iringa

Iringa is a city in Tanzania with a population of 151,345 (as of 2012). It is situated at a latitude of 7.77°S and longitude of 35.69°E. The name is derived from the Hehe word lilinga, meaning fort. Iringa is the administrative capital of Iringa Region. Iringa Municipal Council is the administrative designation of the Municipality of Iringa.
Iringa has been one of the coldest regions in Tanzania due to its geographical location but that has attracted a lot of tourists from colder regions abroad especially Western Europe. Iringa also hosts one of Africa’s largest national parks the Ruaha National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Boti ya Uokoaji yafika Iringa, Wananchi wakusanyika kushuhudia

    Wakazi wa maeneo ya Ipogolo Kitwiru na mengine ya karibu mjini Iringa wamekusanyika katika eneo la Eso mjini Iringa kushuhudia boti ya uokoaji inayoelekea ziwa Victoria jijini Mwanza huku wakisifu juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuboresha maisha ya watu wake Soma Pia:Boti...
  2. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mjumbe wa kamati kuu CCM, Salim Asas asimikwa kimila kwa kumvalisha vazi maalum la kichifu Iringa

    Huenda yakawa maandalizi ya kujitosa kwenye ubunge nini? === Wazee wa mila wa Kabila la Wahehe mkoani Iringa, wakiongozwa na Chifu wa Kihehe, Adam Abdul Sapi Mkwawa, wamemsimika kimila Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Salim Abri Asas, kwa kumvisha vazi maalum la kichifu na kumkabidhi jina la...
  3. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Moto wa G55 utaiua CHADEMA? Moto wa Peter Msigwa tuliyeambiwa anahamia CCM na CHADEMA ya Iringa yote na CHADEMA kufa kabisa uliishia wapi?

    Nani anaweza kujibu swali hili kwa ufasaha..? Hivi mnaukumbuka moto wa Peter Msigwa aliyekuwa anapata promo ya CCM huku wakijiapiza kuwa wanaenda kuiua CHADEMA kwa kuondoka kwake..? Huyu Peter Msigwa aliyevurumka kutoka CHADEMA kama moto wa kifuu tukadhani sasa anakwenda kuiunguza CHADEMA...
  4. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wanavyuo Mkoa wa Iringa wasema watampa Mitano Rais Samia

    Wakuu! Wanavyuo wa mkoa wa Iringa ambao pia ni Wanachama wa Kampeni ya 'Mama Asemewe' katika kongamano kubwa la wanavyuo lililofanyika katika mkoa huo lililobeba jina la Kongamano la Tafakuri ya Wasomi na Miaka minne ya Rais Samia.
  5. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tunaomba Haki: Wapangaji wa NHC Kiwanja Na. 8/II, Uhuru, Iringa

    Ndugu Watanzania wenzangu, Kwa moyo mzito, tunaleta kwenu kilio cha wapangaji wa muda mrefu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) walioko katika Kiwanja Na. 8/II, Uhuru, Iringa. Baada ya kuishi kwa zaidi ya miaka 50 katika nyumba hizi, tumepewa notisi ya siku 90 kuanzia Machi 1, 2025, tukitakiwa...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Hatimaye uislamu umepata ushindi mkoa wa Iringa

    Takbiiir wakuu uislamu hatimaye umepata ushindi mkoa wa Iringa aisee makundi makundi ya watu wameingia kwenye uislamu hii inaonesha kwamba uislamu ni dini ya haki na imepata ushindi Aisee Takbiiir
  7. F

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wa Iringa wanasema uislamu ni dini ya kweli na maelfu ya watu wanahamia kwenye hii dini ya kweli

    Wakuu kuna makundi makubwa ya watu yaani mamia ya watu wa hapa kanisani kwangu wanahamia kwenye hii dini ya haki ya kiislamu na nimeshangazwa sana aisee yaani kanisani ukiwapa mahubiri wanajibu takbiiir aisee kweli uislamu ni dini ya haki na ya ukweli Aisee Takbiiir Allah Akbar
  8. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Uislamu unakua kwa kasi sana mkoani Iringa

    Takbiiir! Sikutegemea hata kidogo kukuta wimbi la waislamu huku Iringa aisee uislamu unakua kwa kasi sana na kila mtaa ni msikiti na watu wanaswali na wanajaza sana msikitini Tofauti nilivyokuwa nafikiria aisee na hiii inaonesha kwamba uislamu ni dini ya haki aisee.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji fremu za biashara Iringa mjini

    Habari wadau nina shida na fremu ya biashara Iringa Mjini
  10. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Dkt. Doto Biteko amwakilisha Rais Samia Uwekwaji Wakfu Askofu mteule wa jimbo katoliki Iringa

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala wakati alipowasili katika Ibada ya kumsimika na kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Romanus Mihali iliyofanyika katika Viwanja vya Kichangani, Mjini Iringa...
  11. Mmea Jr

    JamiiForums Tanzania Pajue Iringa kwa kupitia picha

    Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa.. Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Iringa: Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM: Uchaguzi haufanyiki kwa matakwa ya CCM, CHADEMA ni Katiba

    Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla akizumguza katika Ziara ya kamati ya Utekelezaji ya UVCCM katika kata ya Kihorogota Tarafa ya Ismani, Wilaya ya Iringa leo, Tarehe 19 Aprili 2025. Kupata matukio na...
  13. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Iringa: Watu saba wafariki kwa ajali iliyohusisha ambulance na toyo, wengine 15 wajeruhiwa

    Watu saba wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali ya gari la kubeba wagonjwa (ambulance) kugongana na toyo katika eneo la Luganga, lililopo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa. Akizungumza baada ya kutembelea majeruhi wa ajali hiyo leo Jumamosi...
  14. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Frank Nyalusi: Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Iringa mjini , Frank Nyalusi amefunguka katika mahojiano na Shamba fm kupitia kipindi cha Amka na Shamba. "Tumegundua wazi watu wote waliopewa kesi za uhaini walikuja kuwa Marais. I swear to God mimi ni mkristo Tundu Lissu atakuja...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini: “No Reforms, No Election” ni dhana ya kufikirika tu isiyoweza kuzuia uchaguzi

    Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla, amesema kuwa kauli ya “No Reforms, No Election” ni dhana ya kufikirika tu isiyoweza kuzuia uchaguzi mkuu 2025 kufanyika. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  16. M2flan

    JamiiForums Tanzania NAUZA VITU HIVI VYA NDANI -Location Iringa

    1.HISENSE SMART TV NCH 55 INAMWEZ FULL DOCUMENT BEI 950k 2.Fridge ( Hisense) . Bei Laki550 3. Show Case Tsh200k, Radio Tsh 190 Mawasiliano :- WhatsApp 0769463336
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti UVCCM Iringa Vijijini: Vijana tujitokeze kwa wingi uchaguzi 2025, tupuuze propaganda

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Elia Juma Kidavile, ametoa wito kwa vijana kushiriki katika uchaguzi mkuu utanorajia kufaNyika Oktoba 2025 na kuupuuza wito wa chama pinzani unaoshinikiza kutoshiriki katika uchaguzi huo. Kupata matukio na...
  18. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti UVCCM Iringa Vijijini awataka vijana bodaboda kuwatetea viongozi wa serikali wanaposemwa vibaya

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Elia Juma Kidavile, ametoa wito kwa vijana wa kuwanenea viongozi wao mazuri kutokana na juhudi kubwa wanazozifanya katika kuleta maendeleo kwa wananchi. akiongeza kuwa viongozi hao wamekuwa mstari wa mbele...
  19. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM Iringa vijijini yatembelea miradi ya maendeleo mboliboli

    Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, leo tarehe 3 Aprili 2025, Umefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata ya Mboliboli, tarafa ya Pawaga, Wilaya ya Iringa. Ikiongizwa na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Elia Juma...
  20. Crimea

    JamiiForums Tanzania Safari za mabasi kwenda mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya ni za hovyo sana

    Mtu unatoka Dar hadi Iringa hamna hotel ya maana yenye chakula cha maana shida ni nini wakuu au ni ubahili wa watu wa hii mikoa? Mbona wenzetu njia ya Kaskazini kuna hotel na vyakula vya maana, nyama choma kila mahali sie wa nyanda za juu tunafeli wapi?
Back
Top Bottom