israel

  1. GENTAMYCINE

    Israel Mwenda pole sana kumbe ulikuwa huwajui Yanga SC vizuri pamoja na Kufurahia Kwako kwenda Kwao kwa Kutuzodoa wana Simba SC?

    Nilipoona tu Siku ile Yanga SC inarejea na Kombe kutoka Zanzibar huku ukijifanya Wewe ni Dj na ukawa Unatuzodoa wana Simba SC hasa pale Msimbazi Street mlikopita nilijua tu baada ya hapo kuna Maumivu utayapata kwani Wazee wa Simba SC nawajua huwa hawana Masihara katika kutuma Makombora ya...
  2. U

    Jeshi imara lenye weledi mkubwa la IDF kupeleka ndege za kijeshi kuisaidia kuzima moto mkubwa huko nchini Cyprus you

    Mungu ibariki IDF kwa moyo wa huruma. Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Gideon Sa’ar, pamoja na mwenzake wa Cyprus, Constantinos Kombos, “wanaendelea kuwasiliana kwa karibu na mara kwa mara kuhakikisha kuwa msaada unafikishwa na kutumika haraka iwezekanavyo,” imesema wizara hiyo. “Israel...
  3. Wazolee

    Irani hakutumia Ndege vita Wala wanajeshi kuenda kuenda kuichapa Israel

    Katika Ile vita ya siku 12 Irani ametuonyesha maajabu sana kumbe vita sio lazima utumie Ndege au manuari au mimeli mikubwa mikubwa au wanajeshi unaweza tu kukaa ofisini na ukatoa kichapo kitakatifu Irani walikuwa wapo tu ofisi wanacheza na mausi Kutoa kichapo Kwa Israel Na Ile kazi yote...
  4. U

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian asema kuwa jeshi la nchi yake limejiandaa kikamilifu kuipiga Israel

    We are ready to strike Israel again,' Iran’s president warns 1 hour ago Updated 8:53 AM Share A screengrab from Iranian President Masoud Pezeshkian during an interview with Al Jazeera (July 2025) A screengrab from Iranian President Masoud Pezeshkian during an interview with Al Jazeera (July...
  5. immortanity

    Nini chimbuko la Israel?

    Jamii intellegence naomba kujua ni nini asilia ya taifa la Israel?
  6. Dan Zwangendaba

    Watanzania Tumekuwa kama Kizazi cha Israel

    Katika kitabu cha Qur'an, aya ya 80, katika Sura ya 20 inasema: "Enyi Wana wa Israili! Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa mlima. Na tulikuteremshieni Manna na Salwa" Kwa kiingereza: O ye Children of Israel! We delivered you from your enemy, and We made a...
  7. dronedrake

    Bandari ya Eilat Nchini Israel Kufungwa Mpema Jumapili Hii Kwa Kujiendesha Kwa Hasara Kutokana Na Mashambulizi ya Houthi Huko Bahari Nyekundu

    Baada ya Kujiendesha kwa hasara kwa miaka kadhaa, bandari hiyo iko mbioni kufungwa mapema Jumapili hii ambapo chanzo kimesema shughuli za hapo zimeshuka kwa zaidi ya 90% , huku ikidaiwa kujiendesha kwa hasara kwa deni lisiloisha, kukosekana kwa mapato, kuongezeka kwa gharama za uendeshaji...
  8. N

    Nyumba zinanazo Jengwa Syria,Gaza, na Israel ni nzuri sana.

    Huwa naangalia video za vita hizo nchi wanajenga nyumba nzuri sana na kwa mpangilio mzuri sana. Wana ma-vita yasiyoisha lakini wanaonekana ni watu wenye mipango mizuri sana hasa kwenye Ujenzi. South Afrika nayo wanajitahidi sana, Hapa kwetu unaona majengo mapya lakini hayana mpangilio mzuri...
  9. S

    Mike Huckabee;- Israel inawanyanyasa wakristu,awasihi watalii wasiende Israel hadi ufumbuzi utakapopatakana

    Itabidi ubalozi wetu nchini Israel itangaze kwa niaba ya taifa la usa ya kwamba nchi ya Israel haikaribishi tena taasisi za dini za Kikristo na wawakilishi wao badala yake wanajihusisha na unyanyasaji na mapokezi mabaya ."-Huckabee Itatubidi tuwatahadharishe wakristo wa America ya kwamba...
  10. KING MIDAS

    Swali kwa wanaosema Israel ni taifa la Mungu:- Je Mungu anaweza kupiga nyumba yake kwa bomu na kuuwa watu wake?

    Baada ya jeshi la Israel kupiga kanisa na kuuwa watu waliokuwemo ndani, sasa huu umekuwa muda wa watu kufunguka macho na kuanza kuhoji huo utakatifu wa ardhi ya Israeli. https://www.bostonglobe.com/2025/07/17/world/israel-strikes-gaza-church-pope-used-call-nightly/
  11. Bilionea Asigwa

    Rais wa Iran: Kulikuwa na mapungufu ya Kiusalama wakati wa vita na Israel

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amekiri kwa mara ya kwanza kwamba nchi yake ilikuwa na mapungufu ya kiusalama katika vita vyake na Israel. Akizungumza katika kikao cha baraza la mawaziri mjini Tehran hivi leo. Ukosoaji binafsi wa aina hii ni nadra sana nchini Iran. Wakati wa vita va siku 12...
  12. Ritz

    Israel yalipua Kanisa la Katoliki la Gaza linalohifadhi wazee, watoto

    Wana jukwaa wa JF Papa Leo XIV amerejelea wito wake wa kusitisha mapigano Gaza baada ya watu watatu waliokuwa wakihifadhi katika kanisa katoliki katika mji wa Gaza kuuawa katika shambulizi la Israel. Telegramu ilisema Papa "amehuzunishwa sana kujua juu ya kupoteza maisha na majeraha...
  13. The Zanzibar Echo

    Rais wa Syria aionya Israel dhidi ya kuiburuza Syria vitani

    Rais wa Syria Ahmed al-Sharaa ameituhumu Israel kwa kujaribu kuiburuza Syria katika vita na amesema nchi yake haitakubali kunaswa na chambo hicho.Katika hotuba iliyorushwa mapema alfajiri katika runinga ya taifa, rais wa Syria Ahmed al-Sharaa amesema hawatawapa Israel fursa ya kuwaingiza watu wa...
  14. Mindyou

    Video: Mtangazaji asitisha matangazo akiwa hewani baada ya Israel kushambulia Damascus

    Mtangazaji wa kituo cha televisheni ya taifa nchini Syria alilazimika kusitisha matangazo ya moja kwa moja baada ya mlipuko mkubwa kusikika karibu na jengo la studio, kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel katika jiji la Damascus. Tukio hilo lilitokea wakati taarifa ya...
  15. Jackal

    Raisi Wa Iran Ashutumiwa Kutaka Kumpindua Kiongozi Mkuu Ayatollah Khamenei Kipindi Alipokwenda Chimbo Wakati Wa Vita Na Israel

    Iran’s political fault lines are widening in the aftermath of the 12-day war with Israel, with President Masoud Pezeshkian facing accusations of attempting a coup against Supreme Leader Ali Khamenei. https://iranintl.com/en/202507149808
  16. Jaji Mfawidhi

    Historia na sababu za Israeli kulinda wakristo na Wadruze wa Israel

    Historia Fupi ya Wakristo na Druze wa Israeli Israeli ina makundi tofauti ya kidini ikiwemo Wakristo na Druze ambao ni wachache ukilinganisha na Wayahudi na Waislamu. Wakristo: Wakristo wa Israeli ni takribani 2% ya idadi ya watu, wengi wakiwa Waarabu wa Galilaya, Nazareth na maeneo mengine ya...
  17. Le Padrino

    Israel opens a new war front in Syria

    New Israeli Front in Southern Syria Recent escalation: Israel has launched airstrikes on the Syrian Defense Ministry headquarters in Damascus, marking a major direct strike on central military infrastructure . Druze-region intervention: These strikes are connected to intense fighting in the...
  18. HIMARS

    Israel yashambulia maeneo ya karibu na Ikulu ya Syria

    Habari za muda huu ni kuwa Israel inashambulia Ikulu na Makao Makuu ya jeshi la Syria baada ya Majeshi ya Syria kuua watu wa jamii ya Druze. Baraza la Ushirikiano wa Ghuba (GCC) limeilaani kwa “maneno makali zaidi” mashambulizi ya Israel dhidi ya Damascus, huku mashambulizi yakilenga wizara...
  19. R

    Watu 20 wamepoteza maisha kwenye kituo cha msaada (GHF) Gaza

    Wapalestina wasiopungua 20 wameripotiwa kupoteza maisha siku ya Julai 16,2025, katika kituo cha kugawa misaada cha Gaza Humanitarian Foundation (GHF) kilichopo Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Gaza, huku kukiwa na maelezo yanayopingana kuhusu chanzo cha msongamano huo wa umati GHF, shirika...
  20. A

    Hezbullah Karibu Ataishambulia Israel

    Ujumbe ndio huo safari hi Hezbullah ataishambulia Israel sio target za kijeshi tu, kaona Israel ime cross red line na serekali ya Lebanon haijibu mashambulizi ya Israel. Yule Puppet wao walio mueka Syria wanataka wamtumie kupigana na Hezbullah na kwa njia ya kusingizia kuprotect wasipitishe...
Back
Top Bottom