulani ya tukio, neno au matumizi yake, habari tata, hoja isiyoeleweka, historia fulani...
  16. GENTAMYCINE

    Bana Congo ( hasa Mashabiki wa Wenge Musica zote hapa JF ) mnaniangusha mno...!!

    Kumbe Magwiji wote waliokuwa Wakiunda Kundi la ( Bendi ya ) Wenge Musica BCBG 4 X 4 wakiongozwa na JB Mpiana, Mpiga Solo Alain Makaba, Mpiga Bass Didier Masela, Ngiama Makanda Werrason, Adolphe Dominguez na Mwalimu wa Marapa ( Atalakus ) wa Kizazi cha Kati Tutu Caludgi ( Yombo Lumbu ) waliamua...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums kushiriki mjadala wa “ICT for Promoting Digital Security and Data Privacy”, leo Novemba 8, 2023

    Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa' Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
  18. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Pafanye JamiiForums kisima cha maarifa na taarifa

    Kama una jambo, au mada ambayo haina mashiko, kwanini uilete JamiiForums? Wote tuna jukumu moja, kuifanya JamiiForums kuwa ni kisima cha maarifa. Hutuhitaji @Brianica tena, tuna uwezo wa kuifanya JF kuwa zaidi ya tuwazavyo, iwapo tu tutaamua kuto post upumbavu. JamiiForums ijayo inafurahisha...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

    Kwema wakuu! TUlipokuwa tunasoma, tulisoma kina Karl Marx, Wakina Charles Darwin, Kina Pilato, Aristotle na wengineo. Leo hapa JF kuna Watu na Falsafa zao, mitazamo, na nadharia zao. Humu ndani kuna member ambao ni waasisi na ma-father wa Ligi Fulani Fulani. Yaani wao mawazo Yao Kwa sehemu...
  20. GENTAMYCINE

    Naomba idadi ya Wachangiaji hapa Jamiiforums isipungue leo kuanzia Saa 1 Kamili za Usiku

    Halafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Back
Top Bottom