The iPhone 13 and iPhone 13 Mini (stylized and marketed as iPhone 13 mini) are a range of smartphones designed, developed, and marketed by Apple Inc. They are the fifteenth-generation, lower-priced iPhones, succeeding the iPhone 12. They were unveiled at a virtually held Apple Special Event at Apple Park in Cupertino, California on September 14, 2021, alongside the higher-end iPhone 13 Pro and iPhone 13 Pro Max flagships. Pre-orders for the iPhone 13 and iPhone 13 Mini will begin on September 17, 2021, and they will be available on September 24, 2021.
Nauza iphone 13 plain
Used 2 months
UK
GB 128
Bh 100
Inakuja na boksi yake na original usb charge wire haijawhi tumika.
1,800,000ml Tsh
Dsm location
0783985530
Jaji Caramuru Afonso Francisco wa Mahakama ya Haki za Kiraia ametoa hukumu hiyo na kuita utaratibu huo "matusi ya kibiashara" ambayo yanawalazimu wateja kununua bidhaa ya ziada
Uamuzi huo unaoweza kukatiwa rufaa unakuja baada ya Apple kupigwa faini nyingine ya Tsh. Bilioni 5.8 kwa suala hilo...
Ni huko kwa wanaijeria.
Walikuwa tayari wameshaengage na kilichokuwa kinasubiriwa ikawa ni Wedding.
Mwanamke alirudi na Iphone 13 Pro Max na alipoulizwa kwamba nani kamnunulia simu hiyo ya Gharama akadali ni Family member.
Alipoulizwa huyo Family member ni nani akagoma kudisclose Identity...
Apple imetoa simu ya iPhone 14 ambayo sio Pro (iPhone 14 ya kawaida). Mwaka huu iPhone ya kawaida itakuwa na iPhone 14 Plus ambayo ina ukubwa sawa na iPhone 14 Pro Max.
iPhone 14 inafanana na iPhone 13 katika mwonekano.
🔘 Apple imetoa aina mpya ya simu ya iPhone 14 Plus. Ina kioo chenye ukubwa...
Mojawapo ya Kinachosababisha sizipendi simu za Iphone ni muonekano. Iphone matoleo 3 ama hata 4 yanaweza kufanana usijui yupi anatumia simu ipi na yupi ana simu ipi.
Kwa mfano, hii design ya macho 3 ilikuja na Iphone 11, haijabadilika hadi Iphone 13, mtu mwenye Iphone 11 na Mwingine ana Iphone...
Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13
Mimewahi cheki movie moja imetengenezwa na iphone 6 kama sijasahau. Huwezi jua ni movie ya simu kama hujaambiwa. Sasa nilikuwa naangalia uzinduzi wa products za apple uliofanyika jana. Hii iphone 13 wameiunda kwaajili ya movie hasa. Utengenezaji wa movie umekuwa rahisi kabisa.
Pia niulize...
Tarehe 14 September 2021 kampuni ya Apple imetambulisha matoleo mapya ya vifaa na toleo jipya la iphone 13 na 13 pro.
Ila nitapenda kueleza kiufupi simu za apple zilizofanya vibaya japo watu wanashindwa kuelewa.
Kampuni hii ilianza kuwa na mauzo makubwa kuanzia iphone 2g mpaka 5s. ila kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.