Ndugu Watanzania wenzangu,
Kwa moyo mzito, tunaleta kwenu kilio cha wapangaji wa muda mrefu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) walioko katika Kiwanja Na. 8/II, Uhuru, Iringa. Baada ya kuishi kwa zaidi ya miaka 50 katika nyumba hizi, tumepewa notisi ya siku 90 kuanzia Machi 1, 2025, tukitakiwa...