inauzwa

  1. R

    Haya nyie watu, mnakubali nchi ya Tanganyika inauzwa, mnadhani mtahamia arabuni cum zenji na koo zenu hiyo siku ikija?

    Huo ndio ujumbe wenu. Mbuga, bandari, maji, na kila kitu wameuziwa waarabu, sasa dhahabu nayo watagawiwa waarabu maana watapewa kwa bei ya kutupa kama walivyopewa vingine!
  2. radhiya

    Nyumba Inauzwa Bahari Beach Simba/Mugeta st

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  3. radhiya

    Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  4. M

    Gari inauzwa Dar es salaam bei ni million 7

    wasiliana nami: +255 785825442
  5. J

    Car4Sale Subaru Forester XT inauzwa

    SUBARU FORESTER XT Call 0769103506 REG: (EGS) MWAKA 2014 ENGINE CAPACITY: 1990cc FULL AC MILEAGE 77,400km+ BEI 26.8M POSHO 500K🔥✅ LOCATION Dsm
  6. B

    ASUS TUF GAMING PC INAUZWA 1.7M

    ASUS TUF GAMING A15 CPU………AMD Rayzen 74800H GPU………GTX 1650Ti. 4GB RAM…….. 16GB DDR 4 ROM……..512 NvMe SSD DISPLAY…..144 hz refresh rate RGB KEYBOARD FULL Kwa mawasiliano 0612630936 price ya hii pc 1.7M
  7. M2flan

    FRIDGE (aina ya Boss inauzwa Iringa)

    .
  8. Dalali wa Mjini

    Uwekezaji Msasani mwisho

    Habari maboss Nyumba ya Zamani inauzwa msasani mwisho. Nyumba inatazama barabara ya mtaa. Mtaa wa pili kutoka BAHARINI Sqm 425 Document offer ya Kazi BIlion 1 KWA hitaji la kuona eneo Nipigie simu nikupeleke ukazungumze na wahusika wakuu. 0754693556
  9. Dalali wa Mjini

    Nyumba inauzwa msasani macho

    Habari maboss Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala. Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani. Nyumba inaangalia barabara ya Lami. Kiwanja cha nyumba ni skwata. Hakuna mgogoro wowote Bei ni milion 500 Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye...
  10. Babafetty

    Car4Sale Starlet Inauzwa

    Habari, Nauza Starlet, gari ipo katika hali nzuri sanaa, haina changamoto yoyote. Atakayenunua ni kutia mafuta na kuanza safari. Nko Dodoma, naomba mnunuxi wa moja kwa moja, ili kupunguza madalali. Mawasikiano 0713366393
  11. Sonship

    Ofa ya viwanja Kibaha kwa Mathias

    Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami Vipo vya Km km 6-Kutoka lami Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika Bei Ukubwa kuanzia: *million 2 ukubwa 16×13 *Milion 2.5 ukubwa 15×16 *Milion 3 ukubwa 15x19 *Milion...
  12. Joh MANGI Kim

    House4Sale House for sale, Nyumba inauzwa 10m bagamoyo zinga mtaa wa masaki

    NYUMBA INAUZWA 10M – BAGAMOYO ZINGA, MTAA WA KISHUA BAGAMOYO ROAD UPANDE WA BAHARINI Nyumba 2 bedrooms, (no doors, windows, flooring), plot 21×19 (≈400 sqm) Bagamoyo – Zinga. Karibu na barabara umbali wa kutembea mtaa una MAJI, UMEME NA NEIGHBORHOOD NZURI, plot 21×19, hati tayari Bei: 10M cash...
  13. Sonship

    Eneo la heka shule inauzwa

    📍 Kimara Mwisho – Dar es Salaam 💰 BEI: TZS MILIONI 800 🚫 Hakuna Udalali • Mauzo ni ya Mmiliki Mwenyewe 🏫 *MAELEZO YA MUHIMU KUHUSU NDANI YA SHULE (DAYCARE ) Eneo linauzwa likiwa ndani ya uzio (fence) na lina miundombinu yote ya kisasa: ✔️ Madarasa ya kisasa kwa matumizi ya Daycare ✔️...
  14. uberimae fidei

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

    Nyumba ipo kibaha visiga madafu. Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom. Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe. Ina nyumba ya wafanyakazi. Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo. Ukubwa wa eneo eka Moja. Kuna fence. Ina hati ya wizara(title deed)...
  15. JOHNGERVAS

    Mizani ya mawe inauzwa

    Mizani ya Mawe inauzwa Ipo Dar mbezi mwisho Bei 75k na mawe yake
  16. I

    Pikipiki ya honda maji inauzwa Tsh600,000. Chombo haina shida

    Salam wadau. Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 almaarufu kama honda manji. 1).Pikipiki ni nzima ina engine yake original. 2.)Kadi ipo 3).Bei inazungumzika 4).Mahali-ipo Ifakara Mjini. Niweka picha,kwa maulizo zaidi nicheki DM tufanye biashara.
  17. S

    Laptop Inauzwa- HP Envyx360 Min

    Nauza Laptop - Refurbished Specification: ▪️Core i7 ▪️11th generation ▪️Ram 8gb ▪️512gb SSD ▪️13.3inch FHD BEI: 750,000 Karibu kwa Mazungumzo Piga /WhatsApp: 0744614540
  18. S

    Laptop Inauzwa- Hp Envy x360

    Nauza Laptop - Refurbished Specification: ▪️Core i7 ▪️11th generation ▪️Ram 8gb ▪️512gb SSD ▪️13.3inch FHD BEI: 750,000 Karibu kwa Mazungumzo Piga /WhatsApp: 0744614540
  19. technically

    Watanzania mnalala mna raha gani? Je, nchi hii ni yetu kweli?

    Kwanza nitafafanua maana ya Taifa kuuzwa Ni Taifa ilo kupuuza matakwa ya wananchi wake na kufanya kazi wa faida ya kikundi kidogo Cha watu au nchi nyingine kwa maslahi yao binafsi na sio (Umma) watu wake. Kama haijauzwa kwanini watawala hawasikilizi malalamiko ya wengi(Umma) Kwanini kila kitu...
  20. M

    Sim inauzwa

    Samsung Galaxy A90 Camera GB 128 Ram 6 Network 5G Bei 380 Fingerprint kwenye kioo Sim Mpya Ina wiki 1 aina mkwaruzo Wala mchubuko Akikisha uko serias ndo unapiga sim piga sim Chapu 0612323330
Back
Top Bottom