iphone

  1. Mad Max

    iPhone Fold itagharimu hadi Million 6 hivi za Kitanzania!

    Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400. Hapo bado ushuru, na faida za wenye maduka. Kazi ipo.
  2. adriz

    Kati ya iPhone 17 pro max na Samsung Galaxy S26 Utra ninunue simu ipi ?

    Moja kwa moja . Nina mpango wa kuvunja kibubu ninunue simu Kali wakuu maana nimechoka kutumia kifaa Cha mawasiliano . Mwaka huu In Shaa Allaah mambo yakiwa mazuri nataka nitenge bajeti ya kununua simu isizidi Million 4 , sasa katika pitapita zangu simu zinazotrend sasa Duniani ni hizo. Lengo...
  3. Youngstunna

    iPhone 14 promax bei 1 M

    Battery health 86% , Box lake na chaji unapata , Clean and Good condition Location Magomeni mapipa contact 0744 53 59 51
  4. gonamwitu

    OFA.!! OFA.!! OFA.!! NAUZA IPHONE 12, CHARGER YAKE NA EARBUDS VYOTE KWA PAMOJA LAKI 4 TU(400,000) MALI IPO DODOMA.

    Nauza iPhone 12 plain 128gb simu haina mchubuko wala mkwaruzo. *Network;5g Water proof; Ina IP68 dust tight and *water resistance haingii maji unaweza kumpigia video call mkeo ukiwa ndani ya maji. *Display;super retina xdr oled,hdr10 Dolby vision Ina uwezo wa kukontroo mwanga kioo hakiumizi...
  5. gonamwitu

    Nauza iPhone 12 plain 128gb,charger,earpods na cover

    Nauza iPhone 12 plain simu haina shida yoyote ile iko pilu namba 0768073471 simu ipo dodoma.
  6. T

    Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

    Maoni yenu wakuu. Zote ziwe 512GB. ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia. Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja. Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia. Asanteni.
  7. Mad Max

    Kwa Mil 6 Unapata iPhone 17 Pro Max Bila Charger wala Cover au BMW 3 Series na chenji ya Service!

    Maisha yako speed. iPhone 17 Pro Max 512 GB pale iStore Mlimani City inauzwa Mil 6. Kwenye package unapata iPhone, USB C, pini ya kutolea laini na Makaratasi. Hamna kichwa cha chaja, hamna protector, earphone wala kava. Ila kwa iyo iyo bei unapata BMW E90 2007 namba D na inabaki pesa ya...
  8. Bullshit

    N haramu kumtakia heri ya xmas ndugu yako mkristo ila si haramu tumia iphone CEO Gay

    Ebu jaribu kunielezea ili nielewe.
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    Tetesi: iPhone 18 kuja bila Dynamic Island, Watumiaji waanza kulalamika

    Toleo jipya la iPhone 28 Pro na iPhone 18 Pro Max halitakuwa na Dynamic Island na Face ID itakuwa chini ya kioo. Ikumbukwe, Dynamic Island ilianza kutumika kwenye iPhone 14 Pro na kuendelea. Baadhi ya wadau wameanza kulalamika kuwa iPhone zinarudi kwenye muundo wa simu za android...
  10. Teknolojia ni Yetu sote

    Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

    Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini 🙂. Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi kuzifunga apps zote alizozifungia kwa wakati mmoja kutokana na Mfumo wa iOS ulioundwa kuweza kudhibiti...
  11. Mad Max

    Apple wamezindua socks kwaajili ya iPhone yako kwa Tsh 560,000/= tu!

    Yap! Hujakosea kusoma. Socks kwa Laki 5 na Elfu 60 tu ($230), hapo ni US bado usafiri, kodi na faida ya muuzaji. Apple wamezidua phone pocket aka iPhone socks kwaajili ya kubebea iPhone yako yoyote kuanzia mpya 17 series kurudi nyuma. Kwa kushirikiana na designer wa Japan, Issey Miyake...
  12. P

    Jamaa kapata iphone 17 kiugumu sana

  13. Mad Max

    Gharama za iPhone mpya kuanzia 2007-2025!

    Hapo mwanzo, iPhone zilikua na bei ya kawaida tu. Ila sahivi.
  14. B

    Uzi wa iphone cases/covers za aina mbalimbali

    Tunauza covers za iphone mbalimbali kuazia iphone 11 na kuendelea. Tupo kariakoo mtaa wa msimbazi Horizon tower.
  15. Mad Max

    Tesla ni kama iPhone. Wanawaibia wateja wao kwa updates ndogo ndogo kila toleo jipya na kuongeza bei!

    Inaonekana Wamarekani na kuwaibia wateja ni kitu cha kawaida. Tesla wanataka kuzindua new Model Y ili week, wenyewe wanaiita Striped Model Y kwamba imeondolewa baadhi ya features na kuuzwa bei nafuu, ila sio nafuu kuliko Model 3. Hawa jamaa naona kabisa wanaleta utapeli. Kuanzia updates ya...
  16. M

    Nchi imebadilika sana, watu wanamenya maganda ya iphone mpya za milioni 5 kama karanga

    Tulikotoka ilikuwa ni wachache sana wenye uwezo wa kununua hata iphone za milioni 3 huku wengi wakikimbilia refurbished Ilikuwa ni risk kubwa sana kuweka simu hizi dukani kwasababu hakukuwa na soko lauhakika Hali ya sasa imebadilika, mzigo upo wa kutosha, watu hawaoni shida kununua iphone 17...
  17. Bongo Tech Giant

    Uzinduzi wa Tesla 5G Smartphone Mpya – Pi Max Kuchukua Soko la iPhone na Samsung?

    Kampuni ya Tesla, inayojulikana kwa ubunifu katika magari ya umeme na nishati safi, sasa imeingia rasmi kwenye soko la simu za kisasa kwa kuzindua Tesla Pi Max. Simu hii imeundwa kwa teknolojia ya hali ya juu na inalenga kushindana moja kwa moja na iPhone na Samsung katika soko la simu za...
  18. Ponjoro wa Kinondoni

    Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

    Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani. Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru. Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke. October tunatiki kumuunga mkono mama...
  19. Technophilic Pool

    App za kudownloadia youtube kwene Iphone

    Wakuu wa iphone
  20. K

    Watumiaji wa Iphone ni wana shida fulani ya akili

    Watumiaji wa iphone wana kautindio flani hivi nimeona kwa watu kumi na hii ndiyo researvh finding yangu
Back
Top Bottom