inauzwa

  1. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza AC, ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia

    Habari za majukumu. Nauza AC ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia unafungua unabeba Nauza sababu nahama napoishi na baadhi ya vitu sitakuwa na uhitaji navyo tena, Pia nauza na Mziki Kwa ajili ya matumizi ya sherehe mbali mbali na matamasha Napatikana...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Canter inauzwa kwa bei nafuu

    Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
  3. Rockefeller

    JamiiForums Tanzania House4Sale Numba inauzwa Buguruni

    Habari za mida, Nyumba kubwa inauzwa ipo Buguruni - Rozana, Ni nyumba ya vyumba vitano ndani na nje kuna vyumba vinne ambavyo vitatu ni single na kimoja ni double room na kwa nje nyuma ya nyumba pia kuna eneo la kuweza kutoa vyumba vitatu single. Nyumba ipo Buguruni mtaa wa Azimio karibu...
  4. Ngwango

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Machine ya kukoroga sabuni za maji inauzwa

    Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
  5. Aizi Azma

    JamiiForums Tanzania Infinix Hot 8 Lite - Inauzwa (Dar)

    SOLD!
  6. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Milioni 26. Ipo Mbezi Mwisho, eneo la Msakuzi

    Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu. Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35...
  7. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi 30mil

    Nyumba ipo mbezi mwisho mtaa wa msakuzi ipo karibu na barabara/kituo cha daladala Price: TZS 26,000,000 ( mwenye nyumba ana shida ya haraka kwa iyo kashusha bei) .Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji • kiwanja kina ukubwa wa eneo 35 kwa 20 • maji na umeme vipo ...
  8. Muislaam

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Mbagala

    Ipo Mbagala Zakhem, nyuma ya gholofa la Amana Bank. Hati milki ipo. Bei ni milioni 55, maelewano yapo. Kwa mawasiliano piga: 0714167626 au 0688882973
  9. C

    JamiiForums Tanzania HP Desktop inauzwa

    Imetumika wiki Mbili tu. Core i5 3rd Generation 500GB HDD 4GB RAM 3.3GHZ Peocessor Gaharma 380000 Location Ubungo Riverside. Mawasiliano 0757497175 Iko na Monitor 22 inch kubwa na nzuri kabisa kwa matumizi yako.
  10. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa iko Mbweni Masite haijamalizika 40*23

    BEI 43" 000" 000 43MIL HAIN DALALI UKUBWA 40*23 DK TANO TOKA MASITE MBWENI BARABARAN UKIWA BARABARANI UNAIONA AIJAMALIZIKA KUBADILISHA DOCS INAKUHUSU.MNUNUAJI HATI.IPOOOO CONT +255713458722 HAINA MAONGEZI WALA PUNGUZO
  11. kagombe

    JamiiForums Tanzania Huawei-E560-MIFI-Router inauzwa

    Huawei-E560-MIFI-Router 3g inatumia line zote ila imetumiaka bei T sh 40000
  12. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Huwa mnamalizaje pesa kwenye pombe wakati Mbogo inauzwa Tsh 500 na Faru Tsh 600?

    Mbona pombe ni bei nafuu sana? Mnaosema inamaliza hela, huwa inamalizaje?
  13. BeEducated

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Kompyuta desktop complete inauzwa

    Nauza Komyuta (Desktop complete) Yenye Sifa zifuatazo. Core i5 @ 3.10 proccessor, 4GB RAM, 500GB HDD, 19" Monitor, keyboard and Mouse. Bei ni Tsh. 330,000/. Napatikana Dodoma mjini . Kwa maawasiliano : Phone: 0620823250 / 0744774462, Whatsapp:0744774462 Karibun sana!!.
  14. nyamchele

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kiwanja na nyumba vinauzwa Magomeni

    Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd) Ukubwa: 347 sqm Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu Kina Leseni ya Makazi Contact: 0655888268
  15. EJOSMAT

    JamiiForums Tanzania Camera inauzwa

    Camera Nikon 3200 + battery + Charger + lense ya 18-55mm Inauzwa bei cheap Tsh 600,000 Tu. Haina Tatizo lolote imetumiwa miezi 8 Inashoot Full HD video na picha Tupo Mbezi beach , Dar Mawasiliano 0767267664
  16. Jakamoyo msoga

    JamiiForums Tanzania Offer ya haraka, photocopy machine ya 1,000,000 inauzwa 700,000 ni mpya

    ofisini machinga Complex Wasiliana na 0747 668 944
  17. M

    JamiiForums Tanzania Laptop nzuri kabisa HP inauzwa 800,000/tu!

    2:International storage : 1tb( 1,000) 3: Model : Hp 4:Color : Gray 5: Mideum width. 6: With webcam 7: Inakaa na charge zaidi ya 2hrs. 8:Angalia picha iliyoambatanishwa. Inapatikana Arusha -Tengeru (kama upo nje ya Arusha, tutafanya utaratibu wa kukutumia) Mawasiliano....0784355775
  18. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Plot inauzwa Moshi Soweto SQ 10" 000 eneo zuri

    KIWANJA KINAUZWA KINANYUMBA NDOGO PEMBENI VYUMBA VIWILI MAHALI SOWETO MOSHI UKUBWA SQM10" 000 KINA DOCS ZOTE HALALI ZA WIZARA BEI MILIONI 65 CONT 0713458722/ 0688552275
  19. alphonce.NET

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa ipo Buswelu Mwanza Tanzania

    Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area) Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya Ilemela) Vilivyomo: vyumba vinne vya kulala, (master bedroom 1 na vyumba vitatu) Sitting & Dining...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop DELL Inspiron 15 3567 core i3 inauzwa

    Dell Inspiron 15 3567 *Processor => core i3 6th generation, 2GHz (4 CPUs) *RAM => 8GB (Latest DDR4 chip) *Hard drive => 2 hard drives, 128gb SSD and 1TB HDD *Graphics => Intel HD Graphics 520, 4GB *Screen => 15.6" inches, 1366x768 max resolution *Operating system => Windows 10 Pro (64 bit)...
Back
Top Bottom