SIFA ZAKE:
HP E Lite Book
Internal Hard Disk storage: GB 500
RAM storage: 8GB
Processor: 1.50GHZ
Price Tsh 195,000/=
Mawasiliano: 0798434285
🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme.
Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK
Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara
Umiliki: Mkataba Wa Mauziano
Ukubwa Wa Eneo: SQM 810
Imekamata Barabara Kuu Ya Kwenda Tegeta "A"
Umbali: 2 Kilometres Kutoka Goba Road
Maji...
NYUMBA INAUZWA – KIBAMBA SHULE (HONDOGO), DAR ES SALAAM
💰 Bei: TZS Milioni 27 tu
Sifa za nyumba:
✅ Kiwanja ukubwa wa mita 23×25
✅ Umbali wa km 3 kutoka barabara ya lami
✅ Vyumba 2 vya kulala:
Master Bedroom 1
Single Bedroom 1
✅ Sebule
✅ Jiko
✅ Public Toilet
✅ Plasta ya ndani...
Habari maboss
Kiwanja chenye nyumba kinauzwa
Sqm 300
Docoment serikali ya mtaa
Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika.
Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
Bei 286mil
Furahia maisha ya kifahari katika Penthouse hii nzuri iliyopo ghorofa ya 13, yenye mandhari ya kuvutia ya jiji na huduma bora za kisasa.
✨ Sifa za Nyumba: • Vyumba 2 vya Kulala (Chumba Kikuu En-suite) • Jiko la Kisasa la Open Plan • Sebule na Eneo la Chakula • Balcony za Sebule na...
HEKA 1 INAUZWA – MBEZI MSAKUZI
Eneo zuri lipo sehemu ya center.
• Ardhi imenyooka, hakuna bonde.
• Inafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji.
Bei: TSh Milioni 70 tu
Wasiliana:
0675 065 906
Wahi sasa kabla halijapata mnunuzi.
Toyota Rush
Cc 1490
Milion 23.8
Dar Es Salaam
Nipigie simu kwa kuona Gari na ukaguzi wako.
📱0754693556
Toyota Rush ni gari aina ya SUV ndogo (compact SUV) inayotengenezwa na kampuni ya Toyota Rush. Inajulikana kwa kuwa ya familia, yenye nafasi na uwezo wa kuhimili barabara mbaya.
GHOROFA INAUZWA
IPO KARIAKOO DARESSALAAM🇹🇿
Underground, floor 1 and 2
▶Maduka yako kama 60
▶Inaingiza million 600 na kitu kila mwaka
BEI NI BILLIONS 7.8,MAONGEZI YAPO
🇹🇿CALL/WhatsApp +255758844717
#viral #tanzaniantiktok🇹🇿 #daressalaam🇹🇿 #houseforsale #realestate
Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka.
Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
Anonymous
Thread
changamoto
changamoto ya maji
hakuna maji
halmashauri
inauzwa
kilindi
lini
maji
makao
makao makuu
ndoo
wiki
wilaya
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi.
•Ina eneo kubwa mbele.
•Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨
Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja?
Hii ni nafasi ya kipekee kwako!
📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi
📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1
👨🎓 Wanafunzi waliopo: 20
💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨
Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja?
Hii ni nafasi ya kipekee kwako!
Bei ni Milioni 160 Tzs.
📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi
📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1
👨🎓 Wanafunzi waliopo: 20
💰 Kila...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
NYUMBA INA HATI YA WIZARA
INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA
VYUMBA
VITATU
VYOTE
MASTER
SEBULE
DINNING
JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE
UKUBWA WA ENEO SQM 1,500
KARIBUNI SANA PG AU WHATSAPP 0718408733
Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni.
Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu!
Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali!
HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up.
Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu.
Mbele linaweza kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.