inauzwa

  1. puker

    JamiiForums Tanzania LAPTOP AINA YA HP INAUZWA

    SIFA ZAKE: HP E Lite Book Internal Hard Disk storage: GB 500 RAM storage: 8GB Processor: 1.50GHZ Price Tsh 195,000/= Mawasiliano: 0798434285 🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme. Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Lodge nzuri inauzwa Goba, njia panda ya Tegeta A kwa niaba ya benki

    LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara Umiliki: Mkataba Wa Mauziano Ukubwa Wa Eneo: SQM 810 Imekamata Barabara Kuu Ya Kwenda Tegeta "A" Umbali: 2 Kilometres Kutoka Goba Road Maji...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kibamba shule (Hondogo), Dar es Salaam

    NYUMBA INAUZWA – KIBAMBA SHULE (HONDOGO), DAR ES SALAAM 💰 Bei: TZS Milioni 27 tu Sifa za nyumba: ✅ Kiwanja ukubwa wa mita 23×25 ✅ Umbali wa km 3 kutoka barabara ya lami ✅ Vyumba 2 vya kulala: Master Bedroom 1 Single Bedroom 1 ✅ Sebule ✅ Jiko ✅ Public Toilet ✅ Plasta ya ndani...
  4. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kibaha Loliondo

    NYUMBA INAUZWA – KIBAHA LOLIONDO 1. Vyumba 3 2. Sebule 3. Dining 4. Jiko 5. Master Bedroom 📐 Ukubwa wa kiwanja: Mita 20×20 Bei: TZS Milioni 17.5 maongezi kidogo yapo 📞 Wasiliana: 0675 065906
  5. ibrahim143

    JamiiForums Tanzania AKAUNTI YA TIKTOK INAUZWA

    Habari zenu ndg zang wa JF nauza akaunti ya Tiktok ina 80.1k followers na 411.2k likes,,bei ni 150k tu ....kwa mawasiliano 0634362673
  6. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kuishi au kubomoa inauzwa Mbezi njia ya Goba

    Habari maboss Kiwanja chenye nyumba kinauzwa Sqm 300 Docoment serikali ya mtaa Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika. Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
  7. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Penthouse inauzwa Upanga

    Bei 286mil Furahia maisha ya kifahari katika Penthouse hii nzuri iliyopo ghorofa ya 13, yenye mandhari ya kuvutia ya jiji na huduma bora za kisasa. ✨ Sifa za Nyumba: • Vyumba 2 vya Kulala (Chumba Kikuu En-suite) • Jiko la Kisasa la Open Plan • Sebule na Eneo la Chakula • Balcony za Sebule na...
  8. Sonship

    JamiiForums Tanzania Heka 1 inauzwa Mbezi Msakuzi

    HEKA 1 INAUZWA – MBEZI MSAKUZI Eneo zuri lipo sehemu ya center. • Ardhi imenyooka, hakuna bonde. • Inafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji. Bei: TSh Milioni 70 tu Wasiliana: 0675 065 906 Wahi sasa kabla halijapata mnunuzi.
  9. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Toyota Rush inauzwa

    Toyota Rush Cc 1490 Milion 23.8 Dar Es Salaam Nipigie simu kwa kuona Gari na ukaguzi wako. 📱0754693556 Toyota Rush ni gari aina ya SUV ndogo (compact SUV) inayotengenezwa na kampuni ya Toyota Rush. Inajulikana kwa kuwa ya familia, yenye nafasi na uwezo wa kuhimili barabara mbaya.
  10. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop inauzwa, nimepunguza bei wakuu, karibuni sana , nimerudi tena Viongozi

    Imeuzwa
  11. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kariakoo,bei ni billion 7.8,maongezi yapo

    GHOROFA INAUZWA IPO KARIAKOO DARESSALAAM🇹🇿 Underground, floor 1 and 2 ▶Maduka yako kama 60 ▶Inaingiza million 600 na kitu kila mwaka BEI NI BILLIONS 7.8,MAONGEZI YAPO 🇹🇿CALL/WhatsApp +255758844717 #viral #tanzaniantiktok🇹🇿 #daressalaam🇹🇿 #houseforsale #realestate
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya maji Songe Kilindi

    Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka. Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
  13. radhiya

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  14. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya Nursery & Daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! Bei ni Milioni 160 Tzs. 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila...
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Bahari beach

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nyumba ina hati ya wizara inauzwa 270m Dar kitunda ukonga

    NYUMBA INA HATI YA WIZARA INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA VYUMBA VITATU VYOTE MASTER SEBULE DINNING JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE UKUBWA WA ENEO SQM 1,500 KARIBUNI SANA PG AU WHATSAPP 0718408733
  18. stabilityman

    JamiiForums Tanzania House4Sale Inauzwa Tshs. million 160 (mazungumzo) nyumba ipo Kitunda ukonga

    Ina hati ya serikali ya mtaa Inauzwa #million_160 (mazungumzo) Nyumba ipo Kitunda Ukonga Vyumba vitatu- kimoja master) Dinning, sebule, jiko & choo Kiwanja sqm 500 Mawasiliano 0718408733
  19. Sacsosanct

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot inauzwa Kiluvya! Bei ni Milioni 7.5

    Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali! HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
  20. A

    JamiiForums Tanzania GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up. Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu. Mbele linaweza kuchukua...
Back
Top Bottom