Habari,
Nauza Starlet, gari ipo katika hali nzuri sanaa, haina changamoto yoyote. Atakayenunua ni kutia mafuta na kuanza safari.
Nko Dodoma, naomba mnunuxi wa moja kwa moja, ili kupunguza madalali.
Mawasikiano 0713366393
Ofa ya Viwanja Kibaha Kwa Mathias Kidenge B
Vipo vya umbali wa km 4-kutoka kituo cha Mathias Lami
Vipo vya Km km 6-Kutoka lami
Nipazuri sana na huduma zote za kijamii zimefika
Bei Ukubwa kuanzia:
*million 2 ukubwa 16×13
*Milion 2.5 ukubwa 15×16
*Milion 3 ukubwa 15x19
*Milion...
NYUMBA INAUZWA 10M – BAGAMOYO ZINGA, MTAA WA KISHUA BAGAMOYO ROAD UPANDE WA BAHARINI
Nyumba 2 bedrooms, (no doors, windows, flooring), plot 21×19 (≈400 sqm) Bagamoyo – Zinga. Karibu na barabara umbali wa kutembea mtaa una MAJI, UMEME NA NEIGHBORHOOD NZURI, plot 21×19, hati tayari
Bei: 10M cash...
📍 Kimara Mwisho – Dar es Salaam
💰 BEI: TZS MILIONI 800
🚫 Hakuna Udalali • Mauzo ni ya Mmiliki Mwenyewe
🏫 *MAELEZO YA MUHIMU KUHUSU NDANI YA SHULE (DAYCARE )
Eneo linauzwa likiwa ndani ya uzio (fence) na lina miundombinu yote ya kisasa:
✔️ Madarasa ya kisasa kwa matumizi ya Daycare
✔️...
Nyumba ipo kibaha visiga madafu.
Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom.
Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe.
Ina nyumba ya wafanyakazi.
Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo.
Ukubwa wa eneo eka Moja.
Kuna fence.
Ina hati ya wizara(title deed)...
Salam wadau.
Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 almaarufu kama honda manji.
1).Pikipiki ni nzima ina engine yake original.
2.)Kadi ipo
3).Bei inazungumzika
4).Mahali-ipo Ifakara Mjini.
Niweka picha,kwa maulizo zaidi nicheki DM tufanye biashara.
Kwanza nitafafanua maana ya Taifa kuuzwa
Ni Taifa ilo kupuuza matakwa ya wananchi wake na kufanya kazi wa faida ya kikundi kidogo Cha watu au nchi nyingine kwa maslahi yao binafsi na sio (Umma) watu wake.
Kama haijauzwa kwanini watawala hawasikilizi malalamiko ya wengi(Umma)
Kwanini kila kitu...
Samsung Galaxy A90
Camera
GB 128
Ram 6
Network 5G
Bei 380
Fingerprint kwenye kioo
Sim Mpya Ina wiki 1 aina mkwaruzo
Wala mchubuko
Akikisha uko serias ndo unapiga sim
piga sim Chapu 0612323330
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema huko mlipo. Nilikuwa napita pita kwenye mtandao wa beforward kuangalia bei za magari. Nimeshangazwa na bei za Toyota premio. Yaani unakuta gari ya 2004 CIF inasoma $5000 huko, ambayo ni milioni 12 na kitu. Ukiweka kodi za TRA na bandari inafika 24 M. Miaka...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 880.
Nyaraka: Mkataba...
Pharmacy inauzwa
Inauzwa na Kila kitu chake
Shelves,ac,mini fridge na dawa zote
Imeshalipiwa kodi ya miezi 6 tayari
Ipo banana njia ya Moshi Bar
Dar es salaam
Bei Milioni 14
0775 179905
Jana Agosti 29, 2025, Humphrey Polepole kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alidai kwamba mtungi wa gesi ya kilo 15 nchini Cuba unauzwa kwa shilingi 2,000 za Kitanzania.
Kauli hii imeibua mjadala, lakini inapochunguzwa kwa makini kwa kutumia takwimu na taarifa rasmi, inabainika kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.