Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13
Ukishainunua hiyo then baada ya miezi sita wanatoa yenye 2TB utauza hiyo ununue nyingine?Nitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.
Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13
Mkuu 1TB unatunza nini kwenye simu?Nitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.
Ukisikia mtu anasema Iphone ina security jua moja kwa moja huyo hana akili, ni taahira.Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
Mkuu si tulisema tuna taniana saza mbona umeanza kusema ukweli aise.Watumiaji wa i phone ni wajinga wajinga sana
utasikia natumia i phone kwa ajili ya security
ukimuuliza anachoficha nini
hana zaidi za meseji za umalaya
ni wajinga tu
Wengi wamekariri tuUkisikia mtu anasema Iphone ina security jua moja kwa moja huyo hana akili, ni taahira.
Aisee nyie ndo mnaojua kutumia simu, yaani hivyo vitu unavyovitaja sina hata kimoja ninachokizingatia. Hiyo camera yenyewe ninaweza kukaa mwezi sijajipiga picha, yaani mtu kama mimi kununua simu ya million ni kufuata mkumbo tuMkuu 1TB unatunza nini kwenye simu?
Mimi kwenye simu hua sizidishi 50GB, hapa nina simu ina 256GB najiuliza nitazijaza lini hizi?
Mimi napenda simu kubwa hizi ila sio kwa sababu ya storage, ni kwa sababu ya functionalities zake.
Toka nimeanza kutumia simu nimefanya analysis naona simu za 64GB zinanitosha kabisa sema nyingi za hivyo hazina functionalities nazotaka kama good camera, higher refresh rate, high screen resolution na mambo kama hayo.
Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13
Kuna sababu imesababisha nikapenda simu za camera kubwa, huko nyuma nilikua natumia simu za camera ya kawaida, nikawa napiga piga picha za matukio. Sasa nilikua nimepiga picha na mama yangu, bahati mbaya mama akafariki, sasa zile good moments nilizokua na mama nilipojaribu kuziweka kwenye kumbukumbu kama picha kubwa za ukutani zikawa haziwezekani, zinaharibika, kwa ujumla sio nzuri. Hilo jambo limeniuma sana, nikaamua kuanza kununua simu kubwa tu zenye camera bora kabisa.Aisee nyie ndo mnaojua kutumia simu, yaani hivyo vitu unavyovitaja sina hata kimoja ninachokizingatia. Hiyo camera yenyewe ninaweza kukaa mwezi sijajipiga picha, yaani mtu kama mimi kununua simu ya million ni kufuata mkumbo tu
Sema wewe huna fedha na huna vitu vya kuhifadhi kwenye hii simu!!..Aisee apple ni wajanja sana
Mabadiliko ni madogo sana kwa iPhone 13
Bei yake iko juu sana
Nimeskiliza kwa makin uchambuz wake
Kwa kifup hakuna jipya
MAMBO MAPYA NDANI YA IPHONE 13