inauzwa

  1. Babafetty

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Starlet Inauzwa

    Habari, Nauza Starlet, gari ipo katika hali nzuri sanaa, haina changamoto yoyote. Atakayenunua ni kutia mafuta na kuanza safari. Nko Dodoma, naomba mnunuxi wa moja kwa moja, ili kupunguza madalali. Mawasikiano 0713366393
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Ofa ya viwanja Kibaha kwa Mathias

    Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami Vipo vya Km km 6-Kutoka lami Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika Bei Ukubwa kuanzia: *million 2 ukubwa 16×13 *Milion 2.5 ukubwa 15×16 *Milion 3 ukubwa 15x19 *Milion...
  3. Joh MANGI Kim

    JamiiForums Tanzania House4Sale House for sale, Nyumba inauzwa 10m bagamoyo zinga mtaa wa masaki

    NYUMBA INAUZWA 10M – BAGAMOYO ZINGA, MTAA WA KISHUA BAGAMOYO ROAD UPANDE WA BAHARINI Nyumba 2 bedrooms, (no doors, windows, flooring), plot 21×19 (≈400 sqm) Bagamoyo – Zinga. Karibu na barabara umbali wa kutembea mtaa una MAJI, UMEME NA NEIGHBORHOOD NZURI, plot 21×19, hati tayari Bei: 10M cash...
  4. Sonship

    JamiiForums Tanzania Eneo la heka shule inauzwa

    📍 Kimara Mwisho – Dar es Salaam 💰 BEI: TZS MILIONI 800 🚫 Hakuna Udalali • Mauzo ni ya Mmiliki Mwenyewe 🏫 *MAELEZO YA MUHIMU KUHUSU NDANI YA SHULE (DAYCARE ) Eneo linauzwa likiwa ndani ya uzio (fence) na lina miundombinu yote ya kisasa: ✔️ Madarasa ya kisasa kwa matumizi ya Daycare ✔️...
  5. uberimae fidei

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

    Nyumba ipo kibaha visiga madafu. Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom. Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe. Ina nyumba ya wafanyakazi. Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo. Ukubwa wa eneo eka Moja. Kuna fence. Ina hati ya wizara(title deed)...
  6. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Mizani ya mawe inauzwa

    Mizani ya Mawe inauzwa Ipo Dar mbezi mwisho Bei 75k na mawe yake
  7. I

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ya honda maji inauzwa Tsh600,000. Chombo haina shida

    Salam wadau. Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 almaarufu kama honda manji. 1).Pikipiki ni nzima ina engine yake original. 2.)Kadi ipo 3).Bei inazungumzika 4).Mahali-ipo Ifakara Mjini. Niweka picha,kwa maulizo zaidi nicheki DM tufanye biashara.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Laptop Inauzwa- HP Envyx360 Min

    Nauza Laptop - Refurbished Specification: ▪️Core i7 ▪️11th generation ▪️Ram 8gb ▪️512gb SSD ▪️13.3inch FHD BEI: 750,000 Karibu kwa Mazungumzo Piga /WhatsApp: 0744614540
  9. S

    JamiiForums Tanzania Laptop Inauzwa- Hp Envy x360

    Nauza Laptop - Refurbished Specification: ▪️Core i7 ▪️11th generation ▪️Ram 8gb ▪️512gb SSD ▪️13.3inch FHD BEI: 750,000 Karibu kwa Mazungumzo Piga /WhatsApp: 0744614540
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Watanzania mnalala mna raha gani? Je, nchi hii ni yetu kweli?

    Kwanza nitafafanua maana ya Taifa kuuzwa Ni Taifa ilo kupuuza matakwa ya wananchi wake na kufanya kazi wa faida ya kikundi kidogo Cha watu au nchi nyingine kwa maslahi yao binafsi na sio (Umma) watu wake. Kama haijauzwa kwanini watawala hawasikilizi malalamiko ya wengi(Umma) Kwanini kila kitu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sim inauzwa

    Samsung Galaxy A90 Camera GB 128 Ram 6 Network 5G Bei 380 Fingerprint kwenye kioo Sim Mpya Ina wiki 1 aina mkwaruzo Wala mchubuko Akikisha uko serias ndo unapiga sim piga sim Chapu 0612323330
  12. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini Toyota premio inauzwa bei juu?

    Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema huko mlipo. Nilikuwa napita pita kwenye mtandao wa beforward kuangalia bei za magari. Nimeshangazwa na bei za Toyota premio. Yaani unakuta gari ya 2004 CIF inasoma $5000 huko, ambayo ni milioni 12 na kitu. Ukiweka kodi za TRA na bandari inafika 24 M. Miaka...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Sim inauzwa

    Aquas sense 3 Camera 🔥 Gb 64 Ram 4 Bei 160 Fingerprint Ipo Mbele Sim Ina wik 3 Piga sim chapu 0612323330
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba Kwa Robert.

    Nyumba Inauzwa Goba. Mahali: Goba Kwa Robert. Sifa za Nyumba: *Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu. *Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles. *Madirisha ni pvc. *Ina fence(uzio). *Ina vyoo(toilets)5. *Umeme na maji yapo. Ukubwa wa Eneo: SQM 880. Nyaraka: Mkataba...
  15. tajiri wa fikra

    JamiiForums Tanzania URGENTLY Laptop inauzwa Ram 4,HDD 500,HP,Ram 4,processor 2.6hz Used kwa 350K

    Laptop used inauzwa HDD 500,Ram 4,processor 2.6 kwa 350K Contact: 0752650558/0712793505/0619808825
  16. Sonship

    JamiiForums Tanzania PHARMACY INAUZWA DSM

    Pharmacy inauzwa Inauzwa na Kila kitu chake Shelves,ac,mini fridge na dawa zote Imeshalipiwa kodi ya miezi 6 tayari Ipo banana njia ya Moshi Bar Dar es salaam Bei Milioni 14 0775 179905
  17. J

    JamiiForums Tanzania Samsung Galaxy Tab 8 Inauzwa

    Nauza Samsung Galaxy Tab 8 Kwa Tsh 250,000,Iko kwenye hali nzuri na Ina mwaka mmoja. Kwa maelezo zaidi unaweza njoo inbox.
  18. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Saa ya Kikwete (PHILIP STEIN) inauzwa bei gani?

  19. Getrude Mollel

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Jana Agosti 29, 2025, Humphrey Polepole kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alidai kwamba mtungi wa gesi ya kilo 15 nchini Cuba unauzwa kwa shilingi 2,000 za Kitanzania. Kauli hii imeibua mjadala, lakini inapochunguzwa kwa makini kwa kutumia takwimu na taarifa rasmi, inabainika kwamba...
  20. monotheist

    JamiiForums Tanzania Xiaomi Redmi note 12 inauzwa

    Simu haina creck kioo safi kabisa Ram 8GB ROM 128GB CPU Snapdragon 685 Android version 14 BETTERY health Good Tsh 185k 0692402211 Airport (lumo)
Back
Top Bottom