inauzwa

  1. Benjamin Nyamseri

    Kwanini Toyota premio inauzwa bei juu?

    Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema huko mlipo. Nilikuwa napita pita kwenye mtandao wa beforward kuangalia bei za magari. Nimeshangazwa na bei za Toyota premio. Yaani unakuta gari ya 2004 CIF inasoma $5000 huko, ambayo ni milioni 12 na kitu. Ukiweka kodi za TRA na bandari inafika 24 M. Miaka...
  2. M

    Sim inauzwa

    Aquas sense 3 Camera 🔥 Gb 64 Ram 4 Bei 160 Fingerprint Ipo Mbele Sim Ina wik 3 Piga sim chapu 0612323330
  3. radhiya

    Nyumba Inauzwa Goba Kwa Robert.

    Nyumba Inauzwa Goba. Mahali: Goba Kwa Robert. Sifa za Nyumba: *Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles. *Madirisha ni pvc. *Ina fence(uzio). *Ina vyoo(toilets)5. *Umeme na maji yapo. Ukubwa wa Eneo: SQM 880. Nyaraka: Mkataba...
  4. tajiri wa fikra

    URGENTLY Laptop inauzwa Ram 4,HDD 500,HP,Ram 4,processor 2.6hz Used kwa 350K

    Laptop used inauzwa HDD 500,Ram 4,processor 2.6 kwa 350K Contact: 0752650558/0712793505/0619808825
  5. Sonship

    PHARMACY INAUZWA DSM

    Pharmacy inauzwa Inauzwa na Kila kitu chake Shelves,ac,mini fridge na dawa zote Imeshalipiwa kodi ya miezi 6 tayari Ipo banana njia ya Moshi Bar Dar es salaam Bei Milioni 14 0775 179905
  6. J

    Samsung Galaxy Tab 8 Inauzwa

    Nauza Samsung Galaxy Tab 8 Kwa Tsh 250,000,Iko kwenye hali nzuri na Ina mwaka mmoja. Kwa maelezo zaidi unaweza njoo inbox.
  7. KING MIDAS

    Saa ya Kikwete (PHILIP STEIN) inauzwa bei gani?

  8. Getrude Mollel

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Jana Agosti 29, 2025, Humphrey Polepole kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alidai kwamba mtungi wa gesi ya kilo 15 nchini Cuba unauzwa kwa shilingi 2,000 za Kitanzania. Kauli hii imeibua mjadala, lakini inapochunguzwa kwa makini kwa kutumia takwimu na taarifa rasmi, inabainika kwamba...
  9. monotheist

    Xiaomi Redmi note 12 inauzwa

    Simu haina creck kioo safi kabisa Ram 8GB ROM 128GB CPU Snapdragon 685 Android version 14 BETTERY health Good Tsh 185k 0692402211 Airport (lumo)
  10. radhiya

    Nyumba Inauzwa Bahari Beach Simba road

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  11. keikiu

    Nokia kitochi 106 4G inauzwa

    Naziuza kwa bei ya rejareja ya Tshs 28,000 kwa pc 1 Napatikana Goba Center, kwa msaada zaidi piga 0659-358-599
  12. radhiya

    Nyumba Inauzwa Goba Kwa Mwakifulefule

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  13. M

    Simu aina ya Samsung S9 inauzwa

    Samsung S9 Camera Gb 64 Ram 4 Bei 180 Sim Imenyooka Sana Sim Mpya Kabisa Piga Sim 0612323330
  14. D

    VOLKSWAGEN TIGUAN CC 1390 YEAR 2015 INAUZWA

    Gari ni yangu mwenyewe na haihitaji service yoyote kwa sasa pia ina Parking Assist, Day time running light Millage 62,300km CC 1390 New tyres Bei 32m Ipo Dodoma 0715140001
  15. M

    Sim INAUZWA SAMSUNG galaxy a14

    Samsung A14 Camera 🔥 Sim Mpya Official sio mkopo Gb 64 Ram 4 Bei 185 Chapu Piga sim 0612323330
  16. Dodo86

    Spinning bike inauzwa

    Brand FITALITY Bei 380,000 New Mawasiliano 0712 220 207 Location Sinza Mori
  17. M

    SIM INAUZWA SAMSUNG GALAXY A32

    Samsung Galaxy A32 Camera Gb 128 Ram 4 Sim Bado Mbichi Bei 230 Maongezi yapo Kidogo Piga sim chapu 0612323330
  18. darautobroker

    Car4Sale Alphard yenye sunroof inauzwa

    Bei/Price TSH 20.8M Call +255 747 999 927 TOYOTA ALPHARD Year: 2003 Engine: 2360Cc Mileage: 80,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Twin Sunroof Fender Mirror Clean Interior In Mint Condition Exchange Possible
  19. M

    Sim INAUZWA SAMSUNG galaxy A32

    Samsung Galaxy A32 GB 128 Ram 4 Sim Mpya Kabisa Aimjui Fundi Bei 240 Maongezi yapo Kidogo Pia Nafanya Exchange Na Samsung A15 TU BASI Piga sim chapu 0612323330
  20. B

    Tv inauzwa haraka

    Habari Tv Ya solar max double glass,(vioo viwili) inauzwa 170000 na stand yake ya ukutani INch 32 nina shida ya haraka Nipo mabibo makutano 0781 493401 nicheki hii tv ni yangu natumia hapa officine haina kipengele chochote
Back
Top Bottom