Tanzania tuna import maji kutoka nje baada ya miaka 64 ya uhuru

Tanzania tuna import maji kutoka nje baada ya miaka 64 ya uhuru

PseudoDar186

Senior Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
104
Reaction score
241
IMG_4319.jpeg


Hii chupa ya dripu ina nusu lita ya kimiminika aina ya ‘maji’. Lebo hapo inasema "0.9% w/v" Sodium Chloride (chumvi). Kwa kifupi, maana yake ni kwamba 99.1% ya hii chupa ni maji. Kwenye hii dripu ya 500 ml, kuna gram 4.5 ya chumvi. Kilichobaki 495ml ni maji.

Haya maji yamekuja kutoka India kwa kupitia meli au ndege. Hebu tufikirie, makontena ya maji 99% yanavuka bahari au anga kufika Tanzania kutoka India kisa nchi yetu imeshindwa kukidhi mahitaji yake.

Baada ya miaka 64 ya uhuru, bado tunaagiza maji kutoka nje! Hatuna vikwazo vya kiuchumi kama Iran. Nchi inaliza hii.
 
Ccm ni kansa kwa taifa

Just imagine bajeti ya maendeleo ya wizara ya viwanda ni just billion 33

Matumizi mengineyo hii ikijumuisha salary, per diem nk ni billion almost 104

Unategemea hii nchi iwe exporter au importer mkubwa?..

Jibu linakuja as long as this serikali inabaki madarakani tutakuwa importer wakubwa miaka nenda miaka rudi

Serikali imejichokea
 
View attachment 3593198

Hii chupa ya dripu ina nusu lita ya kimiminika aina ya ‘maji’. Lebo hapo inasema "0.9% w/v" Sodium Chloride (chumvi). Kwa kifupi, maana yake ni kwamba 99.1% ya hii chupa ni maji. Kwenye hii dripu ya 500 ml, kuna gram 4.5 ya chumvi. Kilichobaki 495ml ni maji.

Haya maji yamekuja kutoka India kwa kupitia meli au ndege. Hebu tufikirie, makontena ya maji 99% yanavuka bahari au anga kufika Tanzania kutoka India kisa nchi yetu imeshindwa kukidhi mahitaji yake.

Baada ya miaka 64 ya uhuru, bado tunaagiza maji kutoka nje! Hatuna vikwazo vya kiuchumi kama Iran. Nchi inaliza hii.
Nimesikia maji nikaja mbio mbio 😂😂
 
Binafsi sioni kitu kipya.

Kama wakazi wa Bulale, Buhongwa Mwanza, kilomita si zaidi ya mbili kutoka ziwa victoria, maji hayajatoka kwa zaidi ya mwezi sasa na hakuna wanachofanya, siwezi kushangaa.

Kama watanzania hawa wa kulalamika kila uchwao, kulibganisha uduni wa maendeleo na miaka ya uhuru, tutaebdelea hivi miaka yote.

Kama tutaebdelea kusybiri wajomba ambao wenyewe " dhamira zao zimekufa" ili kutusaidia, tutaendelea kulalamika hadi Yesu arudi.
 
Back
Top Bottom