jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. Ma mbwa

    JamiiForums Tanzania Je, JamiiForums itafunguliwa Tarehe 6 Desemba?

    Wakuu kama mna kumbukumbu ni kwamba tarehe 6 sept 2025 mamlaka ya mawasiliano iliifungua JF kwa siku 90 kutokana na makosa walioona wao kuwa JF wamekiuka. Na kwa siku 90 ni kwamba zinaisha kabla ya tarehe 6 DEC. Je, kwa fukuto hili la Dec 9 mamlaka watairudisha kweli hewani JF yetu pendwa?
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Kutoka UN City: Jinsi mchango wa JamiiAfrica na JamiiForums unavyotambulika kimataifa mwakilishi Maxence Mello

    Kutoka UN City: Jinsi mchango wa JamiiAfrica na JamiiForums unavyotambulika kimataifa - JamiiAfrica imewakilishwa na Mkurugenzi Mtendaji, Maxence Melo katika mkutano huu wa siku 2 (Novemba 11 - 12, 2025)
  3. 888I

    JamiiForums Tanzania 🧐Magari ya Rais Samia: Msaada JamiiForums! Hizi Range Rover za Misafara Zina Sifa Gani Hasa?

    Ndugu Zangu Wanajukwaa! Mimi si mtaalamu wa magari kabisa, nimeona Range Rover hizi nyeusi, ndefu katika misafara ya Rais Samia Suluhu Hassan hasa baada ya kuapishwa kwake. Nimejaribu "ku-Google" (gugo huko!) na nimejifunza mambo machache. Ninaomba mnisaidie kufafanua kwa wale wenye ufahamu...
  4. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ndio sehemu salama zaidi kwa sasa watu kufanya siasa, usalama unakuwa kwa asilimia 100 kuliko Instagram N.K

    Wana JF kama kuna kitu mmegundua ni usalama wetu members yaani tunafanya vile tunataka like tupo katika nchini ambayo uhuru upo wakutosha kama nchi ya ahadi hao wanaohamisisha maandamano waje huku tufanye mazungumzo ya siri kuliko huko instagram ambapo ukisema tu Nywinywi unatekwa kama kuku...
  5. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais nataka nikuombee kura hapa Jamii Forums. Lakini nami nina Maombi yangu kwako

    Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Amirijeshi mkuu. Naomba nikuombee kura hapa Jamii Forums hii ni platform kubwa huwezi kuimbeza. Ila na mimi nina Maombi yangu kwako Mama kama manne hivi maana ninachokiomba kiko ndani ya Uwezo wako. Mama kama unakumbuka kuna kipindi mitandao...
  6. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Salamu za Shukrani kwa Wanachama wa JamiiForums

    Kufuatia zuio lililotolewa Septemba 6, 2025 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikisitisha leseni ya utoaji maudhui nchini humo kupitia Jukwaa la JamiiForums kwa siku 90, member wa JF, Mshana Jr alianzisha uzi...
  7. Damaso

    JamiiForums Tanzania BBC Swahili na maswali kwa TCRA: JamiiForums Mbuzi wa Kafara?

    Ni takribani masaa 12 sasa tangu BBC Swahili kuchapisha habari inayomhusu mfanyabiashara maarufu wa Zimbabwe, Chivayo, ikiwemo picha yake akiwa Ikulu ya Tanzania. Tukio hili limeibua mjadala mzito huko mitandaoni: watu wanahoji je, TCRA itachukua hatua sawa na zile ilizochukua dhidi ya...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Majukwaa makubwa kama JamiiForums yanapswa kuwa mstari wa mbele kuunga mkono ubunifu mpya wa kidigitali nchini ili kuboresha zaidi teknolojia

    Habari wakuu Jamiiforums inapaswa kuunga mkono ubunifu wa kidigital ili kufufua kiwanda kilicho lala kwenye teknolojia hapa Tanzania, Katika enzi ya mabadiliko ya kidijitali, mitandao ya jamii na majukwaa ya dijitali yana nafasi muhimu katika kuendesha ukuaji wa kiuchumi na kibiashara. Maneo...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nimekumbuka hiki Kisa kipindi hiki Jamiiforums si ni Utawala Huru? Tunajimwaya mwaya tu

    Mfano mtu akituma uzi wa lugha mbaya au akiamua kutukana hata serikali. Huo uzi si utaachwa tu mpaka siku 90 ziishe ndo Mods watakuja uona? Maana wakiuondoa itakuwa mgogoro na TCRA wameuondoaje na wakati wamefungiwa? Je wanaingia JF kupitia VPN? kosa jingine. Nikakumbuka habari ya Mlinzi...
  10. Abdul Said Naumanga

    JamiiForums Tanzania Hatua ya Kusitishwa kwa JamiiForums: Uchambuzi wa Kisheria na Haki za Wananchi

    Disclaimer: Uzi huu umeandaliwa kwa madhumuni ya kutoa elimu na kuibua mjadala wa kitaalamu na kiraia kuhusu uamuzi wa TCRA dhidi ya JamiiForums. Yalichopishwa hapa hayapaswi kutafsiriwa kama ushauri rasmi wa kisheria, bali ni uchambuzi wa kisheria na kikatiba kwa lengo la kuelimisha na kujadili...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Khalifa Said: Kufungiwa kwa JamiiForums, Hatufanyi Hii Kazi kwa Sababu ni Rahisi, Bali kwa Sababu ni Muhimu

    Nimeyachukua maneno niliyoyatumia kwenye kichwa cha habari cha makala haya kutoka kwenye moja ya vipindi vya YouTube vinavyozalishwa na mchumi na mchambuzi wa Kiingereza, Gary Stevenson, anayeendesha kampeni dhidi ya hatari ya kukua kwa pengo kati ya walionacho na wasionacho nchini humo na...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Polepole asikitishwa na JamiiForums kufungiwa, TCRA mngemkanya Wicknell Chivayo

    Balozi aliyejiuzulu na Katibu wa zamani wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, amesema kitendo cha TCRA kufungia Majukwaa ya JamiiForums wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ni Udikteta, Unyanyasaji na Uvunjifu wa Uhuru wa kupata Taarifa. Polepole ameongeza kuwa...
  13. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Lazima Kutakuwa na Wafanyakazi wa TCRA Wanaoendelea Kutumia JamiiForums kwa VPN

    Watu wa namna hiyo wanaitwa WANAFIKI, ni watu wabaya sana. Wewe si umezima, sasa unafuata nini huku? Si uende huko FB?
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Blessing in Disguise : Kuifungia Jamiiforums Serikali tumeharibu zaidi. Tumempiga Chura Teke

    Nimesikitika sana watu ndo kwaaanza wanataka jiunga JF. Kuna group letu tupo watu 970 watu wameomba kujua hiyo JF ni nini. Na haraka wamejiunga baada ya kupewa VPN bure kwenye group mtu anajichagulia tu a install ipi. Nipo Ughaibuni naona nako kuna watu wanataka kuijua hiyo JF. Kifupi hesabu...
  15. Isaka James

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Imezuiwa Siku 90? TOR Ndiyo Suluhisho Bila Form ya TCRA!

    Habari za Jumapili wadau wa JamiiForums! Leo nimekujieni na hii thread, haswa baada ya jana kusikia kuwa JamiiForums imepigwa ban ya siku 90 na TCRA kwa kile wanachodai ni maudhui yanayopotosha! (Kulingana na taarifa rasmi za TCRA Septemba 6, 2025, hii suspension inaanza mara moja na...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Coalition on Right to Information (CoRI) yaitaka TCRA kuondoa adhabu dhidi ya JamiiForums

    Muungano wa Asasi Za Kiraia unaotetea Haki ya Upatikanaji wa Taarifa (Coalition on Right to Information - CoRI) umelaani vikali uamuzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuisimamisha kwa siku 90 JamiiForums, jukwaa maarufu la majadiliano na uwazi nchini Tanzania. Uamuzi huo umetangazwa...
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

    Teknolojia sio sawa na kwenda kumteka mtu kisa kachoma picha ya Rais. Kwa Mamlaka na Cheo chako, Unaweza kutakani kuona mtu haiingii online ukashindwa. Kiko wapi? Uliotamani tusihabalishane ndo kwanza tumefungulia.
  18. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums kwa muda wa siku 90 na kuzuia upatikanaji wa jukwaa hilo, kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni TCRA imesema uamuzi huu umetokana na JamiiForums...
  19. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo amshangaa Gerson Msigwa kusema waliovamia Ofisi za Jamiiforums ni Maafisa Usalama

  20. Setfree

    JamiiForums Tanzania Asanteni sana Pilot na Crew wa JamiiForums

    Safari yetu katika ndege hii ya "JF Airlines" inaendelea vyema mno. Abiria tunajisikia raha kwa sababu hatusikii mawimbi wala mitikisiko ya kututia hofu. Yote hii ni kwa sababu ya uongozi imara wa Captain wetu DoubleM pamoja na crew wake mahiri wanaojituma kuhakikisha kila abiria anafurahia...
Back
Top Bottom